Kama ukiwa huna Bahati (luck) utatumia nguvu nyingi sana kwenye mambo mengi

Kama ukiwa huna Bahati (luck) utatumia nguvu nyingi sana kwenye mambo mengi

Kwahiyo unataka kusema watu kama kina @mpayungu hawana bahati [emoji23][emoji23]
 
Hakunaga bahati, Ni effort zako zinakutana na opportunity ..ndio munaita lucky, but Mimi naamini hakuna bahati katika maisha. Chochote kiruzi ama kibaya kikitokea kwenye maisha yako, hiyo Ni nature imeamua hivyo.

Kama hamna bahati ilo neno bahati lilitokea wapi?
 
Ngoja na mimi nidokeze

1. Mungu anasema katika biblia kuwa nalikujua kabla ya kuzaliwa maana yake anajua destiny yako nzima

2. Yesu alipozaliwa wale mamajusi waliona nyota yake iking' aa sana na wakamfuata maana yake ni kuwa alizaliwa akiwa na bahati

3. Yusufu alizaliwa katika familia masikini lakini kutokana na bahati aliweza kuwa waziri mkuu wa Misri licha ya kuuzwa na kutupwa na nduguze

Tuje kwetu sasa

1. Kule tu kuzaliwa na wazazi matajiri ni bahati na mtoto huwa hachagui azaliwe na nani fikiria mtoto anazaliwa na Bhakresa huku kule Tandale anazaliwa mtoto kwenye nyumba ya mbavu za mbwa lakini huyu mtoto akiwa na bahati anaweza pindua meza kuliko hata Bhakresa mwenyewe pia anaweza kuwa masikini wa kutupwa kuliko wazazi wake

2. Kulelewa na kukua na wazazi wote ni bahati hebu fikiria mtoto anazaliwa na punde wazazi wanakufa na kuwa yatima asikwambie mtu kutoboa ukiwa yatima ni kazi sana na inahitaji bahati sana kutoboa ila wapo waliofanikiwa ndo tunaita bahati hio

3. Kufanikiwa kusoma na kuwa na akili na uelewa darasani na katika maisha ni bahati ....huku wewe umejua kusoma na kuandika kabla ya kuingia darasa la kwanza kuna wenzako vichwa ni vizito sana hawaambulii chochote darasani na hata shule walifeli wakapata bahati upsnde meingine wa maisha wakatoboa ila trust me lile ombwe la kukosa elimu linawatesa sana hutakiwi kulaumu kukosa ajira na elimu yako mshikuru Mungu hio ni bahati sana kuwa na subra utafanikiwa tu na utatoboa vizuri tu

4 . Kufanikiwa kuoa au kuolewa na mtu sahihi ni bahati .. hapa mifano hai ni mingi tu

5. Mwisho ndugu zangu bahati zipo kuna watu hawatumii nguvu nyingi wala akili nyingi kupush mishe zao na wanatusua tu japo suala la bahati ni subjective ila lipo ukitaka kujua ngoja siku nyota yako ichafuke utajuta kuzaliwa

CHEKA SANA, SIMULIA SANA ILA OMBA YASIKUKUTE
 
Ngoja na mimi nidokeze

1. Mungu anasema katika biblia kuwa nalikujua kabla ya kuzaliwa maana yake anajua destiny yako nzima

2. Yesu alipozaliwa wale mamajusi waliona nyota yake iking' aa sana na wakamfuata maana yake ni kuwa alizaliwa akiwa na bahati

3. Yusufu alizaliwa katika familia masikini lakini kutokana na bahati aliweza kuwa waziri mkuu wa Misri licha ya kuuzwa na kutupwa na nduguze

Tuje kwetu sasa

1. Kule tu kuzaliwa na wazazi matajiri ni bahati na mtoto huwa hachagui azaliwe na nani fikiria mtoto anazaliwa na Bhakresa huku kule Tandale anazaliwa mtoto kwenye nyumba ya mbavu za mbwa lakini huyu mtoto akiwa na bahati anaweza pindua meza kuliko hata Bhakresa mwenyewe pia anaweza kuwa masikini wa kutupwa kuliko wazazi wake

2. Kulelewa na kukua na wazazi wote ni bahati hebu fikiria mtoto anazaliwa na punde wazazi wanakufa na kuwa yatima asikwambie mtu kutoboa ukiwa yatima ni kazi sana na inahitaji bahati sana kutoboa ila wapo waliofanikiwa ndo tunaita bahati hio

3. Kufanikiwa kusoma na kuwa na akili na uelewa darasani na katika maisha ni bahati ....huku wewe umejua kusoma na kuandika kabla ya kuingia darasa la kwanza kuna wenzako vichwa ni vizito sana hawaambulii chochote darasani na hata shule walifeli wakapata bahati upsnde meingine wa maisha wakatoboa ila trust me lile ombwe la kukosa elimu linawatesa sana hutakiwi kulaumu kukosa ajira na elimu yako mshikuru Mungu hio ni bahati sana kuwa na subra utafanikiwa tu na utatoboa vizuri tu

4 . Kufanikiwa kuoa au kuolewa na mtu sahihi ni bahati .. hapa mifano hai ni mingi tu

5. Mwisho ndugu zangu bahati zipo kuna watu hawatumii nguvu nyingi wala akili nyingi kupush mishe zao na wanatusua tu japo suala la bahati ni subjective ila lipo ukitaka kujua ngoja siku nyota yako ichafuke utajuta kuzaliwa

CHEKA SANA, SIMULIA SANA ILA OMBA YASIKUKUTE
Mungu anaijua destiny yako halafu umepata bahati hahahaah

Mungu habahatishi mafanikio yako ila anajua destiny yako na ndio maana anafanya michakato ya kukutanisha na watu sahihi katika cycle ya maisha yako hasa hao wazazi wako matajiri uliozaliwa nao

Bahati ni kamali.......maana yake ni unexpected event to occur na destiny ya mtu sio jambo la kubahatisha litokee ila lilipangwa litokee kwa kukutanishwa na watu sahihi wenye kuendana na destiny yako
 
Nimefuatilia comments za members apa nami nina kitu cha kutoa kichwani
Wiki mbili zilizopita nilinusurika kukosa ajira kisa nauli sh 14000 milango yote ya kupata nauli zilifeli nilileta uzi jf hapa mods wali futa mara 3 nikaona isiwe kesi.

Kumpigia simu alieniita kua vip kuna deadline akajibu sisi tumekuita hapo imepita siku niliyoitwa kisa nauli

Wakati nipo njiani sielewi hili wala lile kisa nauli nakosa mchongo? Nikapata wazo gafla kuuza scanner yangu ya halotel finger print

Nikauza kwa 30000 kwenda nilikoitwa nikaambiwa nimepitiisha siku japo niliomba radhi nikaambiwa njoo anze kazi juma 3 na ilikua alhamisi

Sasa wapi nakaa kumbuka ni wilaya mbili tofauti nyumbani natokaje sina ata pesa

Siku nafika maskani nikapata pesa imeingia ya mshahara wa kazini nilikokua awali apo tumeisotea kama mwezi na nusu hivi

Mwisho nilimbiwa nikikosa kuja juma 3 nafasi sitoikuta tena hapa napo naweza sema Mungu akiamua kukufanikishia jambo kuna mambo yanakuja automatically out of your normal sense
 
Hiyo wakati wake ambayo hauijui ni lini ndio Bahati yenyewe Sasa.
Bahati ni kamali Mzee....... Don't argue in gambling

Tunachokifanya ni kusubiri wakati sahihi na watu sahihi ambao mwenyezi mungu amewapanga kwenye destiny yetu kukutana nao

Ww ulikutana na watu sahihi kwenye harakati zako za kazi ambao walitambua kipaji chako na juhudi ambazo zilipelekea mafanikio yako

Leo hii ungekutana na watu ambao sio sahihi katika kutambua potential yako ungekuwa unazungumza tofauti kabisa

Enyoy your destiny and not otherwise
 
Bahati ni kamali Mzee....... Don't argue in gambling

Tunachokifanya ni kusubiri wakati sahihi na watu sahihi ambao mwenyezi mungu amewapanga kwenye destiny yetu kukutana nao

Ww ulikutana na watu sahihi kwenye harakati zako za kazi ambao walitambua kipaji chako na juhudi ambazo zilipelekea mafanikio yako

Leo hii ungekutana na watu ambao sio sahihi katika kutambua potential yako ungekuwa unazungumza tofauti kabisa

Enyoy your destiny and not otherwise

Gambling na luck ni vitu tofauti japo vinahusiana.

Bahati tunaongelea hapa ndio hiyo wewe unaita destiny. Hakuna mtu anakaa akasema anasubiria Bahati yake itamjia asifanye chochote. Ukikaa hata hao right people utawasikia tu.

Wote hapa tukiwa watoto tunatamani kuwa na mambo mazuri tukiwa watu wazima lakini hatujui kipi kitatufikisha huko. Hakuna mtu yupo mahali alijua atakuwa hapo, hakuna mtu alijua atasoma wapi, ataishi wapi, ataoana na nani atafanyia kazi wapi na ataishi wapi.

Umesema sahihi nisingekutana na watu sahihi isingekua Bahati yangu kufanya Yale nnayoita Bahati.

Lakini pia Kuna upsides na tarbulance nimepitia hapo katikati nahesabu kama darasa. Huenda tunatofautiana tunavyotafsiri Bahati lakini Kwa maelezo Yako wewe unaita destiny.

Mwandishi amesema Kuna vitu hautumii nguvu sana. Na Kuna vitu unahangaika navyo na haviendi Kwa kiwango Cha juhudi zako.
 
Nimefuatilia comments za members apa nami nina kitu cha kutoa kichwani
Wiki mbili zilizopita nilinusurika kukosa ajira kisa nauli sh 14000 milango yote ya kupata nauli zilifeli nilileta uzi jf hapa mods wali futa mara 3 nikaona isiwe kesi.

Kumpigia simu alieniita kua vip kuna deadline akajibu sisi tumekuita hapo imepita siku niliyoitwa kisa nauli

Wakati nipo njiani sielewi hili wala lile kisa nauli nakosa mchongo? Nikapata wazo gafla kuuza scanner yangu ya halotel finger print

Nikauza kwa 30000 kwenda nilikoitwa nikaambiwa nimepitiisha siku japo niliomba radhi nikaambiwa njoo anze kazi juma 3 na ilikua alhamisi

Sasa wapi nakaa kumbuka ni wilaya mbili tofauti nyumbani natokaje sina ata pesa

Siku nafika maskani nikapata pesa imeingia ya mshahara wa kazini nilikokua awali apo tumeisotea kama mwezi na nusu hivi

Mwisho nilimbiwa nikikosa kuja juma 3 nafasi sitoikuta tena hapa napo naweza sema Mungu akiamua kukufanikishia jambo kuna mambo yanakuja automatically out of your normal sense

Mwingine asingechukua hatua yeyote hapo. Hasa baada ya muda wakuitwa kupita. Sasa hivi angekua analaumu kwamba bila connection haupati kazi.
 
Lakini bahati au luck inatengenezwa, inarejeshwa, inaconnectiwa
 
Unadhani Hussein Mwinyi,Ridhione Kikwete,Fred Lowassa, January Makamba na Dada yake,hao wote wanabahati au wanaconnection?

Wanabahatinya kuwa kwenye hizo familia zenye connection. Kwanini wewe haujazaliwa Kwa hiyo familia?

Au ingekua ni hivyo Kuna watu wametoa familia duni sana za Hali ya chini na Bado wamefanikiwa sana tu.

Au unafikiri katika hizo familia ulizizitaja hakuna ambao hawana uelekeo licha ya kuwa wapo kwenye familia zenye connection?
 
Back
Top Bottom