Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Niko DizongaDaah upo Chugastani kamanda?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niko DizongaDaah upo Chugastani kamanda?
Zipo pana jamaa angu mmoja aliwahi enda JHB hospital alitibiwa na hana tatizo kabisaa ila dozi yake ilikua kubwa sana hatumii dawa tena kipindi hicho mimi sina tatizo hilo nilishangaa mtu mzima kabisa wanamwambia alazwe pale kama wiki hivi wakimtibu hilo tatizo ilikua kitambo kidogo jamaa alikua anasumbuka sana na hilo tatizo...sema dawa nyingi tunazotumia ni za ujanja ujanjaKuna anti acid za kutumia kuondosha hio kadhia milele?
Sasa si unde tuu Hospital yeyote hapo hizo kubwa wakupe dawa piga ambulance wakija kukuchukua matibabu ni bure hata uwe na tatizo gani ila documents ziwe sawa...Niko Dizonga
sijafikia stage ya kupigia ambulance mkuuSasa si unde tuu Hospital yeyote hapo hizo kubwa wakupe dawa piga ambulance wakija kukuchukua matibabu ni bure hata uwe na tatizo gani ila documents ziwe sawa...
Nafikiri hio pia hunikabili, nikinywa fresh milk ni swala la nusu saa tu lazma nitaenda kuchana kaseti tena tumbo huvuruga haswaa! So huwa nina avoid kunywa fresh milk bora hata mtindi kidogo unavumiliaga.
Exactly mzee, ila nachoshukuru ngomaligo iko mbali na sisiThen un blood group O ndio tunasumbuliwa na maziwa
Kuweka sukari kwenye maharage nlishishashindwa.🤣Kama sipendi sukari kwenye maharage nafanyeje
Exactly mzee, ila nachoshukuru ngomaligo iko mbali na sisi
Ni sawa na mtu anaweka sukari kwenye makande ooh gosh. Mimi sukari naweka kwenye mtindi tuKuweka sukari kwenye maharage nlishishashindwa.
Wali wa maharage mabichi mtamu sana asee[emoji39][emoji39][emoji39]Maharage ya siku hizi yana madawa mengi sana, maharage unayaweka mwezi mzima hakuna hata mdudu mwenye hamu ya kuyala?
Mie nakula maharage mabichi nnayojipandia mwenyewe.
Niliwacha kula maharage makavu nilipoona hata wadudu hawayataki.Wali wa maharage mabichi mtamu sana asee[emoji39][emoji39][emoji39]
Niliwacha kula maharage makavu nilipoona hata
Unikaribishe siku moja ,nasikia mapishi ya Kiislamu ni mazuri sana 😋😋Niliwacha kula maharage makavu nilipoona hata wadudu hawayataki.
hata ladha ya maharage imepungua mno ukikompare na miaka ya nyumaMaharage ya siku hizi yana madawa mengi sana, maharage unayaweka mwezi mzima hakuna hata mdudu mwenye hamu ya kuyala?
Mie nakula maharage mabichi nnayojipandia mwenyewe.
Sukari kwenye mboga hapana ila vingine sawaHwl
Watu wengi wamekuwa wakipata Matatizo ya tumbo kujaa gas baada ya kula maharage na kujamba Sana.
Fanya hivi hakikisha katika maharage yako unayaunga na kuweka Sukari kidogo, unaweka tangawizi na limao kwa kufanya hivyo utakula maharage bila kukuletea shida Asante.
Maharage yenyewe yamebadilika.hata ladha ya maharage imepungua mno ukikompare na miaka ya nyuma
naweza kula lakini nalazimisha kwenye ubongo ni-taste ladha yake ile OG, ila wapi
ukiweka sukari kwenye maharagwe unaharibu asili ya chakula🤣Kama sipendi sukari kwenye maharage nafanyeje