Kama umeajiriwa sehemu yoyote shika sana kazi yako hakikisha huipotezi, ukiipoteza utajuta

Umenena vyema mkuu..

Hakuna mtu namheshimu kama anayenijua since nastruggle na sina kitu[emoji848]

Haya mambo ya kukutana kazini kila mmoja ana mchele wake tujenge urafiki huwa siyaentantain kabisa, koz najua ni unafiki tuu..
 
Mbona sasa huu wivu mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
 
Haahaaahaa[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Ukweli mtupu huu
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Hivi huwa ni kwanini mkuu? No love at all among staffs [emoji848]
Tatizo sio kwa hao mastaff bali tatizo ni kwa watu wenyewe.

Wewe ukihisi kwamba kila ambaye unaongea nae ni rafiki basi una matatizo, au ndio hawa wanadhani kwamba staff wenzao wanaongea na kucheka ni marafiki, hili ni kosa kubwa sana.

Tatizo sio staff bali tatizo ni hawa watu wenye fikra hizi
 
Kiongozi imekuaje tena mpaka ukaja na mada kama hii πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…