Mimi sipendi sana kuzungumzia makabila. Ninaishi Kilimanjaro, huwa nikiona mtu anasifia Wachagga kwa Mambo fulani namuona Kama mpumbavu ambaye hajawahi kutoka kwenye comfort zone yake.
Ukweli ni kwamba Wachagga wanazaliwa wakiwa katika mazingira ambayo yanawalazimisha kupambana kufa na kupona na kuthamini unachotafutaa kwasababu wanaona.
Uchaggani Hakuna ardhi kabisa na ardhi nzuri pia ni kidogo mnoo.
Kwahiyo, unazaliwa kwenu tu Hakuna ardhi na hata kama ukipewa wanaita Kihamba Ni kidogo na mkiwa wengi ni balaa zaidi.
Sometimes, Mzee wako anakupq anakwambia Jenga Happ, Kama huna kitu unajenga nyumba ya tope au mbao kulinda Kiwanja.
Huku Hakuna mtu atalia siku ya msiba wako, watu watajaa tu kuja kula na kunywa na kurithi ulicho acha.
Kama huna kipato huku uchaggani utazikwa Kama Mzoga wa mbwa Koko maana Hadi kaburi watu mpaka walipwe ndio wachimbe.
Na ndio maana mchagga Yuko tayari hata kuua watu ili apate pesa.
Kwenye system wengi walking enzi za Mkapa kupitia mke wa Mkapa.
Enzi hizo, Rais Mkapa mke wake ( Mchagga) halafu, Waziri Mkuu Sumaye na Waziri wa fedha Ni FISADI Mramba. Kwanza Rami ilipelekwa kibabe mpaka huko vijijini Rongai, Chaka poli karibu na Kenya.
Kwahiyo, katika mazingira hayo sioni Kama Kuna bahati yoyote.
Mchagga akitoka Old Moshi Hana ardhi, akifika Kishapu huko ardhi tele, na kwasababu thamani yake ananunua eneo kubwa sana analima, anafuga Nguruwe, ng'ombe na mbuzi. Huku akowa na biashara ya muda ana biashara ya Bar na Duka huwezi kusema Ni bahati.
Ni Mapambano yanayotokanq na kumbukumbu mbaya na uzoefu wa alikotoka.