Kama ujenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere uko chini ya viwango, Kalemani ashitakiwe kwa uhujumu uchumi

Hilo ni bwawa la michongo ya awamu ya tano
 
Mkapa kwenye kitabu chake alisema ukweli kuwa pesa huwa zinapita mlango wa nyuma zinakuja kusaidia kampeni
 
Kalemani alifit sna pale nishati tuache utani
 
Kalemani alifanya kazi nzuri sn pamoja na madhaifu ya kibinadamu lakini alijitahidi sn, tatizo ni mfumo mbovu wa nchi. January anafanya kitu gani sahivi?
 
Sion huo mradi ukikamilika...

Inavyoonekana muda si mrefu wataupotezea kiaina...

Si unajua wazungu hawaupendi, so na sie hatutaupenda,,,,


R.I.P Anko MAGU
 
Kwamba bwawa limwage maji ? Nguvu ipo kwenu achaneni na bwawa mfanye mnachoona kinafaaa..kwani kuna Nani wa kuwazuia
Na kweli bhanaa, maana visingizio vimekuwa viiiiiingi, kama ahawataki waache tu, tushachoka sasa, waendelee kupiga pesa kwenye gesi weeee, hadi wazeeke wawe vibabu halafu wafe tuwazike, then watoto wetu watakuja kuliendeleza hilo bwawa, tushachoka sasa
 
Wenzetu wanatoka kwenye hydropower wanakwenda vertical power sisi tunakwenda hydropower!!!
Nguvu ya maji huwezi kuicha, ndio the cleanest na cheapest source of energy, hao wenzetu akina nani unasema wanaicha, umeongea kama taahira aliyekatwa kichwa.
 
arab contractors, ambao ni main contractors hawajawai kujenga kitu kaa ile, so hii ni white elephant project, jiwe alitaka tu kupiga hela, magu alikuwa jambazi la ajabu
Ni kampuni gani ilifanya mradi kama huo kwa mara ya kwanza halafu ikawa imeshawahi kuufanya? Na unajua maana ya neno ‘white elephant’ au unaropoka tu kama taahira aliyekatwa kichwa?
 
Ni urefu wa kamba yako tu ndugu, kama ni fupi hili si la kwetu.
 
Wewe ni mpuuzi, bisha.

Sikiliza alichosema, acha kukurupuka

Your browser is not able to display this video.
 
Mimi namtetea Humphrey polepole kampuni yake ina uzoefu sana katika ujenzi wa mabwawa katika nchi za kusini mwa Africa,,
Kampuni ya kalemani sina uhakika sana , [emoji23]
Lakini ifike mahali tuwape moyo wawekezaji wazawa katika ujenzi wa miradi mbalimbali,,
Kwa mfano, kampuni ya mayanga contractors, iliweza kufanya ujenzi wa mabarabara na madaraja kwa ufanisi mkubwa na pia kujenga chato international airport kwa mda wa miezi michache sana
 
Bila picha zinabaki kiwa porojo tu! Hizo nyufa ni expansion joints!
 
Kwani mradi umekwisha tayari? Msukuma amewahi kusoma Project management popote? nauliza tu
Msukuma ndio alikuwa anawalaumu serikali kwanini wanaleta sababu zisizo na mashiko mara ujenzi ni substandard, mara hakuna maji ya kutosha, mara crane hakuna, tafuta hiyo clip waliyotupiana maneno kati ya Njaanuary na Mh Msukuma.
 
Msukuma ndio alikuwa anawalaumu serikali kwanini wanaleta sababu zisizo na mashiko mara ujenzi ni substandard, mara hakuna maji ya kutosha, mara crane hakuna, tafuta hiyo clip waliyotupiana maneno kati ya Njaanuary na Mh Msukuma.
Hapo sawa
 
Kama ni substandard Bora libomolewe waanze upya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…