Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Angalia The Last Ship
Haiitwi last ship
Nitajie series kali zinazohusu mambo ya cia niangalie
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalia The Last Ship
Haiitwi last ship
Blindspot
Hili dude ndiyo hatari kabisaUnaielewa episode ya mwisho...yaani wabongo wengi hawaujui huu mzigo ila...........
Najua ni je ya mada lakini umecheki avatar yangu?
Kuna kitu kinaitwa the x files, nilianza kuangalia tokea kitambo tokea nipo mdogo mpaka nakua na jamaa wapo fll UFO Conspiracy theory, hivi vitu huwezi kuelewa kama wewe ni wale wa "money heist " .
Sent using Jamii Forums mobile app
Angalia zote last ship na viking.ila anza na vikingKama uliwahi kuisifia series hii inayoitwa Lost humu JF njoo pm nikuchape vibao.
Kuna watu wanaingizana mkenge humu, Wanakisifia kitu ila ukitizama ni uchafu mtupu. J.J.Abrams ni moja ya Director na Creators mzuri ninayemkubali baada ya Russo Brothers,David Cameron,Mel Gibson,Zack Snyder,D.Weiss&D Benioff ila kwa hii series Kaniangusha sana.
Mlio isifia hii series hongereni kwa kunipotezea muda!!
Uliyenishauri kutizama G.OT Ahsante sana..nitakusifu siku zote.
Haya niambieni kati ya Last Ship na Viking niangalie ipi?
Blindspot
HawaiiOFive
Intelligence
Person of interest
Duuuu
Ipo inayoendelea baada ya bomu kulipuka itafute. Lost ni series kwa mtu makini maana matukio yake yanataka umakini utulie uangalie na uelewe kila neno linalotamkwa.. Sio zile series unaangalia hata bila sauti unaelewa.. Mtu unaangalia episode nzima ume mute sauti na bado unaelewa episode nzima.. Lost na X files ndo series pekee nmewahi kuangalia inakubidi uelewe point to point na ukishaanza kuielewa mwanzo tu hutakaa kuziacha.. Sema x files niliichoka..ndefu kama isdingo..Lost ya ukweli sana, amsha amsha za kule pori..na nature ya kisa chenyewe mtuzi alitumia akili kubwa sana...Ukiiangalia fasta fasta lazima ikuchanganye...Niliishia Season ya 6 Col Rocky katumbukiza Bomu kwenye lile shimo akiwa na lengo la kuivuruga system yote ya mahali pale.
Shukrani mkuu...nitaitafuta aisee..mambo nayo yamekuwa mengi sana.Ipo inayoendelea baada ya bomu kulipuka itafute. Lost ni series kwa mtu makini maana matukio yake yanataka umakini utulie uangalie na uelewe kila neno linalotamkwa.. Sio zile series unaangalia hata bila sauti unaelewa.. Mtu unaangalia episode nzima ume mute sauti na bado unaelewa episode nzima.. Lost na X files ndo series pekee nmewahi kuangalia inakubidi uelewe point to point na ukishaanza kuielewa mwanzo tu hutakaa kuziacha.. Sema x files niliichoka..ndefu kama isdingo..
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe kwenye "emperor of sea" si ulikuwa unazingua kumchakata lady 'jang_hwa' mpaka 'head chief' akawa anakusaidia kuchakata.Halaf ngoma zote alizochakata zilikua za jackblive live..sema ndiobuzembe wake wa kioumbavu na ustaarabu uliovuoa mipaka.
Wanawake sometime wanapenda watu waliojitoa akil.
Hili mbwa nalo lilinikera sana hapo tu..Yan goli wazi kipa hayupo halaf unaleta ustaarab wako wa kijinga jinga..Wewe kwenye "emperor of sea" si ulikuwa unazingua kumchakata lady 'jang_hwa' mpaka 'head chief' akawa anakusaidia kuchakata.
Dah!..ulicheza kamari kubwa sana mkuu.Nakumbuka nilikua nafanya special test na UE Open University, pia nilikua na test taasis nyingine siku hio hio, then nilikua addict wa LOST nakumbuka nilitoboa mpaka saa kumi na moja asubuh naangalia lost nilienda kuoga tu nkazama chuo niliacha blank booklet nikakimbia kabla sijasin niliona chenga tu thanks Lord lile somo lilikua elective tu
Halafu mtu anakuja anaiponda tu kirahis rahis ila sishangai maana hata those day tulikua hatuwashauri jamaa zetu vilaza kuangalia ile kiti
angalia scooby dooHaya niambieni kati ya Last Ship na Viking niangalie ipi?
IshaishaHivi hii last ship bado inaendelea? nakumbuka niliishia season 5
Regnar ameenda valhallaAchana na Last ship itakuboa tu Anza na Viking mzee utajua wapagan walivo wasurubu wakristu wa England na France bonge moja la series kama umeielewa GOT bac Viking ndo mahara pake lost niliona mpak season 2 mwanzon mwanzon tu nikatupa season 1 kiukwel iko hot