Yan watu wanaiba yale mapya unaweza kukuta ndo linanukia upyaa wanapita nayo hayo ya zaman szan kama wanaibaNimeshawahi kukutana na mtu havui nguo zote (za juu) anapokuwa lodge/hotel. Sababu aliyotoa ni kwamba kwakuwa vitanda vinalaliwa na watu wengi na mara nyingi ni kwa ajili ya ngono, basi vitanda hivyo vina nuksi/mikosi na ukivilalia uchi wa unapata mikosi hiyo.
Nadhan huyo mtanzania hajui wenzie mashuka na mataulo ya lodge/hoteli wanapeleka nyumbani.
noma sanaTupo aise[emoji23][emoji23]
Still ngumu kumesa sababu ya mazingira ya lodge/hoteli. Sio kwamba sie tunaopinga ni malaika, kila mtu ana kitabia fulani kichafu. Tunarekebishana ili mtu atambue kwamba anachokifanya sio sawa. [HASHTAG]#PeopleWithClass[/HASHTAG]Yan watu wanaiba yale mapya unaweza kukuta ndo linanukia upyaa wanapita nayo hayo ya zaman szan kama wanaiba
Huwa mnatoroka au mnayeyuka kimiujiza?umenikumbusha best yangu yuko USA,kila tukienda hotelini kula;hatukuwahi kulipa...hadi nikazoeeaa..
Ulimuiba ukamuoa au akarudi kwa mumewe?Mimi nilishawahi kuiba mke wa mtu!
Yan nilijikakamua tu sikuwahi kuiba hapo kbl lkn kuiona hiyo adaptor, ikanibidi si zamani ni mwaka Jana ndo nilifanya Hilo tukio ila nilivuja jasho wizi ni kazi km kazi nyingine aiseeDada na ww kumbe ushawahi iba lakin saiv najua umeacha kama mm ilikuwa ni ujana tu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]shemeji akiona hii coment jiandae kisaikolojia nitakuja kukutetea [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Yan nilijikakamua tu sikuwahi kuiba hapo kbl lkn kuiona hiyo adaptor, ikanibidi si zamani ni mwaka Jana ndo nilifanya Hilo tukio ila nilivuja jasho wizi ni kazi km kazi nyingine aisee
Hahahaha lbd aoteshwe[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]shemeji akiona hii coment jiandae kisaikolojia nitakuja kukutetea [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ntamzuga tuAtakuja na [emoji723] fake
Inaitwa kuacha manyoya hiyoumenikumbusha best yangu yuko USA,kila tukienda hotelini kula;hatukuwahi kulipa...hadi nikazoeeaa..
Anza humu watu Avatar wanaiba hivyo vngne wataachajeDuh basi hii nchi karibia wote wezi,hv mtu ameiba vitu vidogo vidogo tena used mfano shuka,taulo siku akipata fursa ya kuwakilisha wananchi atawaacha salama kweli??uzalendo tutabaki kuuimba kama mapambio siyo katika utendaji