Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 14,834
- 32,522
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hiyo ni stori tu wala haiwezi kua ukweli kama unavyonifahamu sijawahi kuamini katika uchawi
Soma post namba 42Hiyo uliiamini..? Siyo wewe unayesema hakuna shetani wala uchawi..??
Sent using Jamii Forums mobile app
Siamini. Ni kweliiiiNlikutana na vibwengo laivu bila chenga...nikiwa same secondary...aisee usiombe ukutane na Hawa jamaa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ikawaje? waliacha kuwasumbua?
Mkuu mimi nimesoma mtwara Saut mwaka huo huo
Hivi nikumbushe jina huyo mwanachuo anaitwa nani kivileee???
Hata Mimi natamani kujua hilo,pia napenda kujua alivyorudi alikuwa na mawasiliano na kuwatambua ndugu zake?Hiyo story ya mtoto aliyerudi n mikono mirefu mpaka magotini tafadhali nyosha mkanda je alikuwa anakula anaongea na alisema alikuwa wapi ?
Sent using Jamii Forums mobile app