Euphra
JF-Expert Member
- May 17, 2023
- 522
- 1,082
Au basi 😔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au basi 😔
Teh teh! siogopi ma broiler
Kuninyoosha mimi kunahusiana nini na mada teh!
Nilichowahi kushindwa hakiandikiki sasa
Hata mm nimegundua nikataka kuandika hvo hvo ni anafanya kitu kidogo anakata tamaa hana consistency na focusWewe ukiendelea hvo utaendelea kushindwa till your last breath!! Sabb huna maono unataka nn ili ukomae na unachotaka hata kama utafeli utakirudia hicho hicho..asa ndugu yangu kila kitu unataka ndio failure reasons Yako ipo hapo..
Stay with one thing..pigana kufa kupona!!!
Unataka kuniambia ukitulia na kitu kimoja ndio hutafeli?,kwny utaftaji tunaanza kwa trail and error,mbona jack ma alijaribu vitu vingi then later ndio akajipata,Kama wewe bado kijana keep on trying ila kama umri umekwenda huna budi kutulia na Jambo moja.Wewe ukiendelea hvo utaendelea kushindwa till your last breath!! Sabb huna maono unataka nn ili ukomae na unachotaka hata kama utafeli utakirudia hicho hicho..asa ndugu yangu kila kitu unataka ndio failure reasons Yako ipo hapo..
Stay with one thing..pigana kufa kupona!!!
Isee usikate tamaa,haso ziendelee...Nimeamini watu wanapambana sana, kweli usione vyaelea vimeundwa.sitokata tamaa tena
THE HARD WORKER.....angalia usijekuwa una work hard kwenye wrong workHata mm nimegundua nikataka kuandika hvo hvo ni anafanya kitu kidogo anakata tamaa hana consistency na focus
Ndugu tamuuuu hebu share kidogo,..unapitia kwny hali gani,kiasi cha kujiwazia kufa?funguka hapa utasaidika.Yani hapa nipo kwenye hali ya kushindwa kabisaaa,na sielewi nifanyeje kujinasua.Sina msaada nawaza nife tu maana sioni wa kuninasua.
Hapana nafanya kitu ninachokipenda na changamoto nakutana nazo na kuzifanyia kazi mm mwanzon nilikuwa nafanya biashara wiki 2 au mwez sion maendeleo naacha nilivoanza kuwa consistency naona matokeo..sasa mtu anasoma masters anaishia njian mara auze matofal bila sababu ya msingu [emoji23][emoji23] had wanunuz wanamshangaa anahamia business nyingne hata mwaka haina anacha hapo mchaw ni wewe mwenywe na sio changamoto..THE HARD WORKER.....angalia usijekuwa una work hard kwenye wrong work
Mambo magumu totally mkuu,nimekuwa nauguza baba miaka 3 sasa.Nimefilisika kila kitu kila kitu,hata sijui nifanyeje hapa.Natafuta namna ya kujinasua nakosa.Ndugu tamuuuu hebu share kidogo,..unapitia kwny hali gani,kiasi cha kujiwazia kufa?funguka hapa utasaidika.