Kama umefikisha miaka 30 kazi bado haujapata fanya plan B

Kama umefikisha miaka 30 kazi bado haujapata fanya plan B

Nimebahatika kua kwenye panel ya recruitment.

Nimefanyia usaili watu wana miaka 35 mpaka 38 na pamoja na yote ni kwamba mshahara ni wa kawaida tu.

Plan B kujiajiri siyo rahisi kama mabosi wa JF mnavyoandika
Aise na wewe mbuzi wa arse8 unasubiri ajira🤣🤣🤣🤣
 
Nimebahatika kua kwenye panel ya recruitment.

Nimefanyia usaili watu wana miaka 35 mpaka 38 na pamoja na yote ni kwamba mshahara ni wa kawaida tu.

Plan B kujiajiri siyo rahisi kama mabosi wa JF mnavyoandika
Mkuu ishu ni mtazamo. Kujiajiri ni muhimu zaidi. Nasisitiza ishu ni mtazamo hasikwsmbie mtu mambo ya mtaji,anzia kichwani.
 
Usidanganye watu mkuu Maisha hayana fomula.

Kuna waliotoboa mapema ila kwa sasa they are no more.

Kuna waliochelewa na wakafanikiwa.

Njia sahihi ya kupima mafanikio ni kushindana na wewe binafsi.

Na sio mtu mwingine yeyote.
 
Kujiajiri kunahitaji moyo, uvumilivu na maono ya kutosha
Mtaji sio pesa tuu, bali ni muda,watu, connection pia elimu…
Vijana wengi huwa tunafeli pale kwenye muda na watu connection zinakuja baadae

Muda:
Muda wa uvumilivu, muda wa kujenga jina la biashara na kuijua biashara au kupata uzoefu, kujua njia na watu.

Watu:
Watu sahihi kwenye biashara ambao unaweza kupata ushauri, kujifunza, ku runa nao mission kukushika mkono.
Wateja eneo sahihi au watu sahihi lengwa wa biashara.

Connection:
zinakuja pale utapokuwa ume hit watu sahihi na wakati /muda sahihi.

Elimu:
Sio ile ya darasani tuu , kuna muda ukiingia kwenye kujiajiri kuna elimu unakutana nayo ambayo iko tofauti na ile ya darasani au inakataa ile ya darasani, sasa haoa unakuta wasomi wengi tunaanzaga kuchanganyikiwa tuna force mavitabu kumbe field iko tofauti, kuna muda inabidi ujishushe uwe kama wao ili ujue yale ya ile level yao halafu unakuta kuongezea zako za darasabi inakuwa rahiiisi.

Tutaendelea siku nyingine
 
Wewe recruiter na hao vijana wote mnafanana mawazo tegemezi.
Kwani waliojiajiri wamewezaje?
Kwa hiyo unawashauri wasipopata ajira wakae tu nyumbani na kulaumu wanasiasa.
Huo ni mfumo wa kizamani sana.
Kama hujaelewa nilichomaanisha mi sina cha kukusaidia
 
Hata kama umepata kazi hiyo Plan B ni muhimu, waliofanikiwa hawakutegemea tu mshahara.

Sent using Jamii Forums mobile app
Si bongo hii ,tusidanganyane hapa . Hii iko applicable nchi za wenzetu kwenye fursa na mazingira Bora ya kujiajiri in almost kila kitu , si nchi za kijinga kama Tanzania hii , never .Acheni vijana wapambane kusaka ajira aisee ,kama ni kujiajiri kirahisi hivyo hawa machinga wanaosafa rumba mitaani miaka na miaka wangekuwa mamilionea sasa hivi .Nchi zetu hizi ni za ovyo kila Kona ,tukubali tukatae
 
me ninachoshauri mtu ujipange kwa yajayo na ujue kunyumbulika kulingana na jamii iliokuzunguka kujiajiri sio rahisi na kuajiriw pia ni ngumu hivyo basi hata uwe na 30 cha msingi ujue unaweza fanya nn alaf tafuta watu sahihi jenga mahusiano mazuri na watu
 
Wadogo zangu ambao mnaosoma huu Uzi ambao mpo katika harakati za kutafuta kazi ukiona umefika umri wa miaka 30 hujapata kazi nakushauli achana na mambo ya kutafuta kazi na anza kufanya plan b kama ni kilimo,ufugaji,biashara uanze kutengeneza maisha yako badae mapema usisubili time its too late ndo uanze

Sasa hivi mambo ya kutegemea kuajiriwa ndio uanze kutengeneza maisha yako ya badae ni sawa na kucheza mchezo wa kamali hujui kama utapata au utakosa hivyo ni bora uanze mapema kujiajiri kuliko kutegemea kuajiriwa katika haya ninayoyasema kuna watu hawawezi kunielewa lakini nawambia katika hili eneo ukizembea tuu huku mbeleni ukiwa katika age kuanzia 40 ukifikisha na hakuna jambo lolote ulilifanya katika maisha yako utaumia sana, kibaya zaidi ajira zenyewe zinaenda na umri kuna age ukifika unaweza ukawa na vigezo vya kuajiriwa ila umri kikwazo lakini pia hapo utakuja kushanga wale madogo waliokuwa wanakuita sister au braza wamepiga hatua na wewe uko pale pale na story zile zile kuna mchongo nausikikilizia tangu miaka hiyo madogo wako zako wako wadogo hadi wanakuwa unawapigia story zile zile kuna kazi au mchango nausikilizia
Huku ukiwapiga vibomu vya hela na usipopewa unaona kama wamekunyima unaanza kuwakunjia ngita

Ushauli wadogo zangu amkeni mapema muanze kujitafutia haya kutegemea ajira na watu wanaokujua wakusaidie yatakuja kukupa shida huku mbeleni usipokuwa kitu na hata una elimu yako utadhalilika tuu
Jamaa umeongea vitu vikubwa sana na wachache ndio watakao kuelewa buti ngumu kumeza ni hii, mtaji utaupata wapi,
je mazingira ya serikali ni rafiki kwa vijana wanaoanza kuweza kufungua biashara au kilimo,
Nchi hii ni ngumu sana asikwambie mtu
 
Jamaa umeongea vitu vikubwa sana na wachache ndio watakao kuelewa buti ngumu kumeza ni hii, mtaji utaupata wapi,
je mazingira ya serikali ni rafiki kwa vijana wanaoanza kuweza kufungua biashara au kilimo,
Nchi hii ni ngumu sana asikwambie mtu
Mkuu kwenye kujiajiri kitu cha kwanza ni business idea creation.
Pesa ya mtaji ni kitu cha mwisho na hii ndio siri ambayo wengi hawaijui.
Utakuta mtu amekaa tu nyumbani kabweteka huku anajiuliza maswali,sasa kwa mfano nikijiajiri mtaji nitapata wapi mwishoni anakata tamaa.
 
30 uwe nyumbani,duuh! anyway hapo ni kupalangana tu,ajira ikukute una chochote,japo inabidi ujipinde haswa,kupata mtaji stahki.
Unashangaa 30 kuna brother mmoja alisota home mpaka 40 ndio akaja kubahatika kupata kazi kiwandani, kipindi hicho sisi tunasoma tulikua tunamuona km mtu wa ajabu sana umri unaenda daily unazungusha bahasha hola kipindi hicho hakuna ajira portal ila sasa hivi ndio tumemuelewa, mda huu yeye kashapiga hatua kitambo na kashasahau msoto
Mkuu kwenye kujiajiri kitu cha kwanza ni business idea creation.
Pesa ya mtaji ni kitu cha mwisho na hii ndio siri ambayo wengi hawaijui.
Utakuta mtu amekaa tu nyumbani kabweteka huku anajiuliza maswali,sasa kwa mfano nikijiajiri mtaji nitapata wapi mwishoni anakata tamaa.
Ngumu kumeza akili kumkichwa namkumbuka mzee wangu (Babu) alinisihi sana akaniambia akili za 'Kuambiwa' (Jina la dada yangu) ambatanisha na za kwako..
 
Back
Top Bottom