Kama uliwahi kuisifia series ya LOST njoo hapa

Kama uliwahi kuisifia series ya LOST njoo hapa

Kama uliwahi kuisifia series hii inayoitwa Lost humu JF njoo pm nikuchape vibao.
Kuna watu wanaingizana mkenge humu, Wanakisifia kitu ila ukitizama ni uchafu mtupu. J.J.Abrams ni moja ya Director na Creators mzuri ninayemkubali baada ya Russo Brothers,David Cameron,Mel Gibson,Zack Snyder,D.Weiss&D Benioff ila kwa hii series Kaniangusha sana.
Mlio isifia hii series hongereni kwa kunipotezea muda!!

Uliyenishauri kutizama G.OT Ahsante sana..nitakusifu siku zote.

Haya niambieni kati ya Last Ship na Viking niangalie ipi?
Angalia zote last ship na viking.ila anza na viking

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lost ya ukweli sana, amsha amsha za kule pori..na nature ya kisa chenyewe mtuzi alitumia akili kubwa sana...Ukiiangalia fasta fasta lazima ikuchanganye...Niliishia Season ya 6 Col Rocky katumbukiza Bomu kwenye lile shimo akiwa na lengo la kuivuruga system yote ya mahali pale.
Ipo inayoendelea baada ya bomu kulipuka itafute. Lost ni series kwa mtu makini maana matukio yake yanataka umakini utulie uangalie na uelewe kila neno linalotamkwa.. Sio zile series unaangalia hata bila sauti unaelewa.. Mtu unaangalia episode nzima ume mute sauti na bado unaelewa episode nzima.. Lost na X files ndo series pekee nmewahi kuangalia inakubidi uelewe point to point na ukishaanza kuielewa mwanzo tu hutakaa kuziacha.. Sema x files niliichoka..ndefu kama isdingo..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ipo inayoendelea baada ya bomu kulipuka itafute. Lost ni series kwa mtu makini maana matukio yake yanataka umakini utulie uangalie na uelewe kila neno linalotamkwa.. Sio zile series unaangalia hata bila sauti unaelewa.. Mtu unaangalia episode nzima ume mute sauti na bado unaelewa episode nzima.. Lost na X files ndo series pekee nmewahi kuangalia inakubidi uelewe point to point na ukishaanza kuielewa mwanzo tu hutakaa kuziacha.. Sema x files niliichoka..ndefu kama isdingo..

Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani mkuu...nitaitafuta aisee..mambo nayo yamekuwa mengi sana.
 
Mr. Robot.
Hackers vs multinational corporations series Bora kabisaa
MV5BMzgxMmQxZjQtNDdmMC00MjRlLTk1MDEtZDcwNTdmOTg0YzA2XkEyXkFqcGdeQXVyMzQ2MDI5NjU%40._V1_.jpg
888d1bbba11f6b455f370331098a87f6.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • You-didnt-lose-the-game.-You-just-ran-out-of-time.jpg
    You-didnt-lose-the-game.-You-just-ran-out-of-time.jpg
    21.9 KB · Views: 7
Wewe kwenye "emperor of sea" si ulikuwa unazingua kumchakata lady 'jang_hwa' mpaka 'head chief' akawa anakusaidia kuchakata.
Hili mbwa nalo lilinikera sana hapo tu..Yan goli wazi kipa hayupo halaf unaleta ustaarab wako wa kijinga jinga..
 
Nakumbuka nilikua nafanya special test na UE Open University, pia nilikua na test taasis nyingine siku hio hio, then nilikua addict wa LOST nakumbuka nilitoboa mpaka saa kumi na moja asubuh naangalia lost nilienda kuoga tu nkazama chuo niliacha blank booklet nikakimbia kabla sijasin niliona chenga tu thanks Lord lile somo lilikua elective tu
Halafu mtu anakuja anaiponda tu kirahis rahis ila sishangai maana hata those day tulikua hatuwashauri jamaa zetu vilaza kuangalia ile kiti
Dah!..ulicheza kamari kubwa sana mkuu.
 
Achana na Last ship itakuboa tu Anza na Viking mzee utajua wapagan walivo wasurubu wakristu wa England na France bonge moja la series kama umeielewa GOT bac Viking ndo mahara pake lost niliona mpak season 2 mwanzon mwanzon tu nikatupa season 1 kiukwel iko hot
Regnar ameenda valhalla

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom