Kama ukiwa huna Bahati (luck) utatumia nguvu nyingi sana kwenye mambo mengi

Kama ukiwa huna Bahati (luck) utatumia nguvu nyingi sana kwenye mambo mengi

Artifact Collector

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2019
Posts
6,617
Reaction score
10,205
Katika haya maisha kama huna Bahati mambo mengi sana utatumia nguvu.

Mfano kwa Dar es salaam ukianzia Mbezi, ukaenda Buguruni mpaka kariakoo utaona watu wanavyopambana na maisha point yangu ni kwamba kupambana na huna Bahati utatumia nguvu sana

Ukija kwa wachaga wamefanikiwa sana ila wale watu wanabahati ambayo Haina maelezo sio kwamba makabila mengine hawajitumi Bali hawana Bahati

Ukija kwa wazungu ni kweli wanaakili sana ila wana Bahati sana Kuna mambo hawatumii nguvu kuyaelewa ni tofauti na race nyingine

Ukija kwa wanawake kama huna Bahati nao utatumia nguvu nyingi kuwapata na watakusumbua sana, Kuna jamaa ni wakawaida Ila mkienda nae sehemu mademu wa zuri Wanashobokea Sana Mara wanamfananisha ni basi tu waongee nae

Kuna watu wengi wanamaisha ya kawaida sio kwamba hawajitumi wanafanya sana kazi kwa bidii Ila hawana bahati
 
sasa hiv ni saa sita na dakika hamsini na tisa usiku nipo kwenye mishe mishe toka saa moja asubuhi mfukoni nimeambulia elfu ishirini kuna watu kabla ya saa nne asubuhi wametengeneza a lot of money dah world is not fair
 
Hapo juu Kuna sehem nimesema nafikiri Mimi ni miongoni mwa wenye Bahati sio kwamba nachangamsha genge, nna maanisha.

Nakumbuka boss wangu mmoja tuliwahi fanya kazi wote mwaka 2009 aliniambia " The Monk, you know your hands are blessed, whatever you touch works, you are talented..." Alinipigania nikapandishwa mshahara na cheo bila kujali elimu yangu na vigezo vingine.

Huo ni mfano mmoja tu kati ya mingi ambayo siwezi kuielezea yote hapa.
Sio kwamba sipitii changamoto, la hasha lakini Bado naona upendeleo na upendeleo mambo yakifanyika unasema hii ni Neema ya Mungu tu.
 
Unakosea etu wachaga Wana bahati sana unakosea sana mtu wangu tuko nao Wana njaa kibao

Usiingize kabila mzee Kuna vingi katika utajiri japo bahati nakubali 100% mi nilishwai kuwa na bahati namshukuru mungu kwa hapa nilipo

Wachaga hawana bahatu bali waliingia kweny system na kuungashana went bahati ni wale labda wanatokea Yale makabila na background hazijulikani na wanafika mbali
 
Hapo juu Kuna sehem nimesema nafikiri Mimi ni miongoni mwa wenye Bahati sio kwamba nachangamsha genge, nna maanisha.

Nakumbuka boss wangu mmoja tuliwahi fanya kazi wote mwaka 2009 aliniambia " The Monk, you know your hands are blessed, whatever you touch works, you are talented..." Alinipigania nikapandishwa mshahara na cheo bila kujali elimu yangu na vigezo vingine.

Huo ni mfano mmoja tu kati ya mingi ambayo siwezi kuielezea yote hapa.
Sio kwamba sipitii changamoto, la hasha lakini Bado naona upendeleo na upendeleo mambo yakifanyika unasema hii ni Neema ya Mungu tu.
Hiyo siwezi kutafsiri kama ni bahati mkuu labda kwa upande wako maana sijajua wewe hiyo umetoa wapi ! lakini mimi nilichokiona hapo ni juhudi yako kazini na ulikutana na mtu sahihi enough



Closed
 
Back
Top Bottom