Kama uliwahi kuisifia series ya LOST njoo hapa

nakumbuka nikiwa chuo niliwapelekea masela wakaanza kuleta dharau hii series ya kawaida lakini sasa hivi wananipigia simu wananiambia ile dude ni hatari


na kitu kinachochovutia zaidi kwenye lost ni vile story imeandikwa,ina matwist ya kutisha.


mkuu embu rudia hii kitu siyo ya kawaida.

 
Lost ipo kati ya series zangu 3 bora..
Ni series ambayo unatakiwa utulie sana kuelewa.. ukicheza kidogo wanakuacha mazima..

Ni series flani utakuta mixer ya kila kitu unachofikiria kama time travelling ,parallel universe, uchawi uchawi , adventure , some action , mapenzi.

Yaani lost ukitulia kuiangalia ni series flani ambayo ni PERFECT..ina kila kitu mtu anachotaka..

Pole sana kama hujaipenda lost..



Kushusu The last ship.. ipo kwenye top 5 zangu.. ni series kali sana. Kama unataka Action za kibabe na zenye story inayoeleweka cheki Last ship..
 
Kama akili yako ni "ndogo" usipoteze muda wako kuangalia series ya "The Lost".
Utapoteza muda wako.
Na inahitaji utulivu.. kuna jamaa nilimpa aangalie.. alikua ni mtu wa kuangalia series anachat hakumaliza hata season 1 ikamkera..

Niliminfluence airudie kwa utulivu.. sasa hivi anakuambia iko kwenye top 3 ya series zake bora za muda wote.
 
Viking niliangalia mpk S3 kama sijakosea King Ragnar alivyoanza kuzingua na kubatizwa nikaacha kuichek. Vp wale watoto wake waliendeleza vzuri?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Viking niliangalia mpk S3 kama sijakosea King Ragnar alivyoanza kuzingua na kubatizwa nikaacha kuichek. Vp wale watoto wake waliendeleza vzuri?

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu kaitafute mapema uko mbele regnar akifa watoto wake ni fire 🔥🔥🔥lakn ivar the boneless yule dogo mremavu anakuja kuwa Viking hatari kushinda hata baba ake anatawala Scandinavia yooote wa England wa wassex walikipata cha moto jamaa alikua na battlefield tactics za ajab kinouma saizi wanagombania ufalme Bron ironinside na Ivar the boneless dogo kaja na jeshi la Russia tunasubil final season
 

Ben kwanini anawasumbua wale wengine jamani


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Viking nzuri japo sikuimalizaga.
 

Last ship imetoka season 2?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi yule Ben ananiudhi jamani halaf mbona huko mjini wote walishawah kukutana tofauti tofauti ni nzuri ila inanichanganya na nipo season 4 tu
Jamani series nyingine kali ipi
Sasa naangalia Lucifer


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sema hivi ,akili ndogo..hyo series kama una akil za kuangalia tamthilia za kikorea au muv za kihind or bongo huwez ipenda hyo

Series inataka utulie usikilize neno moja moja...

Wanasema ile ndege ya malaysia ndo ilitoweka kwa style ile,na ndege znazotoweka kwenye Bermuda Triangle

Hyo series inaeleza conspiracy theories nying sana kama
1.time travel
2.illuminati
3.magnetic field spectrum
4.Bermuda Triangle

Kama akili ndogo huwez ipenda hata sku1
Utapenda series za kupigana pigana tu na ma zombie

Comment tayar
 
Hao vijana ndio wanakuambia prison break ni bora kuliko zote..kwa sababu tu wameilewa ipo direct sana hata mdogo wangu wa miaka 7 anaelewa...ukiwaleta kwenye dude kama lost hawatizami mara mbili
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lost inawafanya baadhi ya watazamaji kuwa Lost wakati wanaingalia

Kwa wale ambao hatujawa Lost, tunaikubali kinyama

Hii series ni kwa great "understanders"

Watu ambao hawajaiangalia Lost na wanajiita wapenda series, nawaonea huruma
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…