mngony
JF-Expert Member
- Jul 27, 2012
- 5,555
- 6,972
Ni aibu kubwa Chama kinachotaka kushika Dola kwa hayo unayoyasema.
Yani uongozi hauna namna ya kujua hilo mpaka wasaidiwe na mtu kupitia uzi wa Jamiiforums.
Hiki chama kiko serious kweli? Hapana bado sana, kama tu kinashindwa kujisimamia nchi hawatoiweza.
Sasa siku zote hizo mlikuwa mnajiandaa na nini?
Yani uongozi hauna namna ya kujua hilo mpaka wasaidiwe na mtu kupitia uzi wa Jamiiforums.
Hiki chama kiko serious kweli? Hapana bado sana, kama tu kinashindwa kujisimamia nchi hawatoiweza.
Sasa siku zote hizo mlikuwa mnajiandaa na nini?