Cosmasjulius
JF-Expert Member
- May 22, 2018
- 695
- 1,011
Me kuna mshkaji wangu yeye alikuwa ikifika siku ya mtihani tu anaumwaa hoii... Yani kitu kinaitwa mtihani hapatani nacho... Karudia madarasa mpaka necta wakasema aisee inatosha kufanya mitihani ya taifa sasaNa anaesema hakuna uchawi jua hayajamkuata
Miee mpaka kupona nlizurura mnooo
Na nikajionea mengi aiseee ya kushangaza
Na kiukweli kupitia tukio hiloo kiasi nliongeza ufaham kuhusu hii dunia tunayoishii
Bei gani babe tuinunue nataka tuishi huko.Hii Kuna nyumba moja hapa mtwara, imeshauzwa mara nane, kila ananunua hakai anapiga mnada,..... Chanzo aliyeuza alikuwa na wake wawili.... Sasa alikuwa na madeni bank, akamuomba mke mkubwa auze nyumba yake, mke mkubwa akakataa akamwambia akauze ya bi mdogo, mume kwa kiburi akauza ya mke mkubwa heheheheheh balaaaa mke mkubwa akaenda kwa mganga Ile nyumba anaenunua akiingia ndani anakuta miti tupu mle ndani yaani poriii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwisho wiki zilizopita imetangazwa kuuzwa tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Da mkuu umezingua kinoma yani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nishawahi sikia kisa kinschohusishwa na uchawi
Kuna masela wawili walienda kwa mganga ili wapate utajiri
Mganga akawapa dawa akawaambia wakaoge usiku makaburini na wakitoka mlangoni kwa mganga hawatakiwi kugeuka nyuma
Basi unaambiwa safari yao iliandamwa na misukosuko yakutisha, mara wasikie muunguroma wa simba akiwa nyuma yao na vimbwenga vingi lakini walijitahidi kukaza ili kutovunja sharti la kugeuka nyuma
Sasa ulipofika usiku majira ya saa 8 ikabidi waende makaburini kuoga ili kumalizia zoezi lao la mwisho ili wawe mamilionea
Walipofika makaburini wakavua nguo wote nakubakia uchi kisha wakapanda juu ya kaburi ili waoge
si unajua ukiwa katika ile mood flani hivi unaoga halafu umefumba na macho ili maji yasiingie machoni.
wakastukia tu paap! wameshikwa makalio kwa nyuma.
Aaah unaambiwa wote ilibidi wageuke nyuma kwa haraka huku wanakimbia na kupiga makelele
Kesho yake kijiweni wakaanza kulaumina "aaah wewe ndiye ulizingua, we ungekausha bila kupiga mikelele mi nisingechochora kwani kushikwa tako kitu gani bwana" yani leo nisingekua nakunywa kahawa hapa ningekua nimejikoki huko kwenye hotel zinazotambulika na dunia"
Hebu tiririka mlivyojiongeza!Mwaka 2013 nahitimu chuo nikiwa mzima wa afya na michakato yangu ya kuingia jeshini ikawa imepamba moto
Ghafla nikakumbwa na upofu, nikawa sioni, Amana hospital wakasema nenda muhimbili, nakumbuka muhimbili nikakutana na dokta mmoja kuleee clinic ya macho, akanchana live kuwa mie nshakua kipofu mishipa ya macho imesinyaa bora nirudi home tuu
Nikashauriwa na wadau mbalimbali niende CCBRT nako kuchekiwa yale yalee, ila sababu haijulikani
Nakumbuka mfanyakaz mmoja wa hiyo hospital alimstua sister angu jiongezeniii
Basi bhana baada ya kujiongeza kuhangaika huku na hukoo leo naona tena
Aisee! Mimi ninachojua niliambiwa babu yangu alikuwa mtu wa dini sana! Alifika tu mkoa fulani, akaoa na akafia hapo. Hawajui ni wapi alipotokea na sijawahi kumuona! Ajabu hata picha hakuwahi kupiga! Baadhi ya ndugu waliyomuona babu akiwa hai wakimuota wanamuona amesimama huku nyuma yake kukiwa na nyumba inang'aa sana.Mkuu wewe una uwezo wa asili Kama Mimi pia hizo ndoto unitokea mara kwa mara.
Katika kufuatilia nikaambiwa kwamba hao ni mizimu ndio hutoa msaada Kama huo wa kukuonesha wabaya wako na sio akili yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka uchawi upo ndugu. Mbona ni dhahiri tu. Kama unawasikiliza akina Kiranga ndugu utapotea. Huyo Kiranga mtoto wa kishua. Na kuna familia au watu Mungu kawajaalia hawajawahi kukutana na misukosuko ya kichawi asilani.Soma post namba 42
Ndiyoo karibu kama una tatzoWeweni mganga?
Dunian kuna mambo duh!!!
Hiyo miujiza ni mwanga unaotokana na madini yaliyo ardhiniMiaka ya nyuma tunatoka mererani usiku wa manane tuko na pikipiki almaarufu baja tullikutakana na moto mkubwa ukiwa umetanda barabarani kama vile unavuka ,tulikuwa sita tukajishauri sana lakini kwasababu tulikuwa wengi tulipata ujasiri wa kupita ila cha kushangaza tulivuka na hatukuungua wala kuhisi chochote kuangalia nyuma baada ya kuvuka moto uko vile vile
Kwa hiyo Babu yako ndio anayekulinda?Aisee! Mimi ninachojua niliambiwa babu yangu alikuwa mtu wa dini sana! Alifika tu mkoa fulani, akaoa na akafia hapo. Hawajui ni wapi alipotokea na sijawahi kumuona! Ajabu hata picha hakuwahi kupiga! Baadhi ya ndugu waliyomuona babu akiwa hai wakimuota wanamuona amesimama huku nyuma yake kukiwa na nyumba inang'aa sana.
Kabisa mkuu,,tena bangi yenyewe haikuwekwa juani ikauke vizuriJombaaa hii ilikuwa bangi zenu mlizovuta