Mnyuke Jr
JF-Expert Member
- Jul 3, 2021
- 4,472
- 6,391
•Hakuna Bahati wala Nyota katika maisha ya Binadamu ndani ya huu ulimwengu wetu
•Ukiamini katika bahati na Nyota,tayari unakuwa umeingia katika ulimwengu Wa shirki(Nguvu za Giza)
•Kuna wakati mambo yako yataenda tofauti na unavyotegemea na utaanza kuhisi huenda kuna watu wanakuzunguka wamechukua Nyota yako ya kupata bahati na tayari utakuwa umeingia kwenye shirki
•Pia katika Imani yangu ya dini,tunaelekezwa kumuomba mwenyezi mungu atukutanishe na watu sahihi katika Cycle ya maisha yetu,kwani kupitia wao ndo tutapata kazi zitakazotuletea riziki ya maisha yetu
•Up to you kuwajua hao watu sahihi wako wapi? Ambao watakuletea neema katika maisha yako
•Ukiamini katika bahati na Nyota,tayari unakuwa umeingia katika ulimwengu Wa shirki(Nguvu za Giza)
•Kuna wakati mambo yako yataenda tofauti na unavyotegemea na utaanza kuhisi huenda kuna watu wanakuzunguka wamechukua Nyota yako ya kupata bahati na tayari utakuwa umeingia kwenye shirki
•Pia katika Imani yangu ya dini,tunaelekezwa kumuomba mwenyezi mungu atukutanishe na watu sahihi katika Cycle ya maisha yetu,kwani kupitia wao ndo tutapata kazi zitakazotuletea riziki ya maisha yetu
•Up to you kuwajua hao watu sahihi wako wapi? Ambao watakuletea neema katika maisha yako