Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Na kweli waambieMbona hotel za bongo zina vitu sub standard?
Vile visabuni, taulo huwa situmii kabisa.
Yale mashuka nalala shingo upande tu.
Basi mna Mbinu kali xnHahahha[emoji16][emoji16][emoji16]
Nakumbuka nikiwa na rafiki yangu tuƙitokea ɗar kwenda ƙaragwe ɓuƙoɓa tuliamua kufikia guest moja ktk mji wa kahama tukakuta ndani kuna mashuka mapya mazur na asubuh tulikuwa tunaondoka saa 12 asubuh .
Rafk yangu (Apple) aƙanishawishi tukapita nayo sjui huko nyuma ilikuwaje tukagawana moja moja na foronya moja moja(mungu atusamehe sitarudia tena)
Siku nyingine tumeenda hotel moja maarufu dar tumebeba na pochi zetu kubwa tukapita na glass za wine lol Apple ƙwann lakin [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]mpaƙa stiki jaman tukapita nazo
Ɓila ƙusahau mapazia na tv ya flat screen tumeshapitia na Apple rafk yangu sjui huko uliƙo marekan usipoacha hiyo taɓia mungu ataƙuzooom.
Najua walioiba stik za cafe na bar wapo wengiiiiii
Naona walisema reception hii flat tulikuja nayo so tunaondoka nayoUongo mwingine bana.....sasa flat screen unapita nayo vipi reception au ulirusha dirishani
Bora sabuni mkuu,sababu ni haki yako na huwa ni ya Mtu mmoja,kibaya ni kuiba vilivyomo huo ni wizi kama wiz mwingineMm huwa nachukua vile visabuni vyao
Mkuu,kuna Watu ni wez hatarHiyo tv ya flatscreen mlipita nayo vipi?
Hao kawaida yaoKuna yule Mbunge wa viti maalum ccm anaitwa Mwanjelwa aliiba taulo lodge akadakwa.
mengine yana label sasa sijui anatandika vp home kwake?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mtoa mada serious unapita na shuka tena za guest aise una roho ya korosho.
Mbali na labelmengine yana label sasa sijui anatandika vp home kwake?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji5][emoji5][emoji5][emoji5][emoji5]Kuna jamaa yangu nilikuwa nae Chuoni yeye kazi yake kubwa ilikuwa kuiba Glass za wine na bia Bar/Pub na hii tabia hajaiacha mpaka leo japokuwa kashaoa na watoto anao. Pia alikuwa na tabia ya kuwasafisha mikoba,hereni,cheni,hela na saa mademu aliolala nao Guest.
Hivi karibuni tuu kuna demu alimpata akaenda kulala nae Hotelini yule demu akapanda dau kubwa akampa elfu themanini kabla hawajafanya lolote,demu kazitia kwenye mkoba wake jamaa alichofanya akavizia mida ya saa10 usiku demu kalala fofofo jamaa akazama kwenye handbag akachukua hela zote alizozikuta pamoja na za yule demu akasepa zake. Demu anaamka hakuti mtu kucheki pochi haina hata mia,demu akapiga sana simu jamaa hakupokea.
Nilichogundua hapa, ukienda geto/home kwa mwanamke ukikuta ana glass za aina nyingi nyingiii jua mwizi wa baa na gest huyoMe huwa siibi natoa adhabu ... Nimekuja kuhudumiwa naletewa nyodo naondoka na glass kwa hasira na nk