Kama ukila maharage unapata Matatizo ya tumbo kukaa Gas na kutoa ushuzi, Soma hapa

Kama ukila maharage unapata Matatizo ya tumbo kukaa Gas na kutoa ushuzi, Soma hapa

Maharage ya siku hizi yana madawa mengi sana, maharage unayaweka mwezi mzima hakuna hata mdudu mwenye hamu ya kuyala?

Mie nakula maharage mabichi nnayojipandia mwenyewe.
Hiv madawa mengi yanawekwa yakiwa shambani au yakivunwa kwenye uhifadhi?
 
Mm napenda sana harufu ya kijambo au kukaa karibu na mtu anayejamba najisikia raha sana kama nasaini mkataba wa DP WOLRD.
 
😂 😂 😂 😂 😂 qmmmmq
Kama unajambajamba please....
2024 nataka kuanza kuvuna vijambo vya watu kwa kutumia teknolojia na hili litasaidia sana wananchi kujamba na kupata pesa at the same time.
Haya yote ni matokeo mazuri ya kuwavutia wawekezaji yaliyofanywa na awamu ya 6.
 
Kuna mtu amepita huku nilipo kajamba halafu yuko spidi ni kama anawahi sehemu sijui ni toilet
 
Naongezea kwa wale wa kupika nyumbani, kama unataka kula kesho basi yaloweke leo usiku kucha, asubuhi mwaga yale maji, osha kwa maji mengine kisha yachemshe, njia hii husaidia sio tu kuiva haraka bali kuondoa sumu kali iliyopo kwenye maharage na jamii zake zote, hata hiyo gesi hutoisikia tena.
Yeah wanasema pia ukishayaloweka hivyo ukayabandika yale maji yake ya kwanza hakikisha hayachemki yote yakaisha, unayamwaga then ndio unaongeza mengine siyo tu yanaiva haraka na kuondoa ile gesi, bali pia yanakuwa matamu hata ukiyaunga na kitunguu tu bila kuweka viungo vingine wala nazi
 
Yeah wanasema pia ukishayaloweka hivyo ukayabandika yale maji yake ya kwanza hakikisha hayachemki yote yakaisha, unayamwaga then ndio unaongeza mengine siyo tu yanaiva haraka na kuondoa ile gesi, bali pia yanakuwa matamu hata ukiyaunga na kitunguu tu bila kuweka viungo vingine wala nazi
Ninavyopenda maharage hii mada imenifanya leo niyapike, hata mimi nakula hadi yaliyoungwa mafuta tu sio lazima nazi,
Maharage matamu bwanaaaaaa [emoji39]
 
Hakuna ukweli, utamu wa maharage ni uungaji wako, utie vitunguu, karoti, hoho, masala kidogo, tui bubu la nazi mbili, yanakosaje kua matamu kwa mfano, [emoji39]
Na wali au chapati za moto kiasi na juisi ya bariidi ya parachichi miksa embu au ya ukwaju achaa tuu,,,Mamaeee!!
 
Morning bro, hii mada imenigusa maana toka jana nimepiga ma beans ni mwendo wa kiss fm tu pyuuuh pyuuh pyuuuh.
Kama unapika mwenyewe, roweka kwanza maharage yako walau kwa lisaa limoja. Then mwaga maji weka maji fresh ndio uyachemshe. Ukiunga usiwache kuweka thomu na tangawizi...ni lazima

Hio ya kuweka sukari nadhani kama itaongeza na kiungulia. Nadhani lkn sina uhakika
 
Jitahidi Ahsubui kabla hujala chochote Anza na maji ya Moto Kama 1 Lita maana hilo tatizo uchangiwa pia na tatizo la digestion. (mmengenyo wa chakula)

Pia mazoezi hasa ya viungo push up

Kula matunda hasa papai


Pia katika vyakula vyako tia Limao na tangawizi.
Jamani mie nina gas balaa choo nacho ni kigumu nifanyaje?
 
Back
Top Bottom