Kama ukiwa huna Bahati (luck) utatumia nguvu nyingi sana kwenye mambo mengi

Kama ukiwa huna Bahati (luck) utatumia nguvu nyingi sana kwenye mambo mengi

Nimeelewa na nnasema kutegemea eti kuna "bahati" ni uzembe.

Wapi pameandikwa mtu asijitume au kufanya kazi ategemee Bahati? Wapi umeona watu wanasubiria bahati kwenye huu mjadala?
 
Ukija kwa wazungu ni kweli wanaakili sana ila wana Bahati sana Kuna mambo hawatumii nguvu kuyaelewa ni tofauti na race nyingine
Wewe ni Mzungu? kama sio mzungu then unajuaje kwamba wazungu kuna baadhi ya mambo hawatumii nguvu kuyaelewa tofaouti na race nyingine?
 
Katika haya maisha kama huna Bahati mambo mengi sana utatumia nguvu

Hata kazin kama huna Bahati kupandishwa cheo itakua mtihani wanaweza wakaja wafanya wapya wakapewa vyeo kabla Yako mambo mengine sio uchawi Bali wanakua na bahati

Mfano kwa Dar es salaam ukianzia Mbezi, ukaenda Buguruni mpaka kariakoo utaona watu wanavyopambana na maisha point yangu ni kwamba kupambana na huna Bahati utatumia nguvu sana

Ukija kwa wachaga wamefanikiwa sana ila wale watu wanabahati ambayo Haina maelezo sio kwamba makabila mengine hawajitumi Bali hawana Bahati

Ukija kwa wazungu ni kweli wanaakili sana ila wana Bahati sana Kuna mambo hawatumii nguvu kuyaelewa ni tofauti na race nyingine

Ukija kwa wanawake kama huna Bahati nao utatumia nguvu nyingi kuwapata na watakusumbua sana, Kuna jamaa ni wakawaida Ila mkienda nae sehemu mademu wa zuri Wanashobokea Sana Mara wanamfananisha ni basi tu waongee nae

Kuna watu wengi wanamaisha ya kawaida sio kwamba hawajitumi wanafanya sana kazi kwa bidii Ila hawana bahati
Opportunity comes to those who are prepared for it. Ukipambana lazma utakutana nayo...hata bible ilishaandika japo sikumbuki kifungu. Hata hao wachaga na wazungu hawakai tu kusubiri bahati. Wanakutana nayo kwenye Hussle ma nigga
 
Nimesoma, hapo ndio umeona watu wasifanye kazi wategemee bahati?
Wewe wacha kubishana kitoto, kama hujanielewa sepa tu, wapo wataonielewa.

Sipo hapa kubishana, nipo hapa kuelimisha japo kiduchu nilicho nacho. Elewa utavoelewa, upo huru.
 
Katika haya maisha kama huna Bahati mambo mengi sana utatumia nguvu

Hata kazin kama huna Bahati kupandishwa cheo itakua mtihani wanaweza wakaja wafanya wapya wakapewa vyeo kabla Yako mambo mengine sio uchawi Bali wanakua na bahati

Mfano kwa Dar es salaam ukianzia Mbezi, ukaenda Buguruni mpaka kariakoo utaona watu wanavyopambana na maisha point yangu ni kwamba kupambana na huna Bahati utatumia nguvu sana

Ukija kwa wachaga wamefanikiwa sana ila wale watu wanabahati ambayo Haina maelezo sio kwamba makabila mengine hawajitumi Bali hawana Bahati

Ukija kwa wazungu ni kweli wanaakili sana ila wana Bahati sana Kuna mambo hawatumii nguvu kuyaelewa ni tofauti na race nyingine

Ukija kwa wanawake kama huna Bahati nao utatumia nguvu nyingi kuwapata na watakusumbua sana, Kuna jamaa ni wakawaida Ila mkienda nae sehemu mademu wa zuri Wanashobokea Sana Mara wanamfananisha ni basi tu waongee nae

Kuna watu wengi wanamaisha ya kawaida sio kwamba hawajitumi wanafanya sana kazi kwa bidii Ila hawana bahati
Usiseme kama huna bahati,sema kama huna connection
 
Exposure na Uko Circled na Watu wa namna gani ndio kuna determine Destiny yako, Hakuna Mambo sijui ya Mungu wala Bahati wala nyota
 
Wewe wacha kubishana kitoto, kama hujanielewa sepa tu, wapo wataonielewa.

Sipo hapa kubishana, nipo hapa kuelimisha japo kiduchu nilicho nacho. Elewa utavoelewa, upo huru.

Basi tufanye sijawa na bahati ya kukuelewa unachoelimisha hapa.
 
Exposure na Uko Circled na Watu wa namna gani ndio kuna determine Destiny yako, Hakuna Mambo sijui ya Mungu wala Bahati wala nyota
Usimshirikishe Mwenyezi Mungu na Bahati na Nyota. Hiyo ni shirki, Mwenyezi Mungu hashirikishwi na chochote.

Hiyo unayoiita "destiny" ndiyo nini hiyo/hicho?
 
Exposure na Uko Circled na Watu wa namna gani ndio kuna determine Destiny yako, Hakuna Mambo sijui ya Mungu wala Bahati wala nyota

How do you ensure " uko circled na watu wa namna flani?"
 
Usimshirikishe Mwenyezi Mungu na Bahati na Nyota. Hiyo ni shirki, Mwenyezi Mungu hashirikishwi na chochote.

Hiyo unayoiita "destiny" ndiyo nini hiyo/hicho?

Mambo ya nyota siyafaham na hua siyaamini. Lakini kuhusu bahati nnaielewa sana. Kwetu wakristo imeandikwa hata katika Biblia.

Mhubiri 9:11​

Tena, nimeona kitu kimoja hapa duniani, kwamba wenye mbio hawafaulu katika riadha, wala wenye nguvu hawashindi vita; wenye busara hawapati chakula, wenye akili hawatajiriki, wala wenye ujuzi hawapandi vyeo; lakini wakati wa bahati huwapata wote pamoja.
 
Mambo ya nyota siyafaham na hua siyaamini. Lakini kuhusu bahati nnaielewa sana. Kwetu wakristo imeandikwa hata Kwa katika Biblia.

Mhubiri 9:11​

Tena, nimeona kitu kimoja hapa duniani, kwamba wenye mbio hawafaulu katika riadha, wala wenye nguvu hawashindi vita; wenye busara hawapati chakula, wenye akili hawatajiriki, wala wenye ujuzi hawapandi vyeo; lakini wakati wa bahati huwapata wote pamoja.
Maneno ya nani hayo?
 
Back
Top Bottom