Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Basi na wewe ni mchawi mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahahahaaa.
Picha likaishaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swali lako atalijibu Mshana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umsake ili iweje sasa? Acha pombe kijana.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kutoka minduki tuu. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kunasiku tulikuwa kwenye mizunguko ya kujioatia riziki Basi tulikuwa wawili kwenye gari yule mwenzangu Yan boss n mwislam ilkua n saa kumi Ile jion n mtu wa dini ikabid aingie kupiga Sala ilkua nakumbuka n charambe Kuna msikiti Kama unatoka mbande unaelea mbagala upo mkono wa kulia na Kama unatoka mbagala to mbande upo mkono wa kushoto Sasa baada ya jamaa kumaliza Sala akarud kwenye gari kuwasha na kuitoa Nissan hard body single cabin pale ikawa mziki ngoma aiendi tukajiuliza inakuaji kushuku angalia Kama Kuna jiwe au nn kinazuia hamna jamaa kaweka reverse hamna mbele hamna kitu tukajiuliza hii n nn hii Basi akaja mzee mmoja hv akaenda mbele ya tair ya mbele chin akachora nakumbuka kitu Kama x kwa fair zote mbili akatuambia nenden aisee kutupia gia mzee gari hyo imeenda tulitoka hapo tukawa tuñacheka tuu kwa kilichotokea Inaonekana pale msikin wale wazee wanaokaaga pale nje n noma sana
 
Mi nataka siku moja nipige tungi niwashe na kitu Cha R alafu saa sita usiku niende pale katikati ya makaburi ya kaloleni nikae kwa kutulia
Nione nitaona Nini Manake hizi stories nazisikiag tu oh Mara majitu,mashetani,vibwengu blah blah nyingi nataka nione live alafu nikikutana nalo niliulize kwanini wanatisha na kuua watu
 
Hii ni kweli jamani au hadithi?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aiseee[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…