Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Mi najua ninalo maana hio pattern inajirudiaga kila nikinywa fresh milk. Kumbe siko mwenyewe yani😂 😂 😂 😂 😂
nimecheka
mpaka najua nna tatizo hili nilikoma aisee,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi najua ninalo maana hio pattern inajirudiaga kila nikinywa fresh milk. Kumbe siko mwenyewe yani😂 😂 😂 😂 😂
nimecheka
mpaka najua nna tatizo hili nilikoma aisee,
Mi najua ninalo maana hio pattern inajirudiaga kila nikinywa fresh milk.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣mtindi nao kipengele, kuna vitu ambavyo sili nikiwa mbali na nyumbani.mimi ni fresh(hata mtindi) tusha divorce kitambo
kuna mgahawa nilikula, wakachanganya fresh nadhani, ila niliwahi fika home
nikaachia nukes za kutosha
😂 😂 😂 Mtindi haupandi mzee, hata nionje kijiko tu, baada ya nusu saa hakukaliki tena🤣🤣🤣🤣🤣🤣mtindi nao kipengele, kuna vitu ambavyo sili nikiwa mbali na nyumbani.
1.Pilipili
2.Maziwa fresh
3.Mtindi
4.Embe
5.Chocolate
Hivyo vyote kwangu ni kimeo.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ukanda wa Gaza😂 😂 😂 mtindi haupandi mzee, hata nionje kijiko tu, baada ya nusu saa hakukaliki tena
nikinywa glass nzima, basi naamisha TV chooni kabisa nashinda huko
😂 😂 😂 😂 we acha tu aisee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ukanda wa Gaza
Hakuna ukweli, utamu wa maharage ni uungaji wako, utie vitunguu, karoti, hoho, masala kidogo, tui bubu la nazi mbili, yanakosaje kua matamu kwa mfano, [emoji39]Wanasema ukiloweka maharage hayawi matamu, sijui kama kuna ukweli
Eeh ni njia nzuri pia, je bado tumbo liliendelea kukusumbua?Hii nishaijaribugi sema nilitumiaga maji ya moto. Unayafungia maharage kwenye chupa ya chai na kumiminia maji ya moto kisha unafunga. Ukija kufungua kesho unaeza yapika hata kwa gas tu yanakuwa yameiva
Mimi nilikua na tatizo kama lako ila kwenye maziwa huko sikufika nilienda hapo Serian walinipa dawa za siku 14 tatu asubuhi tatu usiku na unywe ukiwa umeshiba na baada ya kumaliza hiyo dozi nikapima nikapewa kidonge kimoja kila siku kwa siku saba nikaenda kupima kwao wakasema tumbo lipo sawa na pia ishu ya gesi haipo tena mimi mwenyewe kwenda Hospital ni mzito ila hii ngoma sikupata sare yake kabisa...Mi najua ninalo maana hio pattern inajirudiaga kila nikinywa fresh milk. Kumbe siko mwenyewe yani
Mkuu,Naongezea kwa wale wa kupika nyumbani, kama unataka kula kesho basi yaroweke leo usiku kucha, asubuhi mwaga yale maji, osha kwa maji mengine kisha yachemshe, njia hii husaidia sio tu kuiva haraka bali kuondoa sumu kali iliyopo kwenye maharage na jamii zake zote, hata hiyo gesi hutoisikia tena.
Hata wewe!morning bro, hii mada imenigusa maana toka jana nimepiga ma beans ni mwendo wa kiss fm tu pyuuuh pyuuh pyuuuh.
Nenda hospital mazee wao wanasema tumbo linakua na acid sana kwa hiyo watakupa dawa zitasaidia maana hivyo vyakula vina acid pia ukiongeza ndio maana tumbo linachafuka balaa...🤣🤣🤣🤣🤣🤣mtindi nao kipengele, kuna vitu ambavyo sili nikiwa mbali na nyumbani.
1.Pilipili
2.Maziwa fresh
3.Mtindi
4.Embe
5.Chocolate
Hivyo vyote kwangu ni kimeo.
Sumu yake ni ya asili inaitwa Lectins, kuna baadhi ya mimea hutoa sumu ili kujilinda na viumbe wengine waharibifu pindi wakila tukiwemo sie, best option ya kuitoa Lectins ni kuloweka maharage kwa muda wa masaa 12 kabla hayajapikwa.....Mkuu,
Kwani maharage yana sumu kali? Ni sumu gani hiyo, mimi ni mpenzi wa beans hivyo nataka kujua.
Okay, somo zuri sana ila lina exceptions kidogo. Hiyo lectins unayoisemea inaweza kutoka sio lazima kwa kuloweka, hata kwa kuchemsha tu hayo maharage kwa moto mkali.Sumu yake ni ya asili inaitwa Lectins, kuna baadhi ya mimea hutoa sumu ili kujilinda na viumbe wengine waharibifu pindi wakila tukiwemo sie, best option ya kuitoa Lectins ni kuroweka maharage kwa muda wa masaa 12 kabla hayajapikwa.....
Madhara ya Lectins kwa binaadam ni:
Tumbo kujaa gesi,
Kuharisha,
Kutapika,
na hata Kizungu zungu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] Mtindi haupandi mzee, hata nionje kijiko tu, baada ya nusu saa hakukaliki tena
nikinywa glass nzima, basi naamisha TV chooni kabisa nashinda huko
Aah basi nitajaribu na mimi kwenda hapo SerianMimi nilikua na tatizo kama lako ila kwenye maziwa huko sikufika nilienda hapo Serian walinipa dawa za siku 14 tatu asubuhi tatu usiku na unywe ukiwa umeshiba na baada ya kumaliza hiyo dozi nikapima nikapewa kidonge kimoja kila siku kwa siku saba nikaenda kupima kwao wakasema tumbo lipo sawa na pia ishu ya gesi haipo tena mimi mwenyewe kwenda Hospital ni mzito ila hii ngoma sikupata sare yake kabisa...
Aah basi nitajaribu na mimi kwenda hapo SerianMimi nilikua na tatizo kama lako ila kwenye maziwa huko sikufika nilienda hapo Serian walinipa dawa za siku 14 tatu asubuhi tatu usiku na unywe ukiwa umeshiba na baada ya kumaliza hiyo dozi nikapima nikapewa kidonge kimoja kila siku kwa siku saba nikaenda kupima kwao wakasema tumbo lipo sawa na pia ishu ya gesi haipo tena mimi mwenyewe kwenda Hospital ni mzito ila hii ngoma sikupata sare yake kabisa...
Kuna anti acid za kutumia kuondosha hio kadhia milele?Nenda hospital mazee wao wanasema tumbo linakua na acid sana kwa hiyo watakupa dawa zitasaidia maana hivyo vyakula vina acid pia ukiongeza ndio maana tumbo linachafuka balaa...
Daah upo Chugastani kamanda?Aah basi nitajaribu na mimi kwenda hapo Serian