Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Mimi nimemuona Lisu anachangisha michango gari liwekwe makumbusho na alikua ulaya kwa wafadhili wake kitambo kidogo tu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
vipi mashine ilikuwa tight ya huyo jini.
 

Mara ya kwanza nlidhani upo serious. Ulipoandika Troobaaaa nikaona kumbe una fanya masikhara. Mtu mwenye uelewa na akili nzuri hawezi andika upuuzi kama huo. Ungeandika kwa lugha ya u serious na kuonesha unajielewa.
 

Hii Chai tumesimuliana sana toka miaka ya nyuma.
 
Mwana mi nilikua sjjawahi kuloga.
Hapo nimesota sana mtaani nikapata kazi wiki 2 huku wife kanizingua.
Ingia mzigoni nikakata bia 2 hizi draft.
Kumbe pale ndani kuna mzee ananichora tu.
Badae ananiita nikaomba msamaha pale yakaisha maana tulikua wawili tu.
Boss alikua Canada huko alivyorudi kapewa taarifa.
Kuna jamaa huko ofisini kaja kunishtua "e bana kaa tayari"
Kunani tena?
Ulikutwa unakula bia.
Ikawa ile kesi ilifika huko?
Ikawa ipo.
Dah nikatoka kinyonge sana.
Nimekutana na mwanangu mmoja namsimulia kasema kesi ndogo twende kwa mtaalamu.
Dah tulipiga duah ,sijui nini,kisomo siku nzima.
Nikapewa maji yalichanganywa na damu ya njiwa.
Nikaambiwa mwaga pale anaäpita kwenda ofisini.
Yule mzee alikutana na matukio
Mpk kaachishwa kazi.
Yule mtaalamu alikataa malipo
Kabisa.
 
Masikini wee kaguswa kinyeo
 
Sio nyoka alikuwa anataka kuingia kwenye tundu la tako?
 
Siku flani za Mwezi Nov mwaka wa 2023 ilikuwa siku ya kushangaza kwelikweli. Kwa umri wangu wa 27 kipindi hicho sikuwahi Kuona miujiza yoyote yenye chembechembe za uchawi na ushirikina. Sikuwa home Kwa miaka kadhaa hivyo siku hizi nilikuwa nimewatokea kuwacheki hali zao.
Njia ya kuelekea home huwa Kuna miti mikubwa minne iitwayo MIKUYU. Hii miti bwana husemwa na wanakijiji kama miti yenye kuwa makazi ya majini. Na stori hizi nikizisikia toka utotoni.
Sasa basi siku hiyo naelekea home mida ya saa 1:30 hivi usiku nilipofika karibu na miti ile ghafla kulitokea upepo jirani na nilipokuwa nilipocheki ghafla nikaona kiumbe flani nguo nyeusi mfano wa mtu kinakimbia Kwa Kasi kubwa bila kugusa chini Kwa umbali wa karibu MITA 70 hivi then kikapotea. Ghafla nikahisi kichwa kinavimba na nywele zinacheza.
Nikakimbia kuelekea home Kwa mbio ndefu. Nilipofika home nikamwambia Maza. Maza alishtuka sana akisema eneo Lile limepoteza watu wawili mpaka Leo Kwa kifo kwani yasemekana walikumbana na majini. Dah hofu nami ikanshika nisije kuwa watatu.
Bahati nzuri mpaka Leo Nipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…