Kuna mkaka alimaliza form 6 miaka hiyo ya 84
Akatafutiwa kazi lkn kila akiwa kazini akiandika mikono haiandiki inakuwa km mtoto wa miaka 2 au mmoja jinsi anavyojichorea hovyo,lkn akiwa home kwao au mishe za kikawaida sio za kazi anaandika vzr,basi ameishia kuwa fundi mafriji
Kuna mdada kipindi hicho sasa mmama,alikuwa amelala chumbani kwake karibu na dirisha akahisi kitu nje akachungulia na kumuona mtu mrefuuuu kavaa nguo nyeupe,kila akijitahidi aone sura yake yule mtu anazidi kurefuka,alikuwa amepata tungi mbona liliisha na kulala fasta
Mmama mwingine alikuwa anachelewa kurudi kazini na kuondoka mapema,saa 7 usiku akaamua kufua nguo zake,alikua anafulia uwani kwake,ghafula akahisi mwili na mywele kusisimuka,na kuhisi km mtu kamsimamia,kuinua shingo hamna mtu,lkn kamba inatingishika sana km mtu anaitingisha,akaamka na kuanza kusali
Akaingia ndani akasali sana,maana yeye ni kama mlokole,akomba mpk kutetemeka,usingizi ukampitia km dk 10,akaota anampigana na mwanamke jirani yake,akajiona kucha zake zimekua na kuziingiza ndani ya macho ya huyo mwanamke,mwisho mwanamke akauimia na kukimbia.
Baada ya siku 3 akapata taarifa huyo mama anaumwa sana mpk kapelekwa kwa ndg zake
Sent using
Jamii Forums mobile app