Kama ulishawahi kunywa chai ya kuunguza Sukari tukutane hapa

Noma sana aseeee
Balaa....ila tulizoea tu
Tisa kumi nkaenda Kusoma chimala,mbeya,shule ya Msingi nkakaa na familia fulani wao wasabato chai Yao walikuwa wanachemsha juisi ya chungwa tu,manani ya chai Kwao mwiko,Hata soda pia nooo....
Wengine tumepitia mchanga wa chuma Nahsi ndomana tumekuwa manunda mkuu

Ova
 
Wenyewe wanaitaga makuzi.
 
Umenikumbusha geto salio likikata.. Wewe ni muhenga tu, ila kuna wahenga tulikua shamba siku moja kwenye mavuno basi tulipokosa majani ya chai walichukua majani mabichi ya mti wa limao wakachemsha, ile chai ilikua tamu sana. Tangu siku ile sikua nikibeba majani ya chai shamba.
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Mkuu noma sana uligundua majani ya Chai Og.
 

Haha[emoji1]

Hahah Dah!! Umenukumbusha mbali sana mkuu.
Ndio, ilikuwa sukari inaunguzwa inapatikana chai maridadi sana
kisha unapaka sabuni mwilini yaani mbadala wa mafuta
safari ya shule inaanza. Mimi mara moja moja huwa nafanya mpaka leo
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Noma sana
Shule Ilikuwa kwenda kuwapora watoto wa kishua vilunch box vyao.....
Hali shule ikiwa teeh tunaenda hadi osterbay pry school kuwapora manjumati Yao......nakumbuka shule ya Msingi nlipewa Jina la chamsela
Ilikuwa soooo

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…