Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,113
- 17,645
Angalia "The following" ndio utajua wapagan sio watuAchana na Last ship itakuboa tu Anza na Viking mzee utajua wapagan walivo wasurubu wakristu wa England na France bonge moja la series kama umeielewa GOT bac Viking ndo mahara pake lost niliona mpak season 2 mwanzon mwanzon tu nikatupa season 1 kiukwel iko hot
Ma mke mbona mm nashindwa kuiinjoi..Mimi napenda series akili itumike sana sana. Sio vitendo tu
Comment ya kibabeSema hivi ,akili ndogo..hyo series kama una akil za kuangalia tamthilia za kikorea au muv za kihind or bongo huwez ipenda hyo
Series inataka utulie usikilize neno moja moja...
Wanasema ile ndege ya malaysia ndo ilitoweka kwa style ile,na ndege znazotoweka kwenye Bermuda Triangle
Hyo series inaeleza conspiracy theories nying sana kama
1.time travel
2.illuminati
3.magnetic field spectrum
4.Bermuda Triangle
Kama akili ndogo huwez ipenda hata sku1
Utapenda series za kupigana pigana tu na ma zombie
Comment tayar
Mi yule Ben ananiudhi jamani halaf mbona huko mjini wote walishawah kukutana tofauti tofauti ni nzuri ila inanichanganya na nipo season 4 tu
Jamani series nyingine kali ipi
Sasa naangalia Lucifer
Sent using Jamii Forums mobile app
Soyer mzee wa kaz kachakata mamanz 99.9% kama serikali za mitaaInahitaji utulive sana kuielewa.Sema Jack ana bore sana...mzembe sana when it comes to affair na kutumia fursa kwa watoto wazuri.ustaarab mwingi mpaka kero
Halaf ngoma zote alizochakata zilikua za jackblive live..sema ndiobuzembe wake wa kioumbavu na ustaarabu uliovuoa mipaka.Soyer mzee wa kaz kachakata mamanz 99.9% kama serikali za mitaa
Maroboti yametengezwa na yanamaisha kama binadamu wa kawaida,Inahusiana na Nini hiyo series?
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] ulitisha sana mkuu.Nakumbuka nilikua nafanya special test na UE Open University, pia nilikua na test taasis nyingine siku hio hio, then nilikua addict wa LOST nakumbuka nilitoboa mpaka saa kumi na moja asubuh naangalia lost nilienda kuoga tu nkazama chuo niliacha blank booklet nikakimbia kabla sijasin niliona chenga tu thanks Lord lile somo lilikua elective tu
Halafu mtu anakuja anaiponda tu kirahis rahis ila sishangai maana hata those day tulikua hatuwashauri jamaa zetu vilaza kuangalia ile kiti
Lost nimeiona 2008 wewe unaangalia leo...? Lazima itakuwa imeisha utamu tu..Kama uliwahi kuisifia series hii inayoitwa Lost humu JF njoo pm nikuchape vibao.
Kuna watu wanaingizana mkenge humu, Wanakisifia kitu ila ukitizama ni uchafu mtupu. J.J.Abrams ni moja ya Director na Creators mzuri ninayemkubali baada ya Russo Brothers,David Cameron,Mel Gibson,Zack Snyder,D.Weiss&D Benioff ila kwa hii series Kaniangusha sana.
Mlio isifia hii series hongereni kwa kunipotezea muda!!
Uliyenishauri kutizama G.OT Ahsante sana..nitakusifu siku zote.
Haya niambieni kati ya Last Ship na Viking niangalie ipi?
Hii ndo baba wa series zote dunianInahusiana na Nini hiyo?
Inahusiana na Nini hiyo?
ukimaliza LOST njoo tuangalie WESTWORLD
Ni hatari sana mkuu,lazima ushike kichwa
Unaielewa episode ya mwisho...yaani wabongo wengi hawaujui huu mzigo ila...........