Kama ukiwa huna Bahati (luck) utatumia nguvu nyingi sana kwenye mambo mengi

Kama ukiwa huna Bahati (luck) utatumia nguvu nyingi sana kwenye mambo mengi

Mhubiri 9:11​

Tena, nimeona kitu kimoja hapa duniani, kwamba wenye mbio hawafaulu katika riadha, wala wenye nguvu hawashindi vita; wenye busara hawapati chakula, wenye akili hawatajiriki, wala wenye ujuzi hawapandi vyeo; lakini wakati wa bahati huwapata wote pamoja.

CC kajamaa kadogo
ilo andiko limekuja kumaliza kila kitu


"lakini wakati wa bahati huwapata pamoja"

kumbe tunaona watu wote wana bahati isipokuwa yule asiye na juhudi pia nimesoma short story yako hapo juu inaonyesha wewe umewekeza kwenye maarifa [ kujianda ] kwahiyo acha kusema ni bahati mimi naweza kusema hiyo ni juhudi
 
Hapo juu Kuna sehem nimesema nafikiri Mimi ni miongoni mwa wenye Bahati sio kwamba nachangamsha genge, nna maanisha.

Nakumbuka boss wangu mmoja tuliwahi fanya kazi wote mwaka 2009 aliniambia " The Monk, you know your hands are blessed, whatever you touch works, you are talented..." Alinipigania nikapandishwa mshahara na cheo bila kujali elimu yangu na vigezo vingine.

Huo ni mfano mmoja tu kati ya mingi ambayo siwezi kuielezea yote hapa.
Sio kwamba sipitii changamoto, la hasha lakini Bado naona upendeleo na upendeleo mambo yakifanyika unasema hii ni Neema ya Mungu tu.

Una bahati sana mkuu. Na Huyo bosi wako atakuwa ni mzungu. Wao hujali sana experience na nini unaweza kufanya. Vyeti hawana haja navyo kivile.

Ndiyo njia anayoitumia Elon Musk kupata watu wenye vipaji katika makampuni yake ya Tesla na Space X. Ukienda pale cheti siyo ishu sana. Unaulizwa uzoefu wako katika kazi uliyoiomba. Kama huna uzoefu unaulizwa ni nini unaweza kufanya. Interview unapelekwa huko unaonyeshwa real case ya rocket imekwama huko sijui navigation system mbovu. What do you think could be the problem? How do yo solve it both theoretically and practically. Interview hata siku tatu unahangaika tu na kutatua matatizo. Ukipata kazi kweli wanajua wamepata mtu sahihi. Siyo sisi mtu ana first class lakini hawezi kufanya cho chote!
 
Unakosea etu wachaga Wana bahati sana unakosea sana mtu wangu tuko nao Wana njaa kibao

Usiingize kabila mzee Kuna vingi katika utajiri japo bahati nakubali 100% mi nilishwai kuwa na bahati namshukuru mungu kwa hapa nilipo

Wachaga hawana bahatu bali waliingia kweny system na kuungashana went bahati ni wale labda wanatokea Yale makabila na background hazijulikani na wanafika mbali
Mimi sipendi sana kuzungumzia makabila. Ninaishi Kilimanjaro, huwa nikiona mtu anasifia Wachagga kwa Mambo fulani namuona Kama mpumbavu ambaye hajawahi kutoka kwenye comfort zone yake.

Ukweli ni kwamba Wachagga wanazaliwa wakiwa katika mazingira ambayo yanawalazimisha kupambana kufa na kupona na kuthamini unachotafutaa kwasababu wanaona.

Uchaggani Hakuna ardhi kabisa na ardhi nzuri pia ni kidogo mnoo.

Kwahiyo, unazaliwa kwenu tu Hakuna ardhi na hata kama ukipewa wanaita Kihamba Ni kidogo na mkiwa wengi ni balaa zaidi.

Sometimes, Mzee wako anakupq anakwambia Jenga Happ, Kama huna kitu unajenga nyumba ya tope au mbao kulinda Kiwanja.

Huku Hakuna mtu atalia siku ya msiba wako, watu watajaa tu kuja kula na kunywa na kurithi ulicho acha.

Kama huna kipato huku uchaggani utazikwa Kama Mzoga wa mbwa Koko maana Hadi kaburi watu mpaka walipwe ndio wachimbe.

Na ndio maana mchagga Yuko tayari hata kuua watu ili apate pesa.

Kwenye system wengi walking enzi za Mkapa kupitia mke wa Mkapa.

Enzi hizo, Rais Mkapa mke wake ( Mchagga) halafu, Waziri Mkuu Sumaye na Waziri wa fedha Ni FISADI Mramba. Kwanza Rami ilipelekwa kibabe mpaka huko vijijini Rongai, Chaka poli karibu na Kenya.

Kwahiyo, katika mazingira hayo sioni Kama Kuna bahati yoyote.

Mchagga akitoka Old Moshi Hana ardhi, akifika Kishapu huko ardhi tele, na kwasababu thamani yake ananunua eneo kubwa sana analima, anafuga Nguruwe, ng'ombe na mbuzi. Huku akowa na biashara ya muda ana biashara ya Bar na Duka huwezi kusema Ni bahati.

Ni Mapambano yanayotokanq na kumbukumbu mbaya na uzoefu wa alikotoka.
 
Mimi sipendi sana kuzungumzia makabila. Ninaishi Kilimanjaro, huwa nikiona mtu anasifia Wachagga kwa Mambo fulani namuona Kama mpumbavu ambaye hajawahi kutoka kwenye comfort zone yake.

Ukweli ni kwamba Wachagga wanazaliwa wakiwa katika mazingira ambayo yanawalazimisha kupambana kufa na kupona na kuthamini unachotafutaa kwasababu wanaona.

Uchaggani Hakuna ardhi kabisa na ardhi nzuri pia ni kidogo mnoo.

Kwahiyo, unazaliwa kwenu tu Hakuna ardhi na hata kama ukipewa wanaita Kihamba Ni kidogo na mkiwa wengi ni balaa zaidi.

Sometimes, Mzee wako anakupq anakwambia Jenga Happ, Kama huna kitu unajenga nyumba ya tope au mbao kulinda Kiwanja.

Huku Hakuna mtu atalia siku ya msiba wako, watu watajaa tu kuja kula na kunywa na kurithi ulicho acha.

Kama huna kipato huku uchaggani utazikwa Kama Mzoga wa mbwa Koko maana Hadi kaburi watu mpaka walipwe ndio wachimbe.

Na ndio maana mchagga Yuko tayari hata kuua watu ili apate pesa.

Kwenye system wengi walking enzi za Mkapa kupitia mke wa Mkapa.

Enzi hizo, Rais Mkapa mke wake ( Mchagga) halafu, Waziri Mkuu Sumaye na Waziri wa fedha Ni FISADI Mramba. Kwanza Rami ilipelekwa kibabe mpaka huko vijijini Rongai, Chaka poli karibu na Kenya.

Kwahiyo, katika mazingira hayo sioni Kama Kuna bahati yoyote.

Mchagga akitoka Old Moshi Hana ardhi, akifika Kishapu huko ardhi tele, na kwasababu thamani yake ananunua eneo kubwa sana analima, anafuga Nguruwe, ng'ombe na mbuzi. Huku akowa na biashara ya muda ana biashara ya Bar na Duka huwezi kusema Ni bahati.

Ni Mapambano yanayotokanq na kumbukumbu mbaya na uzoefu wa alikotoka.

Hii umenikumbusha jamaa yangu sana alikua Mzimbabwe, nikamuulize kwanini uko aggressive sana, na ni kipi kimekufanya kuwa mtu wa utaratibu na kujipanga kutafuta maisha? Alinijibu tu " poverty my friend, am afraid of pivery, going back to where I came from. You know I got no uncle or some one who can place me somewhere if I get fired or lose the job..."

Mwingine ni mchina, nae nikamuulize kwanini na wao ni wapambanaji sana? Huyo alisema tu " we are so many, we don't believe in God, money/ wealth is what gives you power..."

Nikilinganisha na maelezo Yako hapo juu, naona kabisa Kuna vitu vinaeaendesha watu kuongeza juhudi za mapambano
 
Unakosea etu wachaga Wana bahati sana unakosea sana mtu wangu tuko nao Wana njaa kibao

Usiingize kabila mzee Kuna vingi katika utajiri japo bahati nakubali 100% mi nilishwai kuwa na bahati namshukuru mungu kwa hapa nilipo

Wachaga hawana bahatu bali waliingia kweny system na kuungashana went bahati ni wale labda wanatokea Yale makabila na background hazijulikani na wanafika mbali
Kuwa na ndugu wa kukushika mkono nayo ni bahati
 
Hii umenikumbusha jamaa yangu sana alikua Mzimbabwe, nikamuulize kwanini uko aggressive sana, na ni kipi kimekufanya kuwa mtu wa utaratibu na kujipanga kutafuta maisha? Alinijibu tu " poverty my friend, am afraid of pivery, going back to where I came from. You know I got no uncle or some one who can place me somewhere if I get fired or lose the job..."

Mwingine ni mchina, nae nikamuulize kwanini na wao ni wapambanaji sana? Huyo alisema tu " we are so many, we don't believe in God, money/ wealth is what gives you power..."

Nikilinganisha na maelezo Yako hapo juu, naona kabisa Kuna vitu vinaeaendesha watu kuongeza juhudi za mapambano
Ukiishi uchaggani ndio utajua. Mchagga Hana Ndugu Wala Mtoto.

Ndugu yake Ni Mali.

Huku ukija Wala usishangae kuona mzee au mbibi anasalimia kijana shikamoo.

Kijana anamtuma mzee kwenda dukani kubeba kichwani krate za bia.

Ndio Maisha yao hasa ukiwa huna kitu, unaishi Maisha ya hofu na kudharauliwa na hata ukifa Padre hatakuja.
 
Mimi sipendi sana kuzungumzia makabila. Ninaishi Kilimanjaro, huwa nikiona mtu anasifia Wachagga kwa Mambo fulani namuona Kama mpumbavu ambaye hajawahi kutoka kwenye comfort zone yake.

Ukweli ni kwamba Wachagga wanazaliwa wakiwa katika mazingira ambayo yanawalazimisha kupambana kufa na kupona na kuthamini unachotafutaa kwasababu wanaona.

Uchaggani Hakuna ardhi kabisa na ardhi nzuri pia ni kidogo mnoo.

Kwahiyo, unazaliwa kwenu tu Hakuna ardhi na hata kama ukipewa wanaita Kihamba Ni kidogo na mkiwa wengi ni balaa zaidi.

Sometimes, Mzee wako anakupq anakwambia Jenga Happ, Kama huna kitu unajenga nyumba ya tope au mbao kulinda Kiwanja.

Huku Hakuna mtu atalia siku ya msiba wako, watu watajaa tu kuja kula na kunywa na kurithi ulicho acha.

Kama huna kipato huku uchaggani utazikwa Kama Mzoga wa mbwa Koko maana Hadi kaburi watu mpaka walipwe ndio wachimbe.

Na ndio maana mchagga Yuko tayari hata kuua watu ili apate pesa.

Kwenye system wengi walking enzi za Mkapa kupitia mke wa Mkapa.

Enzi hizo, Rais Mkapa mke wake ( Mchagga) halafu, Waziri Mkuu Sumaye na Waziri wa fedha Ni FISADI Mramba. Kwanza Rami ilipelekwa kibabe mpaka huko vijijini Rongai, Chaka poli karibu na Kenya.

Kwahiyo, katika mazingira hayo sioni Kama Kuna bahati yoyote.

Mchagga akitoka Old Moshi Hana ardhi, akifika Kishapu huko ardhi tele, na kwasababu thamani yake ananunua eneo kubwa sana analima, anafuga Nguruwe, ng'ombe na mbuzi. Huku akowa na biashara ya muda ana biashara ya Bar na Duka huwezi kusema Ni bahati.

Ni Mapambano yanayotokanq na kumbukumbu mbaya na uzoefu wa alikotoka.
umetufundisha kitu
 
Katika haya maisha kama huna Bahati mambo mengi sana utatumia nguvu

Hata kazin kama huna Bahati kupandishwa cheo itakua mtihani wanaweza wakaja wafanya wapya wakapewa vyeo kabla Yako mambo mengine sio uchawi Bali wanakua na bahati

Mfano kwa dar es salaam ukianzia mbezi, ukaenda buguruni mpaka kariakoo utaona watu wanavyopambana na maisha point yangu ni kwamba kupambana na huna Bahati utatumia nguvu sana

Ukija kwa wachaga wamefanikiwa sana ila wale watu wanabahati ambayo Haina maelezo sio kwamba makabila mengine hawajitumi Bali hawana Bahati

Ukija kwa wazungu ni kweli wanaakili sana ila wana Bahati sana Kuna mambo hawatumii nguvu kuyaelewa ni tofauti na race nyingine

Ukija kwa wanawake kama huna Bahati nao utatumia nguvu nyingi kuwapata na watakusumbua sana, Kuna jamaa ni wakawaida Ila mkienda nae sehemu mademu wa zuri Wanashobokea Sana Mara wanamfananisha ni basi tu waongee nae

Kuna watu wengi wanamaisha ya kawaida sio kwamba hawajitumi wanafanya sana kazi kwa bidii Ila hawana bahati
Ukisema hauwezi kufanikiwa kisa huna bahati sio kweli kwa asilimia 100,jiulize Juma nature na Diamond nani mkali,je kwa nini Mond amekuwa tajiri kuliko Juma necha,hapa inabidi uchambue zaidi,hv kipindi,zama za juma necha kulikuwa na YouTube,platform za kuuza miziki,radio za kutosha?Wanamuziki wa sasa hv 2020,wanapiga pesa zaidi kupitia internet platform zaidi,hizi platform hazikuwepo,99,98,2000,sasa wakifanikiwa hiyo sio bahati,ni zama zimebadirika.
Hata kwa wachaga wapo mafukara,sio wote Wana pesa,
Mo dewji,Bakheresa,Sugu,Vunja bei Hawa wote sio wachaga.
Matajiri wapo wengi tu,kama umezunguka hii nchi,ila kuna watu wapo kijasikiamali zaidi,chsga,haya,kinga,lakini haimaniishi wengine wakitumia hizo kanuni hawawezi kutajirika.
Bahati ni muhimu,lakini,ni kama lift tu,anayepewa lift,ni Yule aliyepo barabarani,sasa inategemea unaenda wapi,
Kama unaenda Bsgsmoyo na upo bunju,utapata lift za magsri ya mkaa,matunda,Malory,lakini kama upo afrikana Dar,unaenda kunduchi,uwezekano wa kupata lift ya V8 ni mkubwa.
 
Mimi sipendi sana kuzungumzia makabila. Ninaishi Kilimanjaro, huwa nikiona mtu anasifia Wachagga kwa Mambo fulani namuona Kama mpumbavu ambaye hajawahi kutoka kwenye comfort zone yake.

Ukweli ni kwamba Wachagga wanazaliwa wakiwa katika mazingira ambayo yanawalazimisha kupambana kufa na kupona na kuthamini unachotafutaa kwasababu wanaona.

Uchaggani Hakuna ardhi kabisa na ardhi nzuri pia ni kidogo mnoo.

Kwahiyo, unazaliwa kwenu tu Hakuna ardhi na hata kama ukipewa wanaita Kihamba Ni kidogo na mkiwa wengi ni balaa zaidi.

Sometimes, Mzee wako anakupq anakwambia Jenga Happ, Kama huna kitu unajenga nyumba ya tope au mbao kulinda Kiwanja.

Huku Hakuna mtu atalia siku ya msiba wako, watu watajaa tu kuja kula na kunywa na kurithi ulicho acha.

Kama huna kipato huku uchaggani utazikwa Kama Mzoga wa mbwa Koko maana Hadi kaburi watu mpaka walipwe ndio wachimbe.

Na ndio maana mchagga Yuko tayari hata kuua watu ili apate pesa.

Kwenye system wengi walking enzi za Mkapa kupitia mke wa Mkapa.

Enzi hizo, Rais Mkapa mke wake ( Mchagga) halafu, Waziri Mkuu Sumaye na Waziri wa fedha Ni FISADI Mramba. Kwanza Rami ilipelekwa kibabe mpaka huko vijijini Rongai, Chaka poli karibu na Kenya.

Kwahiyo, katika mazingira hayo sioni Kama Kuna bahati yoyote.

Mchagga akitoka Old Moshi Hana ardhi, akifika Kishapu huko ardhi tele, na kwasababu thamani yake ananunua eneo kubwa sana analima, anafuga Nguruwe, ng'ombe na mbuzi. Huku akowa na biashara ya muda ana biashara ya Bar na Duka huwezi kusema Ni bahati.

Ni Mapambano yanayotokanq na kumbukumbu mbaya na uzoefu wa alikotoka.
Umesema kweli ndo maana wako mikoani sana na wanamiliki ardhi nyingi
 
Naomba nianze na hii theory ya motion 'In every action there is an equal and opposite reaction' Hakunaga bahati wala nyota, haya mambo hutengenezwa na mwisho huonekana ni bahati kumbe sio. Kila unachokifanya huleta matokeo sawasawa na juhudi ulizotumia kutengeneza ama kutengenezewa. Mfano mzuri Mama Samia leo ni Rais, unaweza kusema ana bahati, ila ni alitengeneza na alitengenezewa pia tangu Kitambo, kwahiyo Tanzania kuna wanawake wengi sana waliomzidi Mama Samia kielimu na hata ujuvi wa mambo yahusuyo nchi lakini wao hawakujiyengeneza wala hawakutengenezewa. Ushauri wangu jitengenezee na pia ambatana na watu wanaoweza kukutengenezea fursa. Pia watengenezee watoto wako. Hakuna cha nyota wala mdogo wake nyota wala bahati
 
Maisha ni kama barabara Kuna muda inanyooka na kiteremko kikali kuna muda inakona nyingi na vilima vikali, ukiwa katika hatua ya kunyooka kwenye kiteremko utaamini una bahati sana Ila ikifika kwenye Kona Kali na vilima utaona bahati huna kabisa japo na hapo katikati kuna vikwazo vingine unaweka wewe sasa Kama tabia mbovu,ulevi,uwizi,kutokua muaminifu unaendelea kuitoboatoboa barabara yako hata ukikwama huwezi kusaidika kirahisi
 
hakuna kitu kinaitwa bahati wala nyota acheni kukalilisha watu upuuzi ninachojua dunia inataka juhudi na ukutane na watu sahihi enough
Bahati ipo tena ipo sana soma biblia au Qur'an ndyo utajua ayooo kama wanavyosema waisrael wamependelewa tofauti na wanadamu wengine unaweza his labda ni uzushi Ila ukichimbua utakuta kuna ukweli ndani yake Mimi siyo mtu wa bahati kabisa Mambo yangu mengi lazima nitumie nguvu kuyapata yani lazima yatokane na akili na uwezo wangu bila ivyoo sina Ila Kaka yangu ni mtu wa bahati sana assume aliweka hasara ya million 20 nabado akaeleweka na familia
 
ilo andiko limekuja kumaliza kila kitu


"lakini wakati wa bahati huwapata pamoja"

kumbe tunaona watu wote wana bahati isipokuwa yule asiye na juhudi pia nimesoma short story yako hapo juu inaonyesha wewe umewekeza kwenye maarifa [ kujianda ] kwahiyo acha kusema ni bahati mimi naweza kusema hiyo ni juhudi

Kum 8:17-18​

Hapo usiseme moyoni mwako, Nguvu zangu na uwezo wa mkono wangu ndio ulionipatia utajiri huo. Bali utamkumbuka BWANA, Mungu wako, maana ndiye akupaye nguvu za kupata utajiri; ili alifanye imara agano lake alilowapa baba zako, kama hivi leo.
 
Achana na mambo ya bahati. Weka juhudi.
IMG-20220603-WA0031.jpg
 
Katika haya maisha kama huna Bahati mambo mengi sana utatumia nguvu

Hata kazin kama huna Bahati kupandishwa cheo itakua mtihani wanaweza wakaja wafanya wapya wakapewa vyeo kabla Yako mambo mengine sio uchawi Bali wanakua na bahati

Mfano kwa dar es salaam ukianzia mbezi, ukaenda buguruni mpaka kariakoo utaona watu wanavyopambana na maisha point yangu ni kwamba kupambana na huna Bahati utatumia nguvu sana

Ukija kwa wachaga wamefanikiwa sana ila wale watu wanabahati ambayo Haina maelezo sio kwamba makabila mengine hawajitumi Bali hawana Bahati

Ukija kwa wazungu ni kweli wanaakili sana ila wana Bahati sana Kuna mambo hawatumii nguvu kuyaelewa ni tofauti na race nyingine

Ukija kwa wanawake kama huna Bahati nao utatumia nguvu nyingi kuwapata na watakusumbua sana, Kuna jamaa ni wakawaida Ila mkienda nae sehemu mademu wa zuri Wanashobokea Sana Mara wanamfananisha ni basi tu waongee nae

Kuna watu wengi wanamaisha ya kawaida sio kwamba hawajitumi wanafanya sana kazi kwa bidii Ila hawana bahati
Lucky? Ina mana kulipwa laki 5 mwalimu ni bahati yake? We unaona umaskini na utajiri ni mipango ya mungu?
 
Back
Top Bottom