Kama uliwahi kusoma darasani, kuishi karibu au kujuana na mtu maarufu (celebrity), maisha yake yalikuwaje?

Mimi nimesoma na darasa moja na Kabudi habari za mitishamba alizipenda tangu tukiwa shule [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ananyota ya Uganga na Ufumu.
 
Nasubiri aliyesoma na Ze Dudu atuambie alikuwa anapata wapi jani na NIPA (Nw International Pure Alcohol).
 
Nimesoma shule mmoja na mh mbowe yaani shule niliyosoma mm a level na mbowe alisoma wkt fln nikiwa mwalimu wa tempo ktk shule hyo mbowe aliweza kufika na kuwasalimu walimu na wanafunzi wakatolewa wote nnje mbowe. Ahutubie ..namkumbuka sna alituachia Kama milion mbili HV na usheee ..

Yaani [emoji3] namuona jins alivyo kuwa anahutubia maelf ya wanafunzi jioni ile
Shule hyo inaitwa Kolila high schools ...na hata pia lema alisoma pale
 
We niamke Mimi![emoji23][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1]Mimi mkubwa wewe!!
Wee ni mkubwa mlongo sikatai, nahis hata dada angu wa kwanza umemzidi. [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani wee umesoma Jiteute pale? [emoji23][emoji23]
 
Nilisoma na ambwene mwasongwe ila alinitangulia mwaka mmoja,kiukweli alikuwa mtu poa tu hakuwa na makuu,nilikuwa jirani na niki mbishi wakati anasoma MIST kipindi hicho kwa sasa MUST alikuwa anamfuatilia binti mmoja hivi alikuwa anasomea Samora Machel kiukweli alikuwa ana ugangster sana kutokana na masomo aliyokuwa anachukua
 
Lema na shule wapi na wapi?
Mbowe si kasoma minaki huko?
 
Morogoro, Nilikutana Na 20% Akiwa Amekaa Juu Ya Mpera Nikamsalimia Na Kumuomba Anichumie Pera Akanijibu "Acha Tamaa, Sifa Ya Moyoo Tamaa, Tamaa Mbaya Mdg Wangu" Nashangaa Baadae Akaja Kuimba Wimbo Huo...Wimbo Ulitungiwa Juu Ya Mpera Ule.
 
Producer Lamar
Kennedy yule model amemuoa Miss Tz
Buff G
KidBwoy
Fatma Almas Nyangasa

Maisha yao yalikuwa ya kawaida tu wachakarikaji sana
 
Mimi huwa naogopa kujulikana hivyo napunguza kufahamika sana au kujulikana na ninaosoma nao. Hata sitoki mara nyingi na nina very close friends wachache. Mtu akijua taarifa yangu yeyote nakuwa na mashaka
Wewe ni nan,
Wewe ni nyoka ulietukuka.
 
Pole pole, mnyika etc
Nawajua vzr Hapo mbuyuni
Walikuwa wapole, wanyonge
Walikuwa John kisomo wkt ss tulikuwa
Wazee wa umabo, kuingilia dirishani kutokea dirishani

Ova
 
Nilisoma na one incredible chuo...alikua mwana tu no makuu

Nilisoma na aggrey chuo...mambo yake ya kushushua ila hakua Kama alivyo sasa
Aggrey yupi huyo? Huyu huyu au? Nimecheka mie lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kumbe ni msomi mzuri tyuuh, sasa kwann ana haha vile, nkajuaga Elimu haijapanda, afu nilikua nadhan ni mdogo yulee kumbe mtu mzima khaaah.

Daaah aiseeeeh, nimekumbuka niliwahi kumuona pale ubungo plaza hizo tashititi zake sasa mie hoi. Uwiiiih
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…