Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

....wakisha kuua katika ulimwengu wa kiroho-...hakuna njia ya kujinasua ?!...just curious to know

Sent using Jamii Forums mobile app

Mpaka uhangaike sana , na sio wote wanaojua Tatizo liko wapi , mpaka ukute mtu ana imani sana na dini au mshirikina sana , yan mchawi haswa kila wiki yeye hakosi kwenda kwa waganga

Vinginevyo, utamaliza makanisa yote kuombewa, maaan wachungaji wengi na manabii ni ma agent wa shetani na Hata kama ukikuta mchungaji safi na hana nguvu za kiroho hawez kufanya chochote. Utakua na Bahati sana ukifunguliwa

Kwani wengi hufa na hizo laana na kuziacha kwa kizazi hadi kizazi

Ulimwengu wa roho unatisha sana


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mpaka uhangaike sana , na sio wote wanaojua Tatizo liko wapi , mpaka ukute mtu ana imani sana na dini au mshirikina sana , yan mchawi haswa kila wiki yeye hakosi kwenda kwa waganga

Vinginevyo, utamaliza makanisa yote kuombewa, maaan wachungaji wengi na manabii ni ma agent wa shetani na Hata kama ukikuta mchungaji safi na hana nguvu za kiroho hawez kufanya chochote. Utakua na Bahati sana ukifunguliwa

Kwani wengi hufa na hizo laana na kuziacha kwa kizazi hadi kizazi

Ulimwengu wa roho unatisha sana


Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]

Sent using Jamii Forums mobile app

Watu wana vifungo vya nguvu za giza , watu wengi wanateseka na kuaribiwa maisha na nguvu za giza it’s not a small matter .

Twende mbele turudi nyuma , Tanzania kuna wachawi wa kutisha, Mabilionea wengi ndan na nje ya nchi wanakimbilia Kwa waganga kuchukua nguvu za kiroho /giza . Na mtu akishaingia kwneye nguvu za giza ni ngumu sana kupambana nae , ngumu sana Sijui uwe na nguvu za Mungu kias gani Ndo Uweze kujinasua


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Dah, haya mambo haya sio mchezo mkuu
Dizain ya kuua ( hii nilisoma sehemu sijui kuna ukweli gani )

1.Kwa kusaini hati ya kifo inakua hivi. .
From nowhere mtu anaweza kukupigia cm au hata kukuuliza tu bila simu kuwa kesho utakuepo?? Wewe Bila kujua unaeza jibu hapana sitakuepo ( labda kama hio kesho una ratiba fulani? Unknowingly Utajibu sitakuepo ..pale unapojibu sitakuepo tu tayari unakua umeshasaini hati ya kifo wewe mwenyewe. .mtu akikuuliza hivo unachotakiwa kujibu ni kuwa : ndio kesho nitakua sehemu fulani ( unaitaja hio sehemu mfano kesho saa fulani nitakua kanisani au nitakua sokoni au kwa fulani ) automatic unakua umevunja na kuharibu huo mpango/kapo cha kifo wakukuua kwani watu wakiokufa ndio hawapo na wenye uhai wapo sehemu mbalimbali

2. Kutumia nyoka ( waliotumwa kichawi lakini )
Wachawi pia hutumia sana nyoka katika kutaka kuua. Inakua hivi. Wanamtuma huyo nyoka ( wakiwa wameshafanya madawa yao ) kwenda kwenye nyumba ambayo muhusika wa kuuawa yupo .
Kama mnavojua nyoka akionekana automatic watu hutaka kumuua hapohapo. So mkimuua huyo nyoka tu mnakua mmemuua huyo mtu alielengwa kuuawa kichawi. Kiuhalisia huyo mtu Anaeza asife hapohapo lakini ipo siku atakufa tu mtake msitake. So wengine husema kuwa ili kuepuka hili kemeeni kwanza pia hutakiwi kumuua huyo nyoka kitu ambacho ni kigumu sana na Sidhani kama Inawezekana kumuona nyoka nyumbani msimuue sijui inakuaje hapo na ukiona unaota manyoka nyoka mara nyingi kunakua na roho ya kishetani /kichawi inakufatilia

3. Kutumia vitu hivo vitu wakishavichukua huenda kuvifanyia dawa huku wakinena na kufanya mambo yao ya kichawi

So sometimes hawa wadudu wadudu pia hutumiwa (hii nilishuhudia kwa dogo) japo nyoka hupendelea kutumia zaidi ndiomana wengine wakiona nyoka na kukemea/ kusali / kuomba gafla huyo nyoka hupotea Saint anne

Cc Smart911

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mahali niliwahi sikia, biashara bila kuitengeneza kidogo ni nadra sana kutoboa
Kuna kipindi nilikua natumia Misukule mno,kulimia ila roho inanisuta mpaka nimewakimbia washkaji
ambao walikua wananiuzia

Machache usiyoyajua Gamboshi zipo mbili Kuna moja ipo Mwanza na nyingne Zanzibar eneo la Bumbwini.hata hivyo nimezoea kwenda hasa Gamboshi ya Mwanza kununua vifaa,misukule pamoja na Dawa mbalimbali kibiashara.

All in All sipo huko tena na sirudi tena



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angel on earth
Mimi binti yangu nkiniombea kitu kwa Mungu napata yaani mpaka huwa tunashangaa sana na mkewangu ni mdogo muaka mi nne tu ila huwa anaomba utamsikia Mungu naomba baba apate ela aweke mafuta atupeleke mikumi aisee keshoyake hata iweje lazima nipate pesa yakutosha tu ni mengi sana kanifanyia.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh, hii noma mkuu
Hebu nisimulie hiki kisa changu...

Jumanne 23-08-2019.

Ilikuwa saa nne na nusu usiku nikiwa nimeketi sebuleni,mara gafula mzee akatoka chumbani na kuanza kunitukana matusi ya nguoni...

"Kijana gani wewe kazi kula na kujaza choo,huoni wenzio wanafanya kazi na wanategemewa na wazazi wao...ni bora ningezaa hata mbuzi ningefaidi mchuzi.."


Mara ghafula nashutuka kofi hili hapa sijakaa vizuri ngumi hii hapa,nikasimama imara na kumkazia tu macho...wadogo zangu na mama yangu wakitazama tu pasi na kusema neno.

Nikageuka taratibu na kutoka nje,chozi la uchungu likanitoka ilikuwa ni siku mbili tu toka nifukuzwe shule moja niliyokwenda kuomba ajira ya kujitolea..ati hawawezi kuajiri kiziwi!.

Nilitazama anga jeusi lililosheheni nyota nyingi,mwezi uliotoa nuru angavu nikajiuliza "Mungu upo wapi?".. Nikaingia chumbani na kuvaa viatu.. Nikatoka naenda wapi? Sijui!

Nikaambaa nisijue kama nakanyaga ardhi au ninapaa,napishana na mtu ama kisiki,ilinichukua nusu saa kuuacha mtaa wetu nikaingia mtaa wa pili,huu ulikuwa na watu wachache zaidi na nyumba zilikuwa mbalimbali kiasi.


Nikakatiza pembeni ya makaburi,nikasimama,nikayatazama na kujiuliza " kwanini nisingekuwa nimelala pale? Nipumzike!"...loooh lakini sauti nyingine ikaniambia "una uhakika ukilala pale utapumzika? Nikagutuka nikatazama huku na huko hakuna kiumbe nikaongoza njia kuliacha eneo la makaburi na kuzidi kupotelea mbali zaidi na nyumbani.


Hatimaye nikawasili sehemu pweke,barabara kubwa ya kokoto,kulia na kushoto kukiwa na msitu na vichaka vingi,kiza ni kingi kutupia macho simu yangu ni saa sita na robo usiku!

Ikafika mahali kuna njia panda na upande wa kulia kuna mti mkubwa sana aina ya mbuyu mahali pana pana joto sana bwana,pana joto kali,mapigo ya moyo yakanienda mbio " duuucha dunduncha ducha dunduncha" sasa mapigo niliyasikia hadi masikioni..

Nywele zikanisimama na vipele vya uoga vikanitoka hewa ikawa nzito na uvumilivu ukaniisha na sasa nikatimua mbio hata nilipoliacha eneo lile kwa umbali wa mita mia mbili hivi,na sasa nikaanza kutoka katika makazi ya watu.

Kufika hapa ikanipasa kujiuliza ni wapi naelekea,sikuwa napajua napoelekea kumbukumbu ya misukosuko ya kimaisha na masimango yasiyoisha zikanijia,woga wote ukabiisha donge zito la uchungu,hasira na kukata tamaa likanivaa,machozi yakanitoka,nikashika njia na kuendelea na safari,safari isiyojulikana!


Baada ya mwendo wa dakika ishirini hivi nikaingia katika barabara kubwa ya lami,nikashika uelekeo wa kushoto,ilielekea ufukweni,baada ya masaa mawili hatimaye nikawasili ufukweni,nikazitupia macho hoteli kadhaa zilizotamalaki eneo lile,nikaachana nazo na kushuka mchangani mbali kidogi na mahoteli yale,nikajikalisha kitako na kutafakari nilipotoka,nilupo na ninapoelekea,lakini mbona mbele kyna kiza kizito!


KIZAAZAA!

Hatimaye saa tisa ikawadia,nilichoka,na sasa ilikuwa ni safari ya kurudi,nikajizoa zoa na kushika njia kurudi nyumbani,bahati nzuri barabara hii ilikuwa na taa hivyo ikawa ahueni kwangu.


Baada ya mwendo wa dakika arobaini hivi nikahisi kama kwamba kulikuwa na mtu nyuma yangu,nikageuka kwa kasi, ebo! Nikaona nguo ya rangi ya khaki,aidha gauni au kanzu ikiishia na kufutika machoni kwangu....

Mshtuko uluonipata ukanifanya hata nguvu za miguu ziniishie nikajikuta nikiketi katika mfereji mfupi uliojengwa pembeni ya barabara.

"Ni nini hiki? Ni kweli au ni mawazo yangu tu?" Nikajiuliza,nukatazama huku na huko hali ni shwari,labda niliangalia vibaya bwana nikajizoazoa na kuendelea na safari..

Kiroja kingine tena! Ati nina vivuli viwili,kimoja ni changu na kimoja kimevaa kanzu kama si gauni!(mataa ya barabarani yanawaka hivyo mtu akipita kivuli chake kinaonekana kwa ufasaha kabisa) nikatetemeka kwa woga,nikageuka nyuma ati nacho kikageuka! Nikawa natembea kwa kurudi kinyume nyume,ati nacho kinarudi kinyume nyume!.

Lakini mbona kivuli changu kupo mbele yangu hiki cha nyuma ni cha nani? Na tumeachana umbali wa hatua kama tatu hivi toka kilipo hadi nilipo,nikaona huu sasa utani,nikifa si nife tu ebo! Nikakata shauri kukifuata he! Ati nacho kinageuza kila nikikifuata nacho kinaenda nyuma zaidi,ikabidi nikikimbize sasa..kikapotea.

Nikageuka na kuanza kukimbia kwa taratibu mithiri ya mbio za riadha,nikachoka nikaanza kutembea baada ya mwemdo mrefu kivuli kile kikarudi! Sikusimama nikaendelea kutembea tu.

Hata hivyo nikaanza kuhisi mwili kuchoka sana,miguu inauma na usingizi ni mwingi sana,nikajikalisha juu ya ukingo wa karavati kutafuta pumzi maana ilikuwa ni safari ya masaa mawili zaidi hadi nifike nyumbani...nikaanza kusinzia na hatinaye fahamu zikakomea hapo.


Kelele za watoto wakicheza ndizo zilizonigutusha,nikafumbua macho..afanalek! Nilikuwa nimelala chumbani kwangu..miguu ilikuwa imevimba kiasi na mwili mzima ulikuwa unaniuma...


"Lakini mimi mbona nilikuwa kule barabarani?" Nikajiuliza nisijue kilichotokea,nikaamka na kulibinua bati ninalotumia kama mlango,nikapenyeza kiubavuubavu hadi nje.

Nikawatazama nyusoni niliowakuta nje,wapo kawaida,hawana hata habari,pengine niliokotwa na wasamaria wema! Lakini mbona watu wapo kawaida kama hakuna kitu?...nikashindwa kuvumilia nikaamua kumuuliza mama ni muda gani niliingia kulala!

Akanijibu "we si uliingia kulala saa nne weww? Maswali gani hayo usinisumbue" ni nani aloyenirudisha nyumbani,na kile kivuli ni kiumbe gani? Je ndicho kilichonirudisha nyumbani? Lakini hakijanidhuru, hili ni fumbo niishilo nalo hata sasa kuna wakati natamani kukiona tena kivuli kile kilichovalia kanzu au gauni lililopauka lakini hakitokei tena.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Njemba ikatembeza mboko balaa [emoji23][emoji23]
Mwaka 2006 nipo Depo mkoa fulani, tulikuwa na utaratibu makuruta kwenda lindo usiku, na zamu ilikuwa ni vyumba, sasa siku hiyo ilikuwa zamu yetu tukaenda lindo mimi na washikaji wawili ambao tulikuwa tunakaa room moja, tukamuacha mmoja analinda room yetu.
Lindo letu lilikuwa karibu mtoto mkubwa, tumefika pale mida ya saa nne ilipotimu saa 7 usiku mauzauza yakaanza wale washikaji wawili wakaanza kupiga kelele kuweweseka kama vile wanagombana na mtu, "hatuji huko, hatutaki" nikawauliza ni nini hawanijibu, baadae wakakimbia wakaniacha mwenyewe kwenye lindo, baadae walikuja na guard commander wakadai kuna mtu alikuwa amekaa katikati ya maji alikuwa anawaita na kuwavuta kwa nguvu.

Kesho yake tumelala chumbani mmoja wa vijana akakimbia akazima taa ya chumbani akatulazimisha wote tujifunike blanket kuna mgeni na akatoa tahadhari atakayechukungulia atakiona, baada ya dakika moja nilisikia kishindo chumbani kama mtu ameshuka toka darini, baada ya robo saa nikasikia yule kijana anaongea anamuaga mtu.
Asubuhi tumeamka kijana amechanjwa chale mwili mzima, nilipomuuliza akasema ndugu zake walikuwa wamekuja kumtenengezea dawa kutokana na masahibu ya jana yake, kijana alikuwa mtu wa Rukwa.

Story ya pili.
Tupo lindo usiku tena tulikuwa watatu tena (sio wale wa mtoni) sehemu tuliyokuwa lindo ni njia ambayo raia wa kawaida hupita wakienda makwao, sasa siku hiyo mida kama ya saa sita kuna njemba moja ilipita, vijana wakaruka nae, pigwa sana, akagaragazwa sana, mimi nilikuwa nimepitiwa na usingizi, niliposhtuka nikawakataza wale wenzangu tukamwaachia akaenda zake, baada ya nusu saa yakaanza mauzauza, walikuja bundi wawili wakatuzunguka, halafu wakaondoka ghafla wale wenzangu wakaanza kuchapwa fimbo, chapwa sana lakini hawakimbii wanalia wanaomba niwasaidie, ilibidi usiku huo tutafute wenyeji waende kuomba msamaha kwa ile njemba iliyogaragazwa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
" Behind The Scene " anyway, pole mkuu, jitahidi ujue tatizo ni nini ili umalize hiyo hali
Uchawi umejaa mashuleni na mavyuoni
Mmmh hao watu nawaogopa kabisa, Nilipokuwa kidato cha nne miaka kadhaa iliyopita.
week mbili kabda ya necta niliumwa sana. Kiasi kwamba nilikuwa maututi. Ikumbukwe nilikuwa mwanafunz ninayefanya vzr zaid darasani

Siku ya necta ilikuwa ngumu kwangu siku ya mtihani wa kwanza niliumwa mno ila nikiingia kwny mtihani tu .
Nikitoka napona

Siku ya pili nikiingia naumwa nikitoka napona mpaka namaliza mitihani shughuri ilikuwa hivyohvyo.
lla nilifaulu vzr na kwenda kidato cha tano. Ingawa si vzr sana. Coz nilikuwa nategemewa kuleta mapinduzi kwny ile shule.
Ila hali ilijirudia Nilipokuwa nafanya necta ya form 6.
Mpaka Leo sijuagi behind the seen ya kuumwa kule

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie ni majasiri sana kaka
Miaka ya nyuma tunatoka mererani usiku wa manane tuko na pikipiki almaarufu baja tullikutakana na moto mkubwa ukiwa umetanda barabarani kama vile unavuka ,tulikuwa sita tukajishauri sana lakini kwasababu tulikuwa wengi tulipata ujasiri wa kupita ila cha kushangaza tulivuka na hatukuungua wala kuhisi chochote kuangalia nyuma baada ya kuvuka moto uko vile vile

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwaga vitu tupate kuelewa kiundan haya maisha
Mpaka uhangaike sana , na sio wote wanaojua Tatizo liko wapi , mpaka ukute mtu ana imani sana na dini au mshirikina sana , yan mchawi haswa kila wiki yeye hakosi kwenda kwa waganga

Vinginevyo, utamaliza makanisa yote kuombewa, maaan wachungaji wengi na manabii ni ma agent wa shetani na Hata kama ukikuta mchungaji safi na hana nguvu za kiroho hawez kufanya chochote. Utakua na Bahati sana ukifunguliwa

Kwani wengi hufa na hizo laana na kuziacha kwa kizazi hadi kizazi

Ulimwengu wa roho unatisha sana


Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wana vifungo vya nguvu za giza , watu wengi wanateseka na kuaribiwa maisha na nguvu za giza it’s not a small matter .

Twende mbele turudi nyuma , Tanzania kuna wachawi wa kutisha, Mabilionea wengi ndan na nje ya nchi wanakimbilia Kwa waganga kuchukua nguvu za kiroho /giza . Na mtu akishaingia kwneye nguvu za giza ni ngumu sana kupambana nae , ngumu sana Sijui uwe na nguvu za Mungu kias gani Ndo Uweze kujinasua


Sent from my iPhone using JamiiForums
Usemacho ckupingi Mimi mwenyewe hapa kuna uchawi nimefanyiwa sijui nimetupiwa jini sielewi
Nakumbuka kuna Banda niliwahi kupanga uswahilini, basi katka Ile nyumba nilikua naishi na mama wa kiha ambaye alikua na watoto watatu

Asa cjui kitu gani nilichomkosea Yule mama nakuanza kunitesa nakumbuka kuna siku mjuu wake aliingia ndani kwangu na sikua na mazoa na Yule mtoto basi alipokua mle ndani akaanza kuchezea vitu mara anachukua sabuni anamwaga, bodysray anairusha juu , mafuta anayamwaga nukimkataza anakua mkali kweli mwishiwe nikamuita mama yake akaja kumchukua

Cku nyingine aliingia ndani na kupanda kitandani kwangu then akawa anatambaa kama nyoka pale kitandani kwangu na akawa amekakamaa sana

Basi siku zilivyenda nikawa nikilala pale kitandani naota mambo ya ajabu sana haitoshi kuna kitu nakihisi kinatambaa nikikiangalia sikioni

Ikafika kipindi nikilala pale kitandani mchana naongea peke yangu yaani yanajirudia matukio kibao ambayo niliyasahau na nakua na hasira sana yakutaka kwenda kulipiza kisasi

Inshort mpaka muda huu hilo tatizo linanisumbua mkuu nashindwa nilitatue VP cjui.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wana vifungo vya nguvu za giza , watu wengi wanateseka na kuaribiwa maisha na nguvu za giza it’s not a small matter .

Twende mbele turudi nyuma , Tanzania kuna wachawi wa kutisha, Mabilionea wengi ndan na nje ya nchi wanakimbilia Kwa waganga kuchukua nguvu za kiroho /giza . Na mtu akishaingia kwneye nguvu za giza ni ngumu sana kupambana nae , ngumu sana Sijui uwe na nguvu za Mungu kias gani Ndo Uweze kujinasua


Sent from my iPhone using JamiiForums

Mkuu nimekucheki pm fanya km unaiangalia kidogo
 
Usemacho ckupingi Mimi mwenyewe hapa kuna uchawi nimefanyiwa sijui nimetupiwa jini sielewi
Nakumbuka kuna Banda niliwahi kupanga uswahilini, basi katka Ile nyumba nilikua naishi na mama wa kiha ambaye alikua na watoto watatu

Asa cjui kitu gani nilichomkosea Yule mama nakuanza kunitesa nakumbuka kuna siku mjuu wake aliingia ndani kwangu na sikua na mazoa na Yule mtoto basi alipokua mle ndani akaanza kuchezea vitu mara anachukua sabuni anamwaga, bodysray anairusha juu , mafuta anayamwaga nukimkataza anakua mkali kweli mwishiwe nikamuita mama yake akaja kumchukua

Cku nyingine aliingia ndani na kupanda kitandani kwangu then akawa anatambaa kama nyoka pale kitandani kwangu na akawa amekakamaa sana

Basi siku zilivyenda nikawa nikilala pale kitandani naota mambo ya ajabu sana haitoshi kuna kitu nakihisi kinatambaa nikikiangalia sikioni

Ikafika kipindi nikilala pale kitandani mchana naongea peke yangu yaani yanajirudia matukio kibao ambayo niliyasahau na nakua na hasira sana yakutaka kwenda kulipiza kisasi

Inshort mpaka muda huu hilo tatizo linanisumbua mkuu nashindwa nilitatue VP cjui.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo ni IMANI HAKUNA hapo
 
Usemacho ckupingi Mimi mwenyewe hapa kuna uchawi nimefanyiwa sijui nimetupiwa jini sielewi
Nakumbuka kuna Banda niliwahi kupanga uswahilini, basi katka Ile nyumba nilikua naishi na mama wa kiha ambaye alikua na watoto watatu

Asa cjui kitu gani nilichomkosea Yule mama nakuanza kunitesa nakumbuka kuna siku mjuu wake aliingia ndani kwangu na sikua na mazoa na Yule mtoto basi alipokua mle ndani akaanza kuchezea vitu mara anachukua sabuni anamwaga, bodysray anairusha juu , mafuta anayamwaga nukimkataza anakua mkali kweli mwishiwe nikamuita mama yake akaja kumchukua

Cku nyingine aliingia ndani na kupanda kitandani kwangu then akawa anatambaa kama nyoka pale kitandani kwangu na akawa amekakamaa sana

Basi siku zilivyenda nikawa nikilala pale kitandani naota mambo ya ajabu sana haitoshi kuna kitu nakihisi kinatambaa nikikiangalia sikioni

Ikafika kipindi nikilala pale kitandani mchana naongea peke yangu yaani yanajirudia matukio kibao ambayo niliyasahau na nakua na hasira sana yakutaka kwenda kulipiza kisasi

Inshort mpaka muda huu hilo tatizo linanisumbua mkuu nashindwa nilitatue VP cjui.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umehama nyumba au Bado?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom