johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ndio sababu tunasema Dini na Siasa havitenganishwiKama ni ukweli basi sio sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio sababu tunasema Dini na Siasa havitenganishwiKama ni ukweli basi sio sawa
Wengine wemeongeza na uchawi!Ndio sababu tunasema Dini na Siasa havitenganishwi
Huna akili popomaNa bahati nzuri Wanaosema kuwa Uchaguzi wenu wa Jana ulijaa Rushwa tupu ni Wenzenu ( tena baadhi yao ) ni Wapiga Kura mnapata wapi Uthubutu wa Kuukana na Kuukosoa Msimamo wa wenye Akili Kubwa duniani TEC na Kanisa Katoliki ( GENTAMYCINE nikiwemo ) juu ya Sakata la Uwekezaji wa DP World na Rasilimali za Watanzania na Tanzania?
Ninaungana na TEC 100% kwa Tamko.
Hili kanisa limekamatwa na kuendeshwa na wahuni.Kuna uchaguzi wa askofu wa jimbo fulani ulifanyika mpaka uchawi ulitumika,sisemi uongo mpaka leo ili dhehebu naliangaliaga tu,mara askofu akope ela bank ashindwe kulipa mwisho wa siku waumini ndio tunalipa ili mali za kanisa zisikamatwe na bank yani uku ni majanga matupu
We si ulisema magfuli alishinda kihalali?Na bahati nzuri Wanaosema kuwa Uchaguzi wenu wa Jana ulijaa Rushwa tupu ni Wenzenu ( tena baadhi yao ) ni Wapiga Kura mnapata wapi Uthubutu wa Kuukana na Kuukosoa Msimamo wa wenye Akili Kubwa duniani TEC na Kanisa Katoliki ( GENTAMYCINE nikiwemo ) juu ya Sakata la Uwekezaji wa DP World na Rasilimali za Watanzania na Tanzania?
Ninaungana na TEC 100% kwa Tamko.
😆😆😆Si yule mkimbizi mwenzio hayati marehemu ndo alofanya hivyo. Popoma waheed wewe.
Mchungaji wako anakwambia ulindwe na amani ya bwana ila yeye analindwa na security groupKuna uchaguzi wa askofu wa jimbo fulani ulifanyika mpaka uchawi ulitumika,sisemi uongo mpaka leo ili dhehebu naliangaliaga tu,mara askofu akope ela bank ashindwe kulipa mwisho wa siku waumini ndio tunalipa ili mali za kanisa zisikamatwe na bank yani uku ni majanga matupu
[emoji28][emoji28]Mchungaji wako anakwambia ulindwe na amani ya bwana ila yeye analindwa na security group
Wakubwa wa TEC nao walihusika kwny kashfa za Escrow na matumizi mabaya ya fedha za ruzuku wanazopokea toka Serikalini bila ya kusahau matumizi mabaya ya misamaha ya kodi kwa kutumika kama uchochoro wa Wafanyabiashara wasio waaminifuNa bahati nzuri Wanaosema kuwa Uchaguzi wenu wa Jana ulijaa Rushwa tupu ni Wenzenu ( tena baadhi yao ) ni Wapiga Kura mnapata wapi Uthubutu wa Kuukana na Kuukosoa Msimamo wa wenye Akili Kubwa duniani TEC na Kanisa Katoliki ( GENTAMYCINE nikiwemo ) juu ya Sakata la Uwekezaji wa DP World na Rasilimali za Watanzania na Tanzania?
Ninaungana na TEC 100% kwa Tamko.
Wengine wanatuambia tusishirikiane na CCM wakati wao kwny harusi za watoto wao Kamati nzima ya harusi na ma group ya harusi wamejaa CCM kuliko Makamanda wenzaoMchungaji wako anakwambia ulindwe na amani ya bwana ila yeye analindwa na security group
Huyu ni Mwanaume Mtu mzima mwenye zaidi ya miaka 60, anasujudia na kubusu plastic iliyopigwa polish na kuamini ni mama wa Mungu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na bahati nzuri Wanaosema kuwa Uchaguzi wenu wa Jana ulijaa Rushwa tupu ni Wenzenu ( tena baadhi yao ) ni Wapiga Kura mnapata wapi Uthubutu wa Kuukana na Kuukosoa Msimamo wa wenye Akili Kubwa duniani TEC na Kanisa Katoliki ( GENTAMYCINE nikiwemo ) juu ya Sakata la Uwekezaji wa DP World na Rasilimali za Watanzania na Tanzania?
Ninaungana na TEC 100% kwa Tamko.
Hakuna Demokrasia Roman na hakuna UchaguziMfumo wa Waroman wa Kuchagua viongozi wao umekaa poa sana.
Mandumilakuwili mpo?Na bahati nzuri Wanaosema kuwa Uchaguzi wenu wa Jana ulijaa Rushwa tupu ni Wenzenu ( tena baadhi yao ) ni Wapiga Kura mnapata wapi Uthubutu wa Kuukana na Kuukosoa Msimamo wa wenye Akili Kubwa duniani TEC na Kanisa Katoliki ( GENTAMYCINE nikiwemo ) juu ya Sakata la Uwekezaji wa DP World na Rasilimali za Watanzania na Tanzania?
Ninaungana na TEC 100% kwa Tamko.
Aliyekuwa meneja miradi, miaka ileeee…..jana kaiaga Dunia!Bila shaka ni AICT Shinyanga
Hii ni vita ya wakristo wacha tuwaachie wenyeweHuyu ni Mwanaume Mtu mzima mwenye zaidi ya miaka 60, anasujudia na kubusu plastic iliyopigwa polish na kuamini ni mama wa Mungu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
View attachment 2728222
Ndio njia nzuri kuepusha upandikizaji wa watu.Hakuna Demokrasia Roman na hakuna Uchaguzi
Wao wanasubiri papa ndio ateue
Ulishaona uchaguzi wa Roman Catholic Church hata siku moja?
Exactly and they have done so Chief.Baada ya kuona Mwaliko wa namba moja kwenye ile birthday yetu nikasema hapa system ipo kazini kuweka Kiongozi wao
Na ndiyo maana Waroma ( Roman Catholics ) ndiyo Werevu kuliko hao Wengine wenye Rushwa, Uwizi wa Mali na Uchawi.Mfumo wa Waroman wa Kuchagua viongozi wao umekaa poa sana.