Kama Uhamiaji matendo ndio kama hayo. Je Nchi yetu ni salama kiasi gani?

Kama Uhamiaji matendo ndio kama hayo. Je Nchi yetu ni salama kiasi gani?

Ondoka kwenye dunia yakutegemea mtu mmoja ndiye alete mabadiliko ya nchi.Dai katiba mpya.
Mkuu ukosoma reply moja unaweza kujibu kwa jazba, matusi, kebehi na lawama kibao.

Baada ya comment hiyo kuna wadau wamemsahihisha chini yake nadhani hatupaswi kuanza kumleta marehemu although wadau wanasema aina ya mtu as JPM but awe na mfumo imara usiomtegemea mtu mmoja as Jeshi la mtu mmoja but taasisi imara.

Okay let say; Magufuri angekuwepo na akawa na taasisi inayomzunguka yenye watu imara wasio na makando kando na wakaingia deep field unadhani ubadhirifu kama huu kwa kiasi ungekuwaje!.

Angalia pale China, Urusi au Korea kwa mapanki nchi zilivyo.
 
Ipo haja ya kuweka muongozo mzuri wa utoaji ripoti ya CAG maana kwa sasa imekuwa kama ripoti ya upelelezi...nafikiri ipo haja ya CAG pia kutoa ripoti ya majibu ya query zilizoonekana...mathalani mfano unasema wizi wa vIza bila kutuonesha utaratibu ulivunjwa wapi hadi wizi ukafanyika au wakati auditor anapita nyaraka za kuthibitisha malipo kupokelewa hazikuonekana? Nachojua mimi wizi ukionekana ni criminal lazima polisi ihusike...vipi vyombo vya ndani na wakaguzi wa ndani wanafanya kazi gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatuhitaji dikteta
Nchi ya Tanzania inabidi yupate dikteta mzalendo.

Yaani magufuli tungemfanyia modification kiasi kwenye baadhi ya mambo basi alikuwa anatufaa sana kuongoza tanzania hata milele.
 
Back
Top Bottom