Kama uliwahi kusoma darasani, kuishi karibu au kujuana na mtu maarufu (celebrity), maisha yake yalikuwaje?

Kama uliwahi kusoma darasani, kuishi karibu au kujuana na mtu maarufu (celebrity), maisha yake yalikuwaje?

Daaah! nakumbuka miaka ya 2000 tulikuwa tunaishi mtaa mmoja na msaani mmoja anaitwa VOICE WONDER huyu jamaa alikuwa peace na kipindi hicho nipo shule ya msingi Tabata nilikuwa nawatambia sana mademu kuwa voice wonder ni broh angu, niliopoa sana mademu sababu ya huyu jamaa.


Baadae nikahamishwa shule na kuhamia shule ya msingi MABIBO ile mabibo ya MAKUBURI, daah huku pia nikapata rafiki mmoja darasani anaitwa ISSA ABDALLAH sasa hivi huyu jamaa anacheza mpira IHEFU anatumia jina la ISSAH NGOAH basi bwana kumbe huyu mshikaji kaka ake alikuwa ni MB DOG aisee nikatamba tena mtaani kwangu kuwa MB DOG ni broh angu maana mdogo ake nipo nae darasa moja , alafu kipindi hicho MB DOG walikuwa wanakaa mtaa mmoja na ZOLA D na msaani mwingine alikuwa anaitwa SHELEA MAN, Nakumbuka siku moja ISSA alikuja nyumbani kufata samaki wa kufuga wale way back sana alikuja na kaka ake MB GOD aisee mtaa mzima ulihamia nyumbani, nikaopoa sana mademu [emoji14]

Baada Issa kumleta kaka ake nyumbani baadae jamaa (Mb dog) alikuwa anakuja mwenyewe tu kuchukua samaki, nilipata sana fame mtaani siku nyingine alikuwa anakuja na ZOLA D jamaa alikuwa mbavu kinoma basi mtaani na mimi nikawa super star, nikawa nagonga pisi kali tu kipindi hicho, wakawa wanakuja hadi kina SQUEZAR, DATAZ, MADEE, JAFARAY


Baadae kabisa nikawa najulikana na wasanii wengi tu sababu ya kuuza samaki wa mapambo hawa na hadi leo hii nina connetion na wasanii kama wote kina mr blue, songa, grace matata, damian soul, G nako, babu wa kitaa na mdogo ake country boy, dogo janja, madee, jay moe na wengine sababu ya samaki wa mapambo na ndio biashara yangu kubwa inayonikutanisha na watu maarufu hadi leo [emoji1431]
Ulivyomtaja Zola d umenikumbusha kitambo Sana, huyu alikuwa rafiki yangu wa kalamu, nilikuja kutembea mpaka kwake,alafu nilikuwa sikujua kama star, baadaye ndo najua, kwake usiku mlango hafungi na hakuna kibaka wala mwizi anayesubutu kuingia kwake.
 
Daaah! nakumbuka miaka ya 2000 tulikuwa tunaishi mtaa mmoja na msaani mmoja anaitwa VOICE WONDER huyu jamaa alikuwa peace na kipindi hicho nipo shule ya msingi Tabata nilikuwa nawatambia sana mademu kuwa voice wonder ni broh angu, niliopoa sana mademu sababu ya huyu jamaa.


Baadae nikahamishwa shule na kuhamia shule ya msingi MABIBO ile mabibo ya MAKUBURI, daah huku pia nikapata rafiki mmoja darasani anaitwa ISSA ABDALLAH sasa hivi huyu jamaa anacheza mpira IHEFU anatumia jina la ISSAH NGOAH basi bwana kumbe huyu mshikaji kaka ake alikuwa ni MB DOG aisee nikatamba tena mtaani kwangu kuwa MB DOG ni broh angu maana mdogo ake nipo nae darasa moja , alafu kipindi hicho MB DOG walikuwa wanakaa mtaa mmoja na ZOLA D na msaani mwingine alikuwa anaitwa SHELEA MAN, Nakumbuka siku moja ISSA alikuja nyumbani kufata samaki wa kufuga wale way back sana alikuja na kaka ake MB GOD aisee mtaa mzima ulihamia nyumbani, nikaopoa sana mademu [emoji14]

Baada Issa kumleta kaka ake nyumbani baadae jamaa (Mb dog) alikuwa anakuja mwenyewe tu kuchukua samaki, nilipata sana fame mtaani siku nyingine alikuwa anakuja na ZOLA D jamaa alikuwa mbavu kinoma basi mtaani na mimi nikawa super star, nikawa nagonga pisi kali tu kipindi hicho, wakawa wanakuja hadi kina SQUEZAR, DATAZ, MADEE, JAFARAY


Baadae kabisa nikawa najulikana na wasanii wengi tu sababu ya kuuza samaki wa mapambo hawa na hadi leo hii nina connetion na wasanii kama wote kina mr blue, songa, grace matata, damian soul, G nako, babu wa kitaa na mdogo ake country boy, dogo janja, madee, jay moe na wengine sababu ya samaki wa mapambo na ndio biashara yangu kubwa inayonikutanisha na watu maarufu hadi leo [emoji1431]
Sijakupata hapo unaposema "babuu wa kitaa na mdogo wake country boy" ina maana hao jamaa ni ndugu??
 
Wee!Mama P alikua bandidu sana ,enzi hizo shule zilikua chache sana,Za gvt kama 8 au tisa, private hazifik 30 so mnajuana sana hapa mjini!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee shos ndo kipindi cha kina kajala? Mmmh
 
Nilisoma na Rashid Makwiro aka Chid boy enzi hizo na Chid Benz siku hizi...he was naughty kama alivyokuwa kitaa alikuwa anachana mistari kitamboo kiboko yake chid ni headmaster Usangira na Second Master Maguhu rip chid mnyama kitambo yaani hiyo ilikuwa 2000s mwanzomwanzo
 
Wengi sana, kuanzia Primary, O-level, A-level, Chuo, jeshini hadi KAZINI aisee, nikifikiria naona ni bahati sana!
 
Ngwair, mez B, Noorah,......na wengine walijaribu mziki ukawakataa. Hawa mziki toka primary.
 
Daaah! nakumbuka miaka ya 2000 tulikuwa tunaishi mtaa mmoja na msaani mmoja anaitwa VOICE WONDER huyu jamaa alikuwa peace na kipindi hicho nipo shule ya msingi Tabata nilikuwa nawatambia sana mademu kuwa voice wonder ni broh angu, niliopoa sana mademu sababu ya huyu jamaa.


Baadae nikahamishwa shule na kuhamia shule ya msingi MABIBO ile mabibo ya MAKUBURI, daah huku pia nikapata rafiki mmoja darasani anaitwa ISSA ABDALLAH sasa hivi huyu jamaa anacheza mpira IHEFU anatumia jina la ISSAH NGOAH basi bwana kumbe huyu mshikaji kaka ake alikuwa ni MB DOG aisee nikatamba tena mtaani kwangu kuwa MB DOG ni broh angu maana mdogo ake nipo nae darasa moja , alafu kipindi hicho MB DOG walikuwa wanakaa mtaa mmoja na ZOLA D na msaani mwingine alikuwa anaitwa SHELEA MAN, Nakumbuka siku moja ISSA alikuja nyumbani kufata samaki wa kufuga wale way back sana alikuja na kaka ake MB GOD aisee mtaa mzima ulihamia nyumbani, nikaopoa sana mademu [emoji14]

Baada Issa kumleta kaka ake nyumbani baadae jamaa (Mb dog) alikuwa anakuja mwenyewe tu kuchukua samaki, nilipata sana fame mtaani siku nyingine alikuwa anakuja na ZOLA D jamaa alikuwa mbavu kinoma basi mtaani na mimi nikawa super star, nikawa nagonga pisi kali tu kipindi hicho, wakawa wanakuja hadi kina SQUEZAR, DATAZ, MADEE, JAFARAY


Baadae kabisa nikawa najulikana na wasanii wengi tu sababu ya kuuza samaki wa mapambo hawa na hadi leo hii nina connetion na wasanii kama wote kina mr blue, songa, grace matata, damian soul, G nako, babu wa kitaa na mdogo ake country boy, dogo janja, madee, jay moe na wengine sababu ya samaki wa mapambo na ndio biashara yangu kubwa inayonikutanisha na watu maarufu hadi leo [emoji1431]
Mshukuru sana dogoo!!!
 
Mimi nimesoma na darasa moja na Kabudi habari za mitishamba alizipenda tangu tukiwa shule [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom