Kama umeshawahi kushindwa Jambo lolote pita hapa

Kama umeshawahi kushindwa Jambo lolote pita hapa

Tanzanian Dream

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2024
Posts
274
Reaction score
1,771
Habari wana jf.
Kwenye harakati za utaftaji kuna mapito mengi Sana mtu anapitia mpaka anatoboa,Kuna watu wamepitia msoto mkali,wamekutana na changamoto sio za nchi hii,Kuna wakati unajiona unastahili kabisa kukata tamaa ila Kuna sauti ndogo ndani yako inakuambia "never give up" na hasa ukiskia story za akina Thomas edison ambao walifeli 10,000 times na bado wakatoboa,unajipa moyo unaendelea kupambana.

Spirit from our heros

Huwa ninapojisikia kuchoka namkumbuka maalim seif shariff hamad,huyu mwamba ametuachia somo kubwa sana,tangu 1995(wengi humu jf walikuwa hawajazaliwa) maalimu alikuwa tayari kwenye harakati za kuusaka uraisi wa zanzibar,kapambania taji 5 times kwa miaka 20 bila mafanikio,2020 ilikuwa ni mara yake ya 6 na bado hakufanikiwa ila aliambulia kuwa makamu wa kwanza wa raisi,2021 mwamba akapoteza maisha,bila taji alilolipambania kwa miaka zaidi ya 25,😭(r.i.p my hero)
Wanaharakati wa kweli tunahitaji spirit ya namna hii.

Binafsi nimepitia failure nyingi kwenye hustling za hapa na pale,sijisikii vibaya kushare na wadau hapa jukwaani kwasababu Kuna mtu atapata kitu cha kujifunza na mwingine atatiwa moyo aendelee kupambania ndoto zake.

Nilishawahi kuanzisha blog,nikafail,Nilishawahi kununua pikipiki nne za mikataba kwa wakati tofauti tofauti,zote niliishia kuziuza kwa hasara,nilianzisha vikundi viwili vya uwekezaji kwa nyakati tofauti,vyote vilikata moto,ndani ya mwaka,nilishawahi kusomea stashahada ya uongozi,nilimaliza semester ya kwanza,ya pili nikawa rejected,nilisha jaribu forex 3 times nikachoma acc,nilishawahi pia kufungua maduka 12 kwa kipindi cha miaka kumi,8 yalikufa ndani ya mwaka kuna rafiki yangu mmoja alikuwa na mabucha 7,yote alifunga ndani ya mwaka,wakati mwingine unaweza kuhisi unarogwa...kwenye utaftaji failure ni nyingi,tunaanguka,tunainuka tena,tunashindwa,tunaijaribu tena....kibaya ni kukata tamaa.

Hitimisho
Nini cha kujifunza

1)Kama umri wako mdogo fanya attempts nyingi kadri uwezavyo,usiogope kukosea,jifunze kutokana na makosa,Usisubiri uzeeke ndio uanze harakati,mzee mmoja alinunua coaster ya abiria,kwa hela ya pension,ndani ya mwezi gari iliwaka moto,mzee kupata taarifa,presha juu peleka hospitali,mzee kakata Moto kitambo..😭😭

(2)kushindwa ni recipe mojawapo ya kufanikiwa,jack ma alifeli shule ya msingi mara mbili,middle school Mara tatu,alipigwa chini Mara kumi pale havard University,he failed 30 jobs lkn hakujikatia tamaa,leo tuna alibaba,kwababu ya mtu mmoja ambaye haku give up ndoto zake licha ya kushindwa Mara nyingi.

(3)A quitter never wins and a winner never quits.

(4)karibuni wadau,kwenye huu uzi wa kutiana moyo kwny harakati za utaftaji,Kama una some sort of failure stories share na sisi hapa,ili yule aliyefeli na kujikatia tamaa asijione yuko peke yake.

"Do not read success stories,coz you will get only message,Read failure stories and you will get some ideas to get success"
 
Habari wana jf.
Kwenye harakati za utaftaji kuna mapito mengi Sana mtu anapitia mpaka anatoboa,Kuna watu wamepitia msoto mkali,wamekutana na changamoto sio za nchi hii,Kuna wakati unajiona unastahili kabisa kukata tamaa ila Kuna sauti ndogo ndani yako inakuambia "never give up" na hasa ukiskia story za akina Thomas edison ambao walifeli 10,000 times na bado wakatoboa,unajipa moyo unaendelea kupambana.

Spirit from our heros

Huwa ninapojisikia kuchoka namkumbuka maalim seif shariff hamad,huyu mwamba ametuachia somo kubwa sana,tangu 1995(wengi humu jf walikuwa hawajazaliwa) maalimu alikuwa tayari kwenye harakati za kuusaka uraisi wa zanzibar,kapambania taji 5 times kwa miaka 20 bila mafanikio,2020 ilikuwa ni mara yake ya 6 na bado hakufanikiwa ila aliambulia kuwa makamu wa kwanza wa raisi,2021 mwamba akapoteza maisha,bila taji alilolipambania kwa miaka zaidi ya 25,😭(r.i.p my hero)
Wanaharakati wa kweli tunahitaji spirit ya namna hii.

Sasa twende kwenye story yangu....

Binafsi nimepitia failure nyingi kwenye hustling za hapa na pale,sijisikii vibaya kushare na wadau hapa jukwaani kwasababu Kuna mtu atapata kitu cha kujifunza na mwingine atatiwa moyo aendelee kupambania ndoto zake.

Harakati tangu primary

Miaka kibao huko nyuma,nilianzisha mradi wa kufuga kuku,aina ya broilers,kipindi kile tulikuwa tunawaita amadoli,nilianza poa sana kila mtu alinisifu,kwasababu ya umri( I was just 10),kuku walikua haraka Sana,nikaanza kupata oda kibao mtaani,sasa ikabaki Kama wiki nianze kuwauza....dah siku hiyo naenda bandani nakuta kuku wote wamekufa,sijui nn kilitokea,niliumia sana,kwa kuwa sikuwa na mapafu project iliishia hapo.

Nikiwa bado shule,kipindi cha umintashunta(kitambo hicho)niliingia kwny mashindano ya mbio fupi mita 100,nikiwa na imani nitashinda lkn kilichotokea sikuamini,nilimaliza wa mwisho,kwa aibu nilipitiliza mpk nyumbani,nikajifungia chumbani,nikalia sana,i was despaired!unajua hapa duniani hakuna mtu anapenda kushindwa, everybody wants to be a winner.

Miaka ikapita,ukafika mtihani wa kumaliza la saba,nikiwa na matumaini ya kwenda pugu au azania,matokeo yanatoka,sioni jina langu!nikajipa moyo huenda nitakuwepo second selection,subiri subiri na wewe, basi nikawa najisemea tu moyoni "mtihani sio kipimo kizuri cha akili"Mimi nina akili hata Kama nimefeli(kujifariji ni muhimu kiafya😃😂)

Harakati zinaendelea mtaani

Naingia mtaani,kazi hakuna, ikabidi nitafute fani ya kuingiza hela za chap,nikazama pale kkoo,Kuna jamaa ni mtaalamu wa kuflash simu,nikamwomba anifundishe,nikamlipa kiasi cha pesa,akanielekeza maujanja yote,nikafungua ofisi yangu ya kutengeneza simu kwa kompyuta(phone flashing)nikaanza kupata wateja,ila misala ilikuwa mingi,siku moja niliflash simu ya mteja, ikazima mazima,ikawa kesi,nilipoona ananitishia polisi,nikamalizana naye na hapo ndio ukawa mwisho wa ufundi,vifaa vyote nikauza.

Back days,nilibahatika kusoma soma elimu dunia,nikawa na vyeti vyangu safi kabisa,Kuna kazi nikaskia imetangazwa,nikaenda kufanya interview,wale interviewers walipomaliza maswali yao,wakaniambia Kama una swali lolote unaweza kuuliza,dah hapo ndipo nilipojikanyaga,Kuna neno flani walilitumia"interim" sikulielewa maana yake ndio nikauliza,hilo neno linamaa gani..walinishangaa Sana...yaani graduate mzima hujui maana ya interim!simply ile kazi niliikosa,nikajisemea moyoni maisha sio lazima kuajiriwa,unaweza kujiajiri na ukatoboa"kujifariji wakati wa kushindwa ni muhimu kwa afya ya akili"

Nimepitia failure nyingi,ngoja nizitaje kwa kifupi.
  • (2019)Nilianzisha blog,nikaangukia pua,nilipost posts mbili tu sikupata mrejesho,nikakimbia,ila soon nitarudi tena.
  • (2015)Niliapply post graduate pale mlimani nikapigwa chini
  • Nilinunua pikipiki nne za mikataba kwa wakati tofauti tofauti,zote niliishia kuziuza kwa hasara.
  • Nilinunua plot,nijenge nyumba,niliishia kuiuza
  • Nikapata plot nyingine,nikafyatua tofari kama 3000,ili nikianza kujenga ni pluuu.. mpk maka,sikuvusha miezi,niliishia kuuza tofari zote kwa hasara,hadi niliowauzia wakawa wanashangaa kwanini nauza kwa bei ndogo vile.
  • Nilianzisha vikundi viwili vya uwekezaji kwa nyakati tofauti,vyote vilikata moto,ndani ya mwaka,Masimbazi investment group &S.o.w investment group(r.i.p)
  • (2018)Nilienda kusomea stashahada ya uongozi,nilimaliza semester ya kwanza,ya pili sikuonekana mpk leo.
  • Nilifungua maduka 12 kwa kipindi cha miaka kumi,8 yalikufa ndani ya mwaka,hasa kipindi kile cha mwenda zake,mieleka ilikuwa mingi,rafiki yangu mmoja alikuwa na mabucha 7,yote alifunga ndani ya mwaka(r.i.p mwenda zake)
  • Nikajaribu forex trading,3 times nikachoma acc,nikakumbuka ule msemo wa mapro wa fx unaosema"forex is not for everybody"nikajistaafisha kabla ya umri😂😂
  • Nikajiendeleza kielimu,nikaingia chuo kuvuta dgr ya pili ya fedha na biashara,mwaka wa kwanza nikavuka,mwaka wa pili nikamaliza module zote,tulipofika kwny research,uchumi ukayumba nika quit,kila nikijaribu kurudi nashindwa,nikaamua kujisemea tu kuwa"elimu sio kipimo kizuri cha akili"narudia tena "kujifariji ni muhimu kwa afya ya akili"
  • Nilinunua hiace kwa kuuza plot yangu nikaongezea na mkopo,nikavuta hiace,nikamkabidhi kijana aniletee hesabu,wadua Kama Kuna failure kubwa kwangu basi ni hii,jamaa Mara kagonga,Mara kakamatwa,akileta hesabu siku mbili ya tatu Kuna janga,kahela kote kanakwenda....wale waliowahi Kuwa na daladala watakuwa wananielewa,baada ya miezi mitatu tu nilinyooka,nikajisemea huenda" hii biashara is not for everybody"niliiuza ile hiace kwa Bei ya kutupa,nikabaki nahenyeka na ule mkopo,mpk nikasema shikamoo rejesho🤩

Hitimisho
Nini cha kujifunza

1)Kama umri wako mdogo fanya attempts nyingi kadri uwezavyo,fanya makosa,jifunze kutokana na makosa,Usisubiri uzeeke ndio uanze harakati,mzee mmoja alinunua coaster ya abiria,kwa hela ya pension,ndani ya mwezi gari iliwaka moto,mzee kupata taarifa,presha juu peleka hospitali,mzee kakata Moto kitambo..😭😭

(2)kushindwa ni recipe mojawapo ya kufanikiwa,jack ma alifeli shule ya msingi mara mbili,middle school Mara tatu,alipigwa chini Mara kumi pale havard University,he failed 30 jobs lkn hakujikatia tamaa,leo tuna alibaba,kwababu ya mtu mmoja ambaye haku give up ndoto zake licha ya kushindwa Mara nyingi.

(3)A quitter never wins and a winner never quits.

(4)karibuni wadau,kwenye huu uzi wa kutiana moyo kwny harakati za utaftaji,Kama una some sort of failure stories share na sisi hapa,ili yule aliyefeli na kujikatia tamaa asijione yuko peke yake.

"Do not read success stories,coz you will get only message,Read failure stories and you will get some ideas to get success"
dah!asante sana, wacha nipambane na harakati.
 
Kuna msemo mmoja huwa naulewa sana ukifeli kila mtu atajua na atakusema..... Mara jamaa kafilisika, kashushwa cheo, kafukuzwa kazi, mara ame disco... Chuo... It's because
"success hugs you in private but failure always slaps you in public" That's life
 
Habari wana jf.
Kwenye harakati za utaftaji kuna mapito mengi Sana mtu anapitia mpaka anatoboa,Kuna watu wamepitia msoto mkali,wamekutana na changamoto sio za nchi hii,Kuna wakati unajiona unastahili kabisa kukata tamaa ila Kuna sauti ndogo ndani yako inakuambia "never give up" na hasa ukiskia story za akina Thomas edison ambao walifeli 10,000 times na bado wakatoboa,unajipa moyo unaendelea kupambana.

Spirit from our heros

Huwa ninapojisikia kuchoka namkumbuka maalim seif shariff hamad,huyu mwamba ametuachia somo kubwa sana,tangu 1995(wengi humu jf walikuwa hawajazaliwa) maalimu alikuwa tayari kwenye harakati za kuusaka uraisi wa zanzibar,kapambania taji 5 times kwa miaka 20 bila mafanikio,2020 ilikuwa ni mara yake ya 6 na bado hakufanikiwa ila aliambulia kuwa makamu wa kwanza wa raisi,2021 mwamba akapoteza maisha,bila taji alilolipambania kwa miaka zaidi ya 25,😭(r.i.p my hero)
Wanaharakati wa kweli tunahitaji spirit ya namna hii.

Sasa twende kwenye story yangu....

Binafsi nimepitia failure nyingi kwenye hustling za hapa na pale,sijisikii vibaya kushare na wadau hapa jukwaani kwasababu Kuna mtu atapata kitu cha kujifunza na mwingine atatiwa moyo aendelee kupambania ndoto zake.

Harakati tangu primary

Miaka kibao huko nyuma,nilianzisha mradi wa kufuga kuku,aina ya broilers,kipindi kile tulikuwa tunawaita amadoli,nilianza poa sana kila mtu alinisifu,kwasababu ya umri( I was just 10),kuku walikua haraka Sana,nikaanza kupata oda kibao mtaani,sasa ikabaki Kama wiki nianze kuwauza....dah siku hiyo naenda bandani nakuta kuku wote wamekufa,sijui nn kilitokea,niliumia sana,kwa kuwa sikuwa na mapafu project iliishia hapo.

Nikiwa bado shule,kipindi cha umintashunta(kitambo hicho)niliingia kwny mashindano ya mbio fupi mita 100,nikiwa na imani nitashinda lkn kilichotokea sikuamini,nilimaliza wa mwisho,kwa aibu nilipitiliza mpk nyumbani,nikajifungia chumbani,nikalia sana,i was despaired!unajua hapa duniani hakuna mtu anapenda kushindwa, everybody wants to be a winner.

Miaka ikapita,ukafika mtihani wa kumaliza la saba,nikiwa na matumaini ya kwenda pugu au azania,matokeo yanatoka,sioni jina langu!nikajipa moyo huenda nitakuwepo second selection,subiri subiri na wewe, basi nikawa najisemea tu moyoni "mtihani sio kipimo kizuri cha akili"Mimi nina akili hata Kama nimefeli(kujifariji ni muhimu kiafya😃😂)

Harakati zinaendelea mtaani

Naingia mtaani,kazi hakuna, ikabidi nitafute fani ya kuingiza hela za chap,nikazama pale kkoo,Kuna jamaa ni mtaalamu wa kuflash simu,nikamwomba anifundishe,nikamlipa kiasi cha pesa,akanielekeza maujanja yote,nikafungua ofisi yangu ya kutengeneza simu kwa kompyuta(phone flashing)nikaanza kupata wateja,ila misala ilikuwa mingi,siku moja niliflash simu ya mteja, ikazima mazima,ikawa kesi,nilipoona ananitishia polisi,nikamalizana naye na hapo ndio ukawa mwisho wa ufundi,vifaa vyote nikauza.

Back days,nilibahatika kusoma soma elimu dunia,nikawa na vyeti vyangu safi kabisa,Kuna kazi nikaskia imetangazwa,nikaenda kufanya interview,wale interviewers walipomaliza maswali yao,wakaniambia Kama una swali lolote unaweza kuuliza,dah hapo ndipo nilipojikanyaga,Kuna neno flani walilitumia"interim" sikulielewa maana yake ndio nikauliza,hilo neno linamaa gani..walinishangaa Sana...yaani graduate mzima hujui maana ya interim!simply ile kazi niliikosa,nikajisemea moyoni maisha sio lazima kuajiriwa,unaweza kujiajiri na ukatoboa"kujifariji wakati wa kushindwa ni muhimu kwa afya ya akili"

Nimepitia failure nyingi,ngoja nizitaje kwa kifupi.
  • (2019)Nilianzisha blog,nikaangukia pua,nilipost posts mbili tu sikupata mrejesho,nikakimbia,ila soon nitarudi tena.
  • (2015)Niliapply post graduate pale mlimani nikapigwa chini
  • Nilinunua pikipiki nne za mikataba kwa wakati tofauti tofauti,zote niliishia kuziuza kwa hasara.
  • Nilinunua plot,nijenge nyumba,niliishia kuiuza
  • Nikapata plot nyingine,nikafyatua tofari kama 3000,ili nikianza kujenga ni pluuu.. mpk maka,sikuvusha miezi,niliishia kuuza tofari zote kwa hasara,hadi niliowauzia wakawa wanashangaa kwanini nauza kwa bei ndogo vile.
  • Nilianzisha vikundi viwili vya uwekezaji kwa nyakati tofauti,vyote vilikata moto,ndani ya mwaka,Masimbazi investment group &S.o.w investment group(r.i.p)
  • (2018)Nilienda kusomea stashahada ya uongozi,nilimaliza semester ya kwanza,ya pili sikuonekana mpk leo.
  • Nilifungua maduka 12 kwa kipindi cha miaka kumi,8 yalikufa ndani ya mwaka,hasa kipindi kile cha mwenda zake,mieleka ilikuwa mingi,rafiki yangu mmoja alikuwa na mabucha 7,yote alifunga ndani ya mwaka(r.i.p mwenda zake)
  • Nikajaribu forex trading,3 times nikachoma acc,nikakumbuka ule msemo wa mapro wa fx unaosema"forex is not for everybody"nikajistaafisha kabla ya umri😂😂
  • Nikajiendeleza kielimu,nikaingia chuo kuvuta dgr ya pili ya fedha na biashara,mwaka wa kwanza nikavuka,mwaka wa pili nikamaliza module zote,tulipofika kwny research,uchumi ukayumba nika quit,kila nikijaribu kurudi nashindwa,nikaamua kujisemea tu kuwa"elimu sio kipimo kizuri cha akili"narudia tena "kujifariji ni muhimu kwa afya ya akili"
  • Nilinunua hiace kwa kuuza plot yangu nikaongezea na mkopo,nikavuta hiace,nikamkabidhi kijana aniletee hesabu,wadua Kama Kuna failure kubwa kwangu basi ni hii,jamaa Mara kagonga,Mara kakamatwa,akileta hesabu siku mbili ya tatu Kuna janga,kahela kote kanakwenda....wale waliowahi Kuwa na daladala watakuwa wananielewa,baada ya miezi mitatu tu nilinyooka,nikajisemea huenda" hii biashara is not for everybody"niliiuza ile hiace kwa Bei ya kutupa,nikabaki nahenyeka na ule mkopo,mpk nikasema shikamoo rejesho🤩

Hitimisho
Nini cha kujifunza

1)Kama umri wako mdogo fanya attempts nyingi kadri uwezavyo,fanya makosa,jifunze kutokana na makosa,Usisubiri uzeeke ndio uanze harakati,mzee mmoja alinunua coaster ya abiria,kwa hela ya pension,ndani ya mwezi gari iliwaka moto,mzee kupata taarifa,presha juu peleka hospitali,mzee kakata Moto kitambo..😭😭

(2)kushindwa ni recipe mojawapo ya kufanikiwa,jack ma alifeli shule ya msingi mara mbili,middle school Mara tatu,alipigwa chini Mara kumi pale havard University,he failed 30 jobs lkn hakujikatia tamaa,leo tuna alibaba,kwababu ya mtu mmoja ambaye haku give up ndoto zake licha ya kushindwa Mara nyingi.

(3)A quitter never wins and a winner never quits.

(4)karibuni wadau,kwenye huu uzi wa kutiana moyo kwny harakati za utaftaji,Kama una some sort of failure stories share na sisi hapa,ili yule aliyefeli na kujikatia tamaa asijione yuko peke yake.

"Do not read success stories,coz you will get only message,Read failure stories and you will get some ideas to get success"
Aisee kumbe tunaoteseka ni wengi, wacha niendelee kukomaa 🤕
 
Back
Top Bottom