Server itajaa. Huku kwetu tandahimba tunajua chama cha nyerere tu.Yeyote aliyeona Kwenye Kituo chochote Tanzania labda Hakuna Wakala wa Chadema, Basi atoe Taarifa kupitia Uzi huu (Siyo PM), Mimi nitawasiliana na Viongozi wa Chadema kwa njia mbalimbali na kuwapa Taarifa haraka iwezekanavyo.
Au kama umemkuta Wakala wa Chadema ana shida yoyote kituoni hapa, iwe fedha au Chakula lete Taarifa hapa hapa tutawajulisha Viongozi wake haraka.
Chadema ina zaidi ya Wanachama mil 15 walio hai Nchi Nzima(Kwa mujibu wa Chadema Digital), ,hakuna sababu yoyote ile ya kukosa Wakala popote pale, na wala hakuna sababu yoyote ya Wakala wao kukosa hela au Chakula.
Soma Pia:
Ikumbukwe kwamba hii siyo Special Thread, Ni uzi tu mfupi kwa ajili ya Uchaguzi wa serikali za Mitaa, Na wala kutoa Taarifa kama hizi siyo Kosa Kisheria, hivyo huna haja ya kuogopa chochote, Usikalie Taarifa.
- Special Thread: Hali ya Vituo vya Kujiandikisha kupiga Kura Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 kwa Picha na Video
- Ado Shaibu: Wasimamizi wa vituo vya uandikishaji wapiga kura kuwanyima mawakala kujua idadi ya waliojiandikisha ni bomu
Nakala: Boniface Jackob, Mwenyekiti Kanda ya Pwani
Hakuna Chama hapo.Wenzenu wanajipanga na uchaguzi, nyie umlikua mnajipanga na maandamano ona sasa.
Tunawakubali ila ndo hivo mnatuangusha
Hapo CCM ni kujipakulia tu minyamaHuku vijijini specifically umalila _MBEYA vituo vyote tumewekwa sisi watumishi wa umma na kiukweli sisi wote ni CCM isipokuwa Mimi .
Adha ninayopitia hapa kituo Cha chisonta ni kuwa chakula Sina Wala nauli ya kunitoa hapa chisonta mpaka Ilembo katika kituo changu Cha kazi na ninapoishi ishi hivyo naomba wambie wakuu wetu wanikumbuke nisije fia hapa kwa siku zilizobaki dada
Utajua siku ya kupiga kura na kura zikishahesabiwa.Sijajua kazi ya mawakala wa vyama. Nilijiandikisha ila sikuona kazi zao. Niliona kuna meza pembeni ya CCM na sikuona kazi Yao!
Sasa mimi sitaki minyama ya CCM nataka minyama ya Chadema nayo nijue radha yakeHapo CCM ni kujipakulia tu minyama
Sawa mkuu tumekuelewa.Yeyote aliyeona Kwenye Kituo chochote Tanzania labda Hakuna Wakala wa Chadema, Basi atoe Taarifa kupitia Uzi huu (Siyo PM), Mimi nitawasiliana na Viongozi wa Chadema kwa njia mbalimbali na kuwapa Taarifa haraka iwezekanavyo.
Au kama umemkuta Wakala wa Chadema ana shida yoyote kituoni hapa, iwe fedha au Chakula lete Taarifa hapa hapa tutawajulisha Viongozi wake haraka.
Chadema ina zaidi ya Wanachama mil 15 walio hai Nchi Nzima(Kwa mujibu wa Chadema Digital), ,hakuna sababu yoyote ile ya kukosa Wakala popote pale, na wala hakuna sababu yoyote ya Wakala wao kukosa hela au Chakula.
Soma Pia:
Ikumbukwe kwamba hii siyo Special Thread, Ni uzi tu mfupi kwa ajili ya Uchaguzi wa serikali za Mitaa, Na wala kutoa Taarifa kama hizi siyo Kosa Kisheria, hivyo huna haja ya kuogopa chochote, Usikalie Taarifa.
- Special Thread: Hali ya Vituo vya Kujiandikisha kupiga Kura Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 kwa Picha na Video
- Ado Shaibu: Wasimamizi wa vituo vya uandikishaji wapiga kura kuwanyima mawakala kujua idadi ya waliojiandikisha ni bomu
Nakala: Boniface Jackob, Mwenyekiti Kanda ya Pwani
ArushaYeyote aliyeona Kwenye Kituo chochote Tanzania labda Hakuna Wakala wa Chadema, Basi atoe Taarifa kupitia Uzi huu (Siyo PM), Mimi nitawasiliana na Viongozi wa Chadema kwa njia mbalimbali na kuwapa Taarifa haraka iwezekanavyo.
Au kama umemkuta Wakala wa Chadema ana shida yoyote kituoni hapa, iwe fedha au Chakula lete Taarifa hapa hapa tutawajulisha Viongozi wake haraka.
Chadema ina zaidi ya Wanachama mil 15 walio hai Nchi Nzima(Kwa mujibu wa Chadema Digital), ,hakuna sababu yoyote ile ya kukosa Wakala popote pale, na wala hakuna sababu yoyote ya Wakala wao kukosa hela au Chakula.
Soma Pia:
Ikumbukwe kwamba hii siyo Special Thread, Ni uzi tu mfupi kwa ajili ya Uchaguzi wa serikali za Mitaa, Na wala kutoa Taarifa kama hizi siyo Kosa Kisheria, hivyo huna haja ya kuogopa chochote, Usikalie Taarifa.
- Special Thread: Hali ya Vituo vya Kujiandikisha kupiga Kura Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 kwa Picha na Video
- Ado Shaibu: Wasimamizi wa vituo vya uandikishaji wapiga kura kuwanyima mawakala kujua idadi ya waliojiandikisha ni bomu
Nakala: Boniface Jackob, Mwenyekiti Kanda ya Pwani
Sasa nini mnachoweza ndugu zangu ChademaYeyote aliyeona Kwenye Kituo chochote Tanzania labda Hakuna Wakala wa Chadema, Basi atoe Taarifa kupitia Uzi huu (Siyo PM), Mimi nitawasiliana na Viongozi wa Chadema kwa njia mbalimbali na kuwapa Taarifa haraka iwezekanavyo.
Au kama umemkuta Wakala wa Chadema ana shida yoyote kituoni hapa, iwe fedha au Chakula lete Taarifa hapa hapa tutawajulisha Viongozi wake haraka.
Chadema ina zaidi ya Wanachama mil 15 walio hai Nchi Nzima(Kwa mujibu wa Chadema Digital), ,hakuna sababu yoyote ile ya kukosa Wakala popote pale, na wala hakuna sababu yoyote ya Wakala wao kukosa hela au Chakula.
Soma Pia:
Ikumbukwe kwamba hii siyo Special Thread, Ni uzi tu mfupi kwa ajili ya Uchaguzi wa serikali za Mitaa, Na wala kutoa Taarifa kama hizi siyo Kosa Kisheria, hivyo huna haja ya kuogopa chochote, Usikalie Taarifa.
- Special Thread: Hali ya Vituo vya Kujiandikisha kupiga Kura Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 kwa Picha na Video
- Ado Shaibu: Wasimamizi wa vituo vya uandikishaji wapiga kura kuwanyima mawakala kujua idadi ya waliojiandikisha ni bomu
Nakala: Boniface Jackob, Mwenyekiti Kanda ya Pwani
Hujaelewa, hatusemi Chadema haina Mawakala, tunachotaka kujua ni kama kuna changamoto yoyote hapo walipo au kama hawapo tuambiweNi aibu kubwa Chama kinachotaka kushika Dola kwa hayo unayoyasema.
Yani uongozi hauna namna ya kujua hilo mpaka wasaidiwe na mtu kupitia uzi wa Jamiiforums.
Hiki chama kiko serious kweli? Hapana bado sana, kama tu kinashindwa kujisimamia nchi hawatoiweza.
Sasa siku zote hizo mlikuwa mnajiandaa na nini?
Hujaelewa hoja yetuSasa nini mnachoweza ndugu zangu Chadema
Embu jitahidini kuwa serious Basi
Mlitakiwa muwe na pdf ya Vituo vyote mpaka Sasa hivi
Na wanachama wenu Kila Eneo
Chama kinajengwa kutolea chini sio kurusha chopa hewani
Bado naamini Bado mnaweza kwa miaka ya mbele na baada ya kubadilisha Safa ya uongozi ilifanya kazi kubwa Ila imeshachoka vibaya sana
Kama hakibabaiki kwanini mmeanza figisu?Gentleman,
chama kinachojiendesha kwa mkopo kinawezaje kushinda uchaguzi mbele ya chama kinacho jitegemea chenye sera za kuwavutia wananchi wengi zaidi, Lakini pia chenye mipango mikakati madhubuti ya maendeleo kwa wananchi na chenye wafuasi wengi zaidi?π
Ukitaka maendeleo wapeleke chadema ndio wanaokusanya kodi ewe mtafiti?Gentleman,
chama kinachojiendesha kwa mkopo kinawezaje kushinda uchaguzi mbele ya chama kinacho jitegemea chenye sera za kuwavutia wananchi wengi zaidi, Lakini pia chenye mipango mikakati madhubuti ya maendeleo kwa wananchi na chenye wafuasi wengi zaidi?π
Huyo mwandikishaji anatosha kabisa kuwakilisha chama na serikaliEneo langu ninalokaa huku,hakuna cha wakala wa CCM wala CDM
Ni anaye andikisha Peke yake,nimecheki kama sehemu tatu hivi
Weka namba yako ya simuuna buku teni hapo nitumie nikwambie wap hakuna wakala na kila kituo nitakacho kutajia teni vipo 20
chadema ni matajiri wa mihemko na malalamiko tu gentleman, hakuna wanachoweza zaidi ya hapo...Ukitaka maendeleo wapeleke chadema ndio wanaokusanya kodi ewe mtafiti?