Kama Umaarufu unalipa nini kimemfanya Haji Manara akose Kura CCM inayohusishwa na Yanga SC Kimahusiano?

Kama Umaarufu unalipa nini kimemfanya Haji Manara akose Kura CCM inayohusishwa na Yanga SC Kimahusiano?

Mbona mimi nina kampuni cha kubangua Korosho,kuchambua Pamba na mabus 200 ya kwenda mikoani nimeambulia kura 27.

Tatizo si kuonga tu,unatakiwa kujiongeza kidogo ikiwa ni pamoja na kumsifia mkuu hata kama kachukua mikopo ya kupaka kucha rangi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa ulikwamaaa wapi wee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unamkubali sana huyu Mwamba Ndugu kama Mimi? Hivi kapotelea wapi ghafla hivi? Hata Mimi nimemmisi kinoma na naona Pengo lake kabisa katika Kuichangamsha JamiiForums Kimijadala na Kiuwasilishaji wake.
Una mambo ya kitoto sana.
 
Kazi yangu leo ni Kusoma tu Mirejesho yenu ( Comments zenu ) juu ya Jambo nililoliuliza hapo juu katika Kichwa changu cha Habari.
Umaarifu wake unamlipa kumudu kuweka mkate mezani ili watoto,wake zake na dependants wengine wawe wanashiba on daily basis.
Umaarufu huwa na kikomo cha kulipa, kikomo cha umaarufu wake kiliishia kwenye kuingia kwenye kinyang'anyiro.
Kumbuka ana historia ya kuwa na kesi ya 'wizi' pale Lumumba enzi hizo na alihudhuria sana mahakamani hivyo kuna uwezekano hilo faili chafu lilichangia katika kumharibia, kwenye kampeni za chinichini lazima wajumbe walikuwa wakikumbushwa kuhusu hilo.
All in all usisahau kuwa CCM ina wenyewe na term wenyewe hutegemea nani ni mwenyekiti wa chama wa wakati hisika, hii ni zamu yetu sie wa Mchamba Wima tukipoea msaada wa nani anastahili kuwa wapi kutoka pande za Msoga.
 
Kazi yangu leo ni Kusoma tu Mirejesho yenu ( Comments zenu ) juu ya Jambo nililoliuliza hapo juu katika Kichwa changu cha Habari.
popoma pole kwa kula spana. naona ID zako zote sasa zinaanza kuwekwa korokoroni....moja baada ya nyingine.
 
Back
Top Bottom