Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Hii nakubali mzee mwenzangu, moja ya code ni kwamba uchawi wa kiswahili hauuwezi uchawi wa kizungu.

Kuna nyumba tulipanga kama group tukiwa tunasoma elimu ya ufundi stadi fani ya umeme miaka ya 2000s

Kumbe bwana ile nyumba dalali alitulengesha kwa kuwa alikuwa na shida ya hela.
Nyumba ilishakuwa abondened miaka kibao kutokana na mauzauza yaliyokuwa yanawatokea watu..

Baada ya kuhamia..
Mara msikie joto mara baridi,mara vyombo vinaangushwa mtu hammuoni,mara hatua za mtu, misonyoo na mengineyo ya kukera bahati nzuri alikuwa haguswi mtu.

Ikumbukwe vituko vyote hivyo ni kwa mchana tu....
Balaa la usiku hasa wakati wa kulala katikati ya usingizi mnaweza kusikia kama watu wanakimbia kwenye bati mwanzo wa nyumba mpaka mwisho kama cherehani rrrrrrraaaaahhhhh.....

Kuna muhuni akatoa wazo la hilo la uchawi wa kizungu, kwamba tuconnect waya wa LIVE wa umeme kwenye bati ukipitia kwenye switch, ya kwamba vishindo vikianza ile rrraaaaaahhh tunawasha..
Assee tukafanikiwa, ila kilichotokea pale kijijini kama wangejua ni sisi wangetula nyama.....
Nini kilitokea sasa mkuu mbona unakua nusu nusu na story
 
Mimi ninamiaka 7 naumwa kitu kisichoeleweka. Nashangaa zamani watu walikua wananipenda hata nilipokua naongea walipenda kunisikiliza pia walipenda kuwa karibu na mimi ,lakini baada ya kuanza kupata matatizo rafiki ote wamekimbia ,hata nikikaa kwenye seat ya gari hakuna atakae tamani kukaa na mimi na ata akikaa anaweza kuhama, ninaweza nikawa napita njiani mtu akanikwepa yaani akabadirisha njia kisa mimi na hapo hatujuani, yaani nina nyota ya kutengwa na watu kila nitakachofanya lazima nifeli, kuhusu ugonjwa wangu mtu hawezi ujua hadi nimwambie au awe ndugu wa karibu, na kila nikitaka kwenda hospital usiku kabla ya kwenda nakua muoga sana yaani napata sonona, mpaka sasa sijapona ,sijui nini shida
Duh pole ngekujua huenda nkikuwa sababu ya kupata msaada juu ako.
 
Nimeishi huko sumbawanga pakawaida sana.
Japo sumbawanga na kigoma huwa wanatumia uchawi wa radi unaofanana.
kwa hio uchawi wa swax na kule kgt wa kawaida sana?

maana wanasema ukitaka zindiko kali nenda kigoma.

mapenzi nenda tanga..
 
Nishawahi sikia kisa kinschohusishwa na uchawi

Kuna masela wawili walienda kwa mganga ili wapate utajiri

Mganga akawapa dawa akawaambia wakaoge usiku makaburini na wakitoka mlangoni kwa mganga hawatakiwi kugeuka nyuma

Basi unaambiwa safari yao iliandamwa na misukosuko yakutisha, mara wasikie muungurumo wa simba akiwa nyuma yao na vimbwenga vingi lakini walijitahidi kukaza ili kutovunja sharti la kugeuka nyuma

Sasa ulipofika usiku majira ya saa 8 ikabidi waende makaburini kuoga ili kumalizia zoezi lao la mwisho ili wawe mamilionea

Walipofika makaburini wakavua nguo wote nakubakia uchi kisha wakapanda juu ya kaburi ili waoge

si unajua ukiwa katika ile mood flani hivi unaoga halafu umefumba na macho ili maji yasiingie machoni.

wakastukia tu paap! wameshikwa makalio kwa nyuma.

Aaah unaambiwa wote ilibidi wageuke nyuma kwa haraka huku wanakimbia na kupiga makelele

Kesho yake kijiweni wakaanza kulaumiana "aaah wewe ndiye ulizingua, we ungekausha bila kupiga mikelele mi nisingechochora kwani kushikwa tako kitu gani bwana" yani leo nisingekua nakunywa kahawa hapa ningekua nimejikoki huko kwenye hotel zinazotambulika na dunia"
duh,,, huu
uongo.
 
Nishawahi sikia kisa kinschohusishwa na uchawi

Kuna masela wawili walienda kwa mganga ili wapate utajiri

Mganga akawapa dawa akawaambia wakaoge usiku makaburini na wakitoka mlangoni kwa mganga hawatakiwi kugeuka nyuma

Basi unaambiwa safari yao iliandamwa na misukosuko yakutisha, mara wasikie muungurumo wa simba akiwa nyuma yao na vimbwenga vingi lakini walijitahidi kukaza ili kutovunja sharti la kugeuka nyuma

Sasa ulipofika usiku majira ya saa 8 ikabidi waende makaburini kuoga ili kumalizia zoezi lao la mwisho ili wawe mamilionea

Walipofika makaburini wakavua nguo wote nakubakia uchi kisha wakapanda juu ya kaburi ili waoge

si unajua ukiwa katika ile mood flani hivi unaoga halafu umefumba na macho ili maji yasiingie machoni.

wakastukia tu paap! wameshikwa makalio kwa nyuma.

Aaah unaambiwa wote ilibidi wageuke nyuma kwa haraka huku wanakimbia na kupiga makelele

Kesho yake kijiweni wakaanza kulaumiana "aaah wewe ndiye ulizingua, we ungekausha bila kupiga mikelele mi nisingechochora kwani kushikwa tako kitu gani bwana" yani leo nisingekua nakunywa kahawa hapa ningekua nimejikoki huko kwenye hotel zinazotambulika na dunia"
duh ya leo kali
 
hapo ni hata sijakusoma mkuu!!

yaan mwaka 1992 ndio ushuhuda wako wa kwanza ukiwa unafundisha shule X

halafu ushuhuda wako wa mwisho ni mwaka 2009 ukiwa field liwale wakati huo inasoma chuo cha sauti mtwara

hoja yangu sasa, yaani ulianza kufundisha kabla haujawa mwl?
ni simple tu aliajiriwa baadae akaenda kuendeleza Elimu mkuu
 
Hii nakubali mzee mwenzangu, moja ya code ni kwamba uchawi wa kiswahili hauuwezi uchawi wa kizungu.

Kuna nyumba tulipanga kama group tukiwa tunasoma elimu ya ufundi stadi fani ya umeme miaka ya 2000s

Kumbe bwana ile nyumba dalali alitulengesha kwa kuwa alikuwa na shida ya hela.
Nyumba ilishakuwa abondened miaka kibao kutokana na mauzauza yaliyokuwa yanawatokea watu..

Baada ya kuhamia..
Mara msikie joto mara baridi,mara vyombo vinaangushwa mtu hammuoni,mara hatua za mtu, misonyoo na mengineyo ya kukera bahati nzuri alikuwa haguswi mtu.

Ikumbukwe vituko vyote hivyo ni kwa mchana tu....
Balaa la usiku hasa wakati wa kulala katikati ya usingizi mnaweza kusikia kama watu wanakimbia kwenye bati mwanzo wa nyumba mpaka mwisho kama cherehani rrrrrrraaaaahhhhh.....

Kuna muhuni akatoa wazo la hilo la uchawi wa kizungu, kwamba tuconnect waya wa LIVE wa umeme kwenye bati ukipitia kwenye switch, ya kwamba vishindo vikianza ile rrraaaaaahhh tunawasha..
Assee tukafanikiwa, ila kilichotokea pale kijijini kama wangejua ni sisi wangetula nyama.....
Mkuu kama vipi si umalizie kulitokea nini?

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Mimi ninamiaka 7 naumwa kitu kisichoeleweka. Nashangaa zamani watu walikua wananipenda hata nilipokua naongea walipenda kunisikiliza pia walipenda kuwa karibu na mimi ,lakini baada ya kuanza kupata matatizo rafiki ote wamekimbia ,hata nikikaa kwenye seat ya gari hakuna atakae tamani kukaa na mimi na ata akikaa anaweza kuhama, ninaweza nikawa napita njiani mtu akanikwepa yaani akabadirisha njia kisa mimi na hapo hatujuani, yaani nina nyota ya kutengwa na watu kila nitakachofanya lazima nifeli, kuhusu ugonjwa wangu mtu hawezi ujua hadi nimwambie au awe ndugu wa karibu, na kila nikitaka kwenda hospital usiku kabla ya kwenda nakua muoga sana yaani napata sonona, mpaka sasa sijapona ,sijui nini shida
Kimbiliq kwa Mwamposa haraka utolewe gundu hilo
 
Back
Top Bottom