Kama umeajiriwa sehemu yoyote shika sana kazi yako hakikisha huipotezi, ukiipoteza utajuta

Kweli kabisa, kuacha kazi ni rahisi mno, kupata tena ni kivumbi..
 

Asante! ajira ni utumwa kazi siyo lazima uwe umeajiriwa kazi ziko nyingi za kujiajiri na unaweza toboa na kujiona muda uliotumia kuajiriwa ulipoteza. Huko tunaoenda tusiwaaminishe watoto wetu kuwa ukisoma lazima uajiriwe mwambie soma ujiajiri.
 
Asante! ajira ni utumwa kazi siyo lazima uwe umeajiriwa kazi ziko nyingi za kujiajiri na unaweza toboa na kujiona muda uliotumia kuajiriwa ulipoteza. Huko tunaoenda tusiwaaminishe watoto wetu kuwa ukisoma lazima uajiriwe mwambie soma ujiajiri.
Mkuu we umejiajiri
 

[/QUOTE]hizi Ni habari zinakuhusu wewe na waoga wenzio wa maisha
 
Hakuna maisha matamu kama ya kujiajiri...Mimi nina miaka6 sasa sijui nini maana ya kuajiriwa na sijawai kulala na njaa....kuajiriwa ni utumwa
 
Unahamasisha watu waendelee kuwa watumwa kwa kuajiriwa? Jiajiri mtoto wa kiume acha utumwa!
 
Ndo maana sipendi marafiki wa unipendea kwenye neema tu ...
 
Haaaahaaaaa
 
Mission town ni wizi ulipachikwa jina lenye staha!

Ni kama vile tu rushwa ilivyopewa jina la ' takrima ' na wana ccm kipindi fulani.

Ukimuona mtu anajinasibu kwa jina la mission town kaa nae mbali futi nyingi sana maana jela ni muda wowote
Haha hahaa...afu kweli
 
Mawazo ya kimasikini haya, ndio maana serikali yenu inawachezea sana. Mnakalishwa miaka kadhaa bila ongezeko la mishahara sababu ya uwepo wa wajinga kama ninyi.
 
Mawazo ya kimasikini haya, ndio maana serikali yenu inawachezea sana. Mnakalishwa miaka kadhaa bila ongezeko la mishahara sababu ya uwepo wa wajinga kama ninyi.
Sawa Mr Bilionea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…