hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
hahaaaaaa hahaaaa daaahhh manina hahaaaHuku mikoani life hilo lipo mpaka kesho.
Kuna hii nyingine:
Kama kupika pilau unaona litakupotezea muda, pika wali wa kawaida wa maji, halafu vaa miwani ya jua. Hapo utakuwa unaona pilau.