Kama Umaarufu unalipa nini kimemfanya Haji Manara akose Kura CCM inayohusishwa na Yanga SC Kimahusiano?

Kama Umaarufu unalipa nini kimemfanya Haji Manara akose Kura CCM inayohusishwa na Yanga SC Kimahusiano?

Aliyeongoza kwa kura anatoka Iringa Leonard, ana kampuni inayotengeneza nguzo za umeme, uchaguzi wa Ccm watu wanashindana kuhonga.
Mbona mimi nina kampuni cha kubangua Korosho,kuchambua Pamba na mabus 200 ya kwenda mikoani nimeambulia kura 27.

Tatizo si kuonga tu,unatakiwa kujiongeza kidogo ikiwa ni pamoja na kumsifia mkuu hata kama kachukua mikopo ya kupaka kucha rangi.
 
Mbona mimi nina kampuni cha kubangua Korosho,kuchambua Pamba na mabus 200 ya kwenda mikoani nimeambulia kura 27.

Tatizo si kuonga tu,unatakiwa kujiongeza kidogo ikiwa ni pamoja na kumsifia mkuu hata kama kachukua mikopo ya kupaka kucha rangi.
Umesema Ukweli mtupu na nakubaliana nawe 100% zote kabisa Ndugu.
 
Mbona mimi nina kampuni cha kubangua Korosho,kuchambua Pamba na mabus 200 ya kwenda mikoani nimeambulia kura 27.

Tatizo si kuonga tu,unatakiwa kujiongeza kidogo ikiwa ni pamoja na kumsifia mkuu hata kama kachukua mikopo ya kupaka kucha rangi.

ili ukalinde mali zako kupitia chama.bora ujapita
 
Mbona mimi nina kampuni cha kubangua Korosho,kuchambua Pamba na mabus 200 ya kwenda mikoani nimeambulia kura 27.

Tatizo si kuonga tu,unatakiwa kujiongeza kidogo ikiwa ni pamoja na kumsifia mkuu hata kama kachukua mikopo ya kupaka kucha rangi.
Huyo si mwenzentu, hata Wasira si kwamba ana pesa nyingi Bali ameingizwa kimkakati.

Kwa kifupi issue ya 2025 mama ameshamaliza shughuri safu imeshapangwa na hakuna kitimbakwiri yeyote Ccm atakayethubutu kunyanyuwa mdomo kushindana na mama 2025.
 
Huyo si mwenzentu, hata Wasira si kwamba ana pesa nyingi Bali ameingizwa kimkakati.

Kwa kifupi issue ya 2025 mama ameshamaliza shughuri safu imeshapangwa na hakuna kitimbakwiri yeyote Ccm atakayethubutu kunyanyuwa mdomo kushindana na mama 2025.
Mimi walinipakazia eti team Majaliwa.
 
Umaarufu na kukubalika ni vitu viwili tofauti

Unaweza ukawa una umaarufu wa kuwasema wengine vibaya tena kwa maneno machafu


Hata kwenye kura tu taarifa zinadai huyo Manara alizidiwa na Hassan Bumbuli na Shafii Dauda

Asizuzukwe na idadi ya followers akajiona ni mtu fulani unayependwa sana kiasi akajiona ana nafasi kubwa ya kupewa dhamana ya uongozi kwenye taasisi kubwa, lakini kiuhalisia sidhani kama kuna mtu angependa kuwa ofisi moja na mtu mwenye kaliba kama ya Manara
 
Back
Top Bottom