Kama Uchaguzi wao umetawaliwa na Rushwa kwa 85% wanapata wapi uhalali wa Kupingana na Tamko la Werevu TEC?

Huna akili popoma
 
Hili kanisa limekamatwa na kuendeshwa na wahuni.
Viongozi Wenye hofu ya Mungu huwa wanaandamwa na kutwezwa sana.
 
We si ulisema magfuli alishinda kihalali?
 
Mchungaji wako anakwambia ulindwe na amani ya bwana ila yeye analindwa na security group
 
Wakubwa wa TEC nao walihusika kwny kashfa za Escrow na matumizi mabaya ya fedha za ruzuku wanazopokea toka Serikalini bila ya kusahau matumizi mabaya ya misamaha ya kodi kwa kutumika kama uchochoro wa Wafanyabiashara wasio waaminifu
 
Mchungaji wako anakwambia ulindwe na amani ya bwana ila yeye analindwa na security group
Wengine wanatuambia tusishirikiane na CCM wakati wao kwny harusi za watoto wao Kamati nzima ya harusi na ma group ya harusi wamejaa CCM kuliko Makamanda wenzao
 
Huyu ni Mwanaume Mtu mzima mwenye zaidi ya miaka 60, anasujudia na kubusu plastic iliyopigwa polish na kuamini ni mama wa Mungu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

 
Mandumilakuwili mpo?
 
CCM WALIIBA UCHAGUZI NA KKKT WAMEIBA UCHAGUZI YANI MAJIZI YA KIROHO YAMEUNGANA NA MAJIZI YA KISIASA.😭😭😭😭😭😭
 
Hakuna Demokrasia Roman na hakuna Uchaguzi

Wao wanasubiri papa ndio ateue

Ulishaona uchaguzi wa Roman Catholic Church hata siku moja?
Ndio njia nzuri kuepusha upandikizaji wa watu.
 
Mfumo wa Waroman wa Kuchagua viongozi wao umekaa poa sana.
Na ndiyo maana Waroma ( Roman Catholics ) ndiyo Werevu kuliko hao Wengine wenye Rushwa, Uwizi wa Mali na Uchawi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…