URBAN MONKEY
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 720
- 1,329
Mwizi mwizi tu tabia hiyo huwezi acha kama huibi kuku hapo kwenu sijui!![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]nimeshaaacha kitambo
Kwa wizi huo wa mashuka na vitambaa siku ukija kufanikiwa maishani basi jua litakuwa linachomozea west na kuzamia east..
Chenge anaiba bil 1 wewe unaiba mashuka mawili..
Tibaijuka anatumia mil 10 za wizi kununulia mboga wewe unaiba sabuni gest...
Kama umeamua kuwa mwizi iba vitu vya maana kama magari , vamia benki (lkn usiue)
Kama huwezi bora usiwe mwizi uwe raia mwema tu kama watu wengine na sio kujidharirisha hivyo
Kumbe wewe ni mwizi?Niljifunika shuka la kimasai alaf nimebeba mgongoni kama mtoto
Bora weweI am confessing now, niliiba Biblia
Ikitundikwa ukutani ile bila kufungiwa kwenye vyuma ukapata ya inch 15-18 kwenye kabegi kadogo tu inaingia.Hiyo tv ya flatscreen mlipita nayo vipi?
Duuh![emoji47][emoji47]Ikitundikwa ukutani ile bila kufungiwa kwenye vyuma ukapata ya inch 15-18 kwenye kabegi kadogo tu inaingia.
Mbona we kila sehemu mwiziNipo[emoji137][emoji137][emoji137][emoji137]
Kwa sababu kila mwizi ni muongoUmejuaje kama mm muongo[emoji34][emoji34][emoji34]
We si mtu mzuri ni wakuogopwa maghettoni.Mm ipo hotel dodoma nilipitaga na ɓlanket mpaka naogopa kurud hiyo hotel labda watanikamata