kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,323
- 12,594
Wale wa kuiba Sabuni mpo???
Mkuu wewe huibagi? [emoji848][emoji848]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale wa kuiba Sabuni mpo???
Eti ww nae unakuja kuolewa[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] ....upupu mtupu kichwani[emoji90] [emoji90] [emoji38] [emoji90]Niliɓeɓa mgongon kama mtt nikajifunika shuka la kimasai
Me amenishangaza kwakweli,hadi tv??Kipenzi huyu nimemuogopa.
Sabuni ndogondogo huwa napita nazo hahahaMkuu wewe huibagi? [emoji848][emoji848]
Ninegundua tuna wezi wengi sana, yaani mafisadi wengi wako kwenye foleni wanasubiri nafasi tu.Hapo nashangaa tena anajisifu labda mimk sijaelewa ila amezidi kwa kweli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Me huwa siibi natoa adhabu ... Nimekuja kuhudumiwa naletewa nyodo naondoka na glass kwa hasira na nk
Niliɓeɓa mgongon kama mtt nikajifunika shuka la kimasai
Maajabu kila konaMe amenishangaza kwakweli,hadi tv??
Ndo maaana nkasema sina confidence ya kuibia raia maana wakibadilika huwa wanaitwa 'wananchi wenye hasira kali'Wote huo ni wiziii tofaut tu kujiamin na unapoiɓaaa
Ww noma!Kwa wizi huo wa mashuka na vitambaa siku ukija kufanikiwa maishani basi jua litakuwa linachomozea west na kuzamia east..
Chenge anaiba bil 1 wewe unaiba mashuka mawili..
Tibaijuka anatumia mil 10 za wizi kununulia mboga wewe unaiba sabuni gest...
Kama umeamua kuwa mwizi iba vitu vya maana kama magari , vamia benki (lkn usiue)
Kama huwezi bora usiwe mwizi uwe raia mwema tu kama watu wengine na sio kujidharirisha hivyo
[emoji12] [emoji11] [emoji10] [emoji9]Watz bna,mnaiba hadi gesti then unategemea viongozi wenu wasiibe waonapo fursa.
Mpaka sabuni? DuhNachukuaga sabuni tu...hotel za dodoma wananikoma jamani
Huyu ukimleta gheto akikuta laptop, simu, hela na vitu vingine ile unaingia bafuni au unatoka kidogo tayari anapita na vitu vyako. Hawa wanawake ni tabu sana tuwe makini na watu aisee.Du we demu jambazi...mwizi ni mwizi tu hamna mwizi mdogo.. Maana ukipata nafasi utaiba kikubwa...lakini jua siku ya arobaini yako ikifika utafi.rwa mande uloe mavi.....