Bulaya001
JF-Expert Member
- Dec 21, 2018
- 5,987
- 6,682
Nina chapter mbili (2), moja ya kwangu ma ya pili ni ya baba yangu,
Nitaanza na yangu mwenyewe..
Mwaka 2016 nikiwa na umri wa kati tu usio na tija kuwa mme wa mtu, ila kutokana na misukumo na vishawishi vya barehe ikanibidi nivute kibinti cha kiislam, kutokana na kuwa nilikuwa mpambanaji wazazi wake waliniamini na kunipa mtoto wao japo sikuwa na kigezo hata cha kuoa wakati ule (20+ yrs only) sasa basi baada kufanya process zote ilibidi niowe kiislam kutokana na kuwa waslam hawana mambo mengi(mimi sio muislam wala sina mpango wa kuwa), yaani wao hata mkiwa watu 10 ndoa inatamadadi na kukwishineyi...sasa wakati ule wa binti kuvundikwa baadhi ya wenyeji, dungu&jamaa walianza kumletea zawadi za hapa na pale, baadae ndoa ilifungwa na maisha ya ndoa yakaanza rasmi, sasa kimbembe kilianza baada ya yeye kutoka kwao tu, yaani binti yule akawa mgumu kutoa papuchi ilihali alinipenda mwanzo na alilia ndoa kwa udi na uvumba sasa nikawa najiuliza huyu vipi, ama ananiectia..basi kwa akili zangu za ujana ujana nikawa na-force game, kisha kibishi namaliza ila alikuwa analia sana kana kwamba alifosiwa kuolewa..
Baada ya zile siku saba za mwanzo baada ya ndoa (honey moon) huko kijijini kwetu, tukawa tumejisogeza maghetto kwangu ili tuyaanze maisha yetu wenyewe, sasa hapo ndipo picha lilianza yaani binti kuanzia asubuhi-saa12 mzima kabisa yaani yupo shwari kimbembe ni ile kigiza cha usoni kikianza kuingia yaani alikuwa mwehu kabisa, sasa nikaanza kujiuliza hii imekaaje ama ndio mke ana act ili asitoe mchezo, basi ikabidi nitoe taarifa ukweni maana hali ifikia pabaya sana,
Sasa wakawa wameniambia kuwa jambo hili linavinasaba vya kishirikina, kwa upande wangu sikuamini hata kidogo, sasa bibi wa mke wangu mzaa mama mkwe alikuwa ni mrokole kindakindaki, basi wakawa wame- organize mama&bibi ili mtoto wao atibiwe hayo maswaibu..basi bana siku hiyo nakumbuka niko zangu ghetto sina hamu hata kidogo na ile ndoa si mama mtu akaja na yule Bibi akiwa na wenzake na mama zake wadogo, mama mkwe na wadogo zake ilibidi wabaki nje kutokana na kulinda itifaki ya kutoingia chumba cha mkwilima wake,
Wakawa wametutaka siye wanandoa tupige magoti ili ombi lianze humo humo ghetto, mwanzoni me nilikuwa na- take easy tu nahisi kama vile movie za kibongo, lakini baada ya ombi kukolea nikamuona wife kaanza kupiga mwano, wakabidi wakomae nae me nipo nacheck tu (ilibidi nifumbue macho[emoji16]) ombi likawa ombi daaah mara mtu chini wapo nae tu, mara wakaanza kuyahoji majini baada ya yule binti kuanza kusema mtuache, mnatuchoma..sasa hapo me siamini tu baada ya kuzungumza nayo yakawa yamesema kuwa pindi binti yule anafundwa ndani siku zile za kuvumdikwa kuna mtu alimpea under wear (chupi) kupitia kwa mdogo wake, yeye pasina kujali akawa kaivaa, na ndipo yalianza maswaibu..me bado hapo sina imani tu na kile kinachoendelea, baadae kabisa baada ya ombi kukolea yule binti akaanza kutema nyama nyama kama stake hivi ila zipo mithiri ya damu iliyoganda, wakachukua mtandio wake wakaanza kumtoa zile nyama mdomoni pia alikuwa anatafuna meno kiasi kwamba unasisimuka kama mtu anae sugua sifuria, hapo sasa ndio nikaanza kupata imani kuwa kweli binti yule ana jambo tena kubwa tu, baada ya ombi kumchek yule binti mdomoni nilishangaa hakuwa na jeraha wala kovu ambalo lilisababisha kutoa nyama zile tena zimejaa kwenye mtandio wake wa kiislam..mzee nilidata mpaka nikakoma na kimbelembele changu cha kuyakimbilia mapenzi,
Baada ya ombi lile tukawa kama temeyaamsha, na siku zilizofuata ndio kikawa kimbembe zaidi ya mwanzo, maana kuna usemi unadai kuwa kama wewe umeombewa na kutokwa na majini basi unatakiwa uishike imani sana sana laasivyo huwa yakitoka 10 yanarudi 20 it means (2x2), sasa sisi tuka- take easy kabisa, yaani majanga yalizidi mpaka kufikia hatua ndoa kuota mbawa ndani ya mwezi mmoja tu(mpaka sasa nipo single, na sina hamu kabisa ya kuwa na mke).
Yaani yule binti alipoteaga, wazazi wake waliuza nyumba ili kumtafuta binti yao kwa wataalamu, walimpata baadaya ya mwaka mmoja (2017) ila waliyumba sana kiuchumi na kuhama mji waliokuwa wanaishi na kwenda kwingine kuanzisha maisha tena ya upangaji, baba mkwe wangu na baba yake mzazi mpaka leo hawasemshani maana ktk jopo lililohusika na hizo inshu pia mke mdogo wa huyu babu wa mke wangu alihusika sana, pia huyu babu hakuwahi kusimama kumtetea mjukuu wake wakati wote alisema kuwa mkewe anasingiziwa huenda ni kutokana na limbwata ama juju alilopewa na huyo mke wake
NB: pia kipindi tunamuuguza mke wangu tuliwahi kwenda kutibiwa kwa mmoja wa bibi zake wa ukoo tukiwa huko, me nyege zikanizidi ikabidi nimuombe show wife maana tulilala kitanda kimoja, alivyogoma kutoa mechi ikabidi nitumie force maana nilikuwa na kama wiki kadhaa pasipo kufanya chochote kwake na isitoshe kwa wakati huu alikuwa keshapona(hapandwi na majini wala hakuwa kichaa), yule bibi alituachia room ambayo ilikuwa ndio kilinge chake, Aiseee nakumbuka wakati na-force kuchojoa chupi nae hayumo kelele zikawa kibao wakati huo ni kama saa11 alfajiri, mara paaap nasikia sauti kwenye angle ya kuta ikisema shiiiiiiiiii, daah nilitoka nje nikiwa na boxer yangu tu hapo nipo kifua wazi nikamfuata yule bibi akaniambia nitulie tu nikiwa ndani maana kilingeni huwa hakuhitaji makelele, sikuomba match tena wala sikusinzia mpaka kunapambazuka kisha nikasepa zangu kurudi mjini..[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitaanza na yangu mwenyewe..
Mwaka 2016 nikiwa na umri wa kati tu usio na tija kuwa mme wa mtu, ila kutokana na misukumo na vishawishi vya barehe ikanibidi nivute kibinti cha kiislam, kutokana na kuwa nilikuwa mpambanaji wazazi wake waliniamini na kunipa mtoto wao japo sikuwa na kigezo hata cha kuoa wakati ule (20+ yrs only) sasa basi baada kufanya process zote ilibidi niowe kiislam kutokana na kuwa waslam hawana mambo mengi(mimi sio muislam wala sina mpango wa kuwa), yaani wao hata mkiwa watu 10 ndoa inatamadadi na kukwishineyi...sasa wakati ule wa binti kuvundikwa baadhi ya wenyeji, dungu&jamaa walianza kumletea zawadi za hapa na pale, baadae ndoa ilifungwa na maisha ya ndoa yakaanza rasmi, sasa kimbembe kilianza baada ya yeye kutoka kwao tu, yaani binti yule akawa mgumu kutoa papuchi ilihali alinipenda mwanzo na alilia ndoa kwa udi na uvumba sasa nikawa najiuliza huyu vipi, ama ananiectia..basi kwa akili zangu za ujana ujana nikawa na-force game, kisha kibishi namaliza ila alikuwa analia sana kana kwamba alifosiwa kuolewa..
Baada ya zile siku saba za mwanzo baada ya ndoa (honey moon) huko kijijini kwetu, tukawa tumejisogeza maghetto kwangu ili tuyaanze maisha yetu wenyewe, sasa hapo ndipo picha lilianza yaani binti kuanzia asubuhi-saa12 mzima kabisa yaani yupo shwari kimbembe ni ile kigiza cha usoni kikianza kuingia yaani alikuwa mwehu kabisa, sasa nikaanza kujiuliza hii imekaaje ama ndio mke ana act ili asitoe mchezo, basi ikabidi nitoe taarifa ukweni maana hali ifikia pabaya sana,
Sasa wakawa wameniambia kuwa jambo hili linavinasaba vya kishirikina, kwa upande wangu sikuamini hata kidogo, sasa bibi wa mke wangu mzaa mama mkwe alikuwa ni mrokole kindakindaki, basi wakawa wame- organize mama&bibi ili mtoto wao atibiwe hayo maswaibu..basi bana siku hiyo nakumbuka niko zangu ghetto sina hamu hata kidogo na ile ndoa si mama mtu akaja na yule Bibi akiwa na wenzake na mama zake wadogo, mama mkwe na wadogo zake ilibidi wabaki nje kutokana na kulinda itifaki ya kutoingia chumba cha mkwilima wake,
Wakawa wametutaka siye wanandoa tupige magoti ili ombi lianze humo humo ghetto, mwanzoni me nilikuwa na- take easy tu nahisi kama vile movie za kibongo, lakini baada ya ombi kukolea nikamuona wife kaanza kupiga mwano, wakabidi wakomae nae me nipo nacheck tu (ilibidi nifumbue macho[emoji16]) ombi likawa ombi daaah mara mtu chini wapo nae tu, mara wakaanza kuyahoji majini baada ya yule binti kuanza kusema mtuache, mnatuchoma..sasa hapo me siamini tu baada ya kuzungumza nayo yakawa yamesema kuwa pindi binti yule anafundwa ndani siku zile za kuvumdikwa kuna mtu alimpea under wear (chupi) kupitia kwa mdogo wake, yeye pasina kujali akawa kaivaa, na ndipo yalianza maswaibu..me bado hapo sina imani tu na kile kinachoendelea, baadae kabisa baada ya ombi kukolea yule binti akaanza kutema nyama nyama kama stake hivi ila zipo mithiri ya damu iliyoganda, wakachukua mtandio wake wakaanza kumtoa zile nyama mdomoni pia alikuwa anatafuna meno kiasi kwamba unasisimuka kama mtu anae sugua sifuria, hapo sasa ndio nikaanza kupata imani kuwa kweli binti yule ana jambo tena kubwa tu, baada ya ombi kumchek yule binti mdomoni nilishangaa hakuwa na jeraha wala kovu ambalo lilisababisha kutoa nyama zile tena zimejaa kwenye mtandio wake wa kiislam..mzee nilidata mpaka nikakoma na kimbelembele changu cha kuyakimbilia mapenzi,
Baada ya ombi lile tukawa kama temeyaamsha, na siku zilizofuata ndio kikawa kimbembe zaidi ya mwanzo, maana kuna usemi unadai kuwa kama wewe umeombewa na kutokwa na majini basi unatakiwa uishike imani sana sana laasivyo huwa yakitoka 10 yanarudi 20 it means (2x2), sasa sisi tuka- take easy kabisa, yaani majanga yalizidi mpaka kufikia hatua ndoa kuota mbawa ndani ya mwezi mmoja tu(mpaka sasa nipo single, na sina hamu kabisa ya kuwa na mke).
Yaani yule binti alipoteaga, wazazi wake waliuza nyumba ili kumtafuta binti yao kwa wataalamu, walimpata baadaya ya mwaka mmoja (2017) ila waliyumba sana kiuchumi na kuhama mji waliokuwa wanaishi na kwenda kwingine kuanzisha maisha tena ya upangaji, baba mkwe wangu na baba yake mzazi mpaka leo hawasemshani maana ktk jopo lililohusika na hizo inshu pia mke mdogo wa huyu babu wa mke wangu alihusika sana, pia huyu babu hakuwahi kusimama kumtetea mjukuu wake wakati wote alisema kuwa mkewe anasingiziwa huenda ni kutokana na limbwata ama juju alilopewa na huyo mke wake
NB: pia kipindi tunamuuguza mke wangu tuliwahi kwenda kutibiwa kwa mmoja wa bibi zake wa ukoo tukiwa huko, me nyege zikanizidi ikabidi nimuombe show wife maana tulilala kitanda kimoja, alivyogoma kutoa mechi ikabidi nitumie force maana nilikuwa na kama wiki kadhaa pasipo kufanya chochote kwake na isitoshe kwa wakati huu alikuwa keshapona(hapandwi na majini wala hakuwa kichaa), yule bibi alituachia room ambayo ilikuwa ndio kilinge chake, Aiseee nakumbuka wakati na-force kuchojoa chupi nae hayumo kelele zikawa kibao wakati huo ni kama saa11 alfajiri, mara paaap nasikia sauti kwenye angle ya kuta ikisema shiiiiiiiiii, daah nilitoka nje nikiwa na boxer yangu tu hapo nipo kifua wazi nikamfuata yule bibi akaniambia nitulie tu nikiwa ndani maana kilingeni huwa hakuhitaji makelele, sikuomba match tena wala sikusinzia mpaka kunapambazuka kisha nikasepa zangu kurudi mjini..[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Sent using Jamii Forums mobile app