Kama umewahi kuiba Guest house /Hotelini karibu utuambie uliiba nini na ulitumia mbinu gani?

Kama umewahi kuiba Guest house /Hotelini karibu utuambie uliiba nini na ulitumia mbinu gani?

Unaiba shuka ambalo watu zaidi ya amsini washajamiiana juu yake , unajikusanyia nuksi za kila aina hapo, bora ununue shuka jipya
 
Wewe sio mtu wa kawaida ni JAMBAZI ukishirikiana na Apple.... ndio nyie mnawawekea watu madawa kwenye manyonyo kisha mnaiba kila kitu.
 
Aisee kuiba nayo yataka moyo,mi zaidi ya kuibia serikali sithubutu kuibia raia,ujasiri huo sina,na sababu pia sina.Ila jamhuri huwa inakoma na mimi.
Hao wa gezti nao wanaiibia sana serikali kwa kutolipa kodi kikamilifu. Kwa hiyo kuwaibia ni sawa tu na kuiibia serikali
 
Toilet paper je?
Toilet paper na sabuni unakuwa umeshsvilipia, ile service stahiki kwako, kama unamind kuvibeba ni powa tu.

Mtu wa usafi vyumbani kila siku ana mgao mpya kwa kila chumba.

Mimi nikilalaga 5 star hotel huwa siachi kitu kuanzia mashampoo, vitana, lotion, tea bags, sugar pamoja na sleepers vyote nabeba na muhudumu wa hotel ukimuomba anakuongezea mgao, huu siyo wizi ni stahili zako.
 
Dah! Hizi dhambi nyingine za kujichumia bila sababu. Hiyo tabia ya wizi mtaishia kuzungushiwa matairi na kupigwa viberiti. Yani namuonea huruma sana mtu anaeruhusu tabia ya wizi imtawalem mwisho wake huwa mbaya.
 
Demiss umenifurahisha jamani, haya mambo yapo gesti niliwahi kuiba adaptor ya TV, coz orijino yake iliungua nikaikuta gesti flani iv kahama nikapita nayo aah saiv mambo good
 
Back
Top Bottom