Mimi ninamiaka 7 naumwa kitu kisichoeleweka. Nashangaa zamani watu walikua wananipenda hata nilipokua naongea walipenda kunisikiliza pia walipenda kuwa karibu na mimi ,lakini baada ya kuanza kupata matatizo rafiki ote wamekimbia ,hata nikikaa kwenye seat ya gari hakuna atakae tamani kukaa na mimi na ata akikaa anaweza kuhama, ninaweza nikawa napita njiani mtu akanikwepa yaani akabadirisha njia kisa mimi na hapo hatujuani, yaani nina nyota ya kutengwa na watu kila nitakachofanya lazima nifeli, kuhusu ugonjwa wangu mtu hawezi ujua hadi nimwambie au awe ndugu wa karibu, na kila nikitaka kwenda hospital usiku kabla ya kwenda nakua muoga sana yaani napata sonona, mpaka sasa sijapona ,sijui nini shida