NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
Haji manara sio maarufu labdabsababu ni mzungu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa ulikwamaaa wapi weeMbona mimi nina kampuni cha kubangua Korosho,kuchambua Pamba na mabus 200 ya kwenda mikoani nimeambulia kura 27.
Tatizo si kuonga tu,unatakiwa kujiongeza kidogo ikiwa ni pamoja na kumsifia mkuu hata kama kachukua mikopo ya kupaka kucha rangi.
Una mambo ya kitoto sana.Unamkubali sana huyu Mwamba Ndugu kama Mimi? Hivi kapotelea wapi ghafla hivi? Hata Mimi nimemmisi kinoma na naona Pengo lake kabisa katika Kuichangamsha JamiiForums Kimijadala na Kiuwasilishaji wake.
Umaarifu wake unamlipa kumudu kuweka mkate mezani ili watoto,wake zake na dependants wengine wawe wanashiba on daily basis.Kazi yangu leo ni Kusoma tu Mirejesho yenu ( Comments zenu ) juu ya Jambo nililoliuliza hapo juu katika Kichwa changu cha Habari.
popoma pole kwa kula spana. naona ID zako zote sasa zinaanza kuwekwa korokoroni....moja baada ya nyingine.Kazi yangu leo ni Kusoma tu Mirejesho yenu ( Comments zenu ) juu ya Jambo nililoliuliza hapo juu katika Kichwa changu cha Habari.