Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Basi na wewe ni mchawi mkuu
Mimi nitaandika vitu vichache tu
_Nimewahi kuwaona usiku wachawi wakicheza ngoma nje ya nyumba niliyopanga
_Nimeona misukule sana,Sana mingine ilikua inaiba mboga usiku,yenyewe inaiba Nyama &Unga wa ugali ama ulaxe kiporo asubuhi hukuti
_Nimewahi kumshuhudia mzee maarufu mtaani kila siku hua anabeba ndoo moja ya Unga pamoja na madumu mawili ya baiskerli anapeleka ktk nyumba moja hivi kila siku saa 12 jioni kumbe anafuga misukule mingi mno,Sasa niliwahi kumfumania ametoka kuwanga saa 11 jioni kachelewa kurudi kwake tukapishana naenda kuoga ametoka nyuma ya mwembe
_Nimewahi kua karibu na mchawi mkongwe kiasi Cha kutaka kununua Misukule
Bei hutofautiana maximum 3,00,0000per kichwa Bei huzid kutokana na nguvu matumizi na nyota ya msukule

_Nimeshakutana na waganga&wachawi wengi njiapanda wakiwa katika shughuli zao usiku mnene
_Nimefanikiwa kujua lugha za kichawi
Mshirika_Mchawi
Kijakazi_Maukule
_Nimefanikiwa kufahamu viongozi kadhaa was kichawi na kupiga nao stori
_Nimefanikiwa pia kurogwa na kutumiwa jini


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahahahaaa.
Picha likaishaje?
Haha! Huyo jamaa huwa ananiacha hoi sana! Kuna siku kuna mwanamke alipandisha majini bhana! Wakaja viongozi wa dini kufanya kisomo. Si tulikuwa pembeni tunaangalia picha jinsi linavyokwenda. Yule jini akaanza huyu mwanamke nampenda siwezi kumuacha!

Huyo mshikaji si akanyanyuka bhana akamsogelea huyo mwanamke aliyepandisha majini. Jamaa akaanza; Nyie majini washenzi sana! Kwenu hamna mademu! Unampenda unampenda nani rudi kwenu huko!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
qumamaqe watu wanaroga[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji38][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji38][emoji3][emoji38][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
daaah!!!
hivi nazi ina mahusiano gani na ushurikina

Sent using Jamii Forums mobile app
Swali lako atalijibu Mshana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umsake ili iweje sasa? Acha pombe kijana.
Sasa number mbili na tatu vinahusiana vipi na uchawi.... Kipi cha ajabu hapo kuzimia au kuugua uchizi ghafla?
Izo ni imani zako tu... Hakuna iyo kitu.

Alafu unataja kijiji unasema shule x ndio nin... Wakati inaeleweka kijiji kina primary moja secondary moja... Vichache saana vina nyingi.

Tukiamua kukusaka tunaanza na iyo wilaya tu hata hakutokuwa na tatizo

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kutoka minduki tuu. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
jerrybanks, Nilisimuliwaga ; Kwamba ukienda kwa mganga labda ili kumdhuru mtu ukitaka auwawe na simba/Nyoka etc dawa ya kuunda simba inakua (labda) kama punje za mahindi unawekewa mkononi unasema maneno basi yule kiumbe anatokea akishaenda kumdhuru mlengwa jukumu lako kama muunda Killing machine yule kiumbe akirudi ukuwekee unga mkononi alambe anabadilika anarudi kama zile punje za awali.

wengi wao wanashindwa wanaishia kufa kwa ajili (unaambiwa) kiumbe kinaporudi huko kama ni Simba basi amefura anahasira na madamu mdomoni ,kitu cha kutisha ule ujasiri wa kukaa utulie aje alambe unga unakutoka ukikimbia ndio anakutafuna na wewe, imagine nyoka anavyofoka vile unaanzaje kukaa[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kunasiku tulikuwa kwenye mizunguko ya kujioatia riziki Basi tulikuwa wawili kwenye gari yule mwenzangu Yan boss n mwislam ilkua n saa kumi Ile jion n mtu wa dini ikabid aingie kupiga Sala ilkua nakumbuka n charambe Kuna msikiti Kama unatoka mbande unaelea mbagala upo mkono wa kulia na Kama unatoka mbagala to mbande upo mkono wa kushoto Sasa baada ya jamaa kumaliza Sala akarud kwenye gari kuwasha na kuitoa Nissan hard body single cabin pale ikawa mziki ngoma aiendi tukajiuliza inakuaji kushuku angalia Kama Kuna jiwe au nn kinazuia hamna jamaa kaweka reverse hamna mbele hamna kitu tukajiuliza hii n nn hii Basi akaja mzee mmoja hv akaenda mbele ya tair ya mbele chin akachora nakumbuka kitu Kama x kwa fair zote mbili akatuambia nenden aisee kutupia gia mzee gari hyo imeenda tulitoka hapo tukawa tuñacheka tuu kwa kilichotokea Inaonekana pale msikin wale wazee wanaokaaga pale nje n noma sana
 
Mi nataka siku moja nipige tungi niwashe na kitu Cha R alafu saa sita usiku niende pale katikati ya makaburi ya kaloleni nikae kwa kutulia
Nione nitaona Nini Manake hizi stories nazisikiag tu oh Mara majitu,mashetani,vibwengu blah blah nyingi nataka nione live alafu nikikutana nalo niliulize kwanini wanatisha na kuua watu
 
Hii ni kweli jamani au hadithi?
Tanga miaka ya 82. Kuna jama alifanya mapenzi na mke wa mtu. Ghafla alipomaliza kitu kikakatikia ndani lkn damu haimwagiki. Alikuja kwa mganga pale Gatundu. Mtu mwingine ukimuangalia mashine unaiona imetulia. Yeye binafsi haioni na hata akipeleka mkono anakuta hamna kitu.
...........,..................

Jamaa mwingine tena alitembea na mke wa mtu. Wakamaliza fresh kila mtu akachukua hamsini zake. Jamaa alikua anakakaa nyumba isiyo na ceiling board. Ghafla wakati amepumzika chumbani kwake ametulia kitandani baada ya kumshuhhulikia mke wa bwege akaona panya amebeba dhakari na pum*** anakatiza nayo kwenye mbao juu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jirani yangu kuna siku alikuwa ananisimulia alikuwa anasafiri na broo wake usiku walikuwa kwenye gari yao. Safari ilivyokuwa inachanganya mbele wakamuona mtu kwa mbali kama anasimamisha gari. Kumuangalia vizuri kumbe ni mwanamke, halafu ni mrembo tu! Dogo akamwambia bro huyu mwanamke atakuwa jini tu haiwezekani usiku huu wote asimame njiani peke yake, tumpite tu.

Brother yake akamwambia usihofu. Akasimamisha gari. Akamwambie ndio mrembo! Yule mwanamke akamwambia naombeni lift nimekwama huu usiku naelekea eneo fulani. Brother yake akamwambia yule mwanamke ingia. Safari inachanja mbuga brother yake akaanza kumwambia yule mwanamke. Inakuaje unatusumbua unasimamisha gari wakati eneo unalotaka kwenda unaouwezo wa kufika?

Yule mwanamke akajibu sielewi unachozungumza. Brother yake akamwambia yule mwanamke, usi' panic! Sisi tuliokupa lift tunajua kwamba wewe ni jini! Ndiyo tunakuuliza kwa nini umetusumbua kusimamisha gari wakati kufika eneo unalotaka uwezo huo unao wewe kama wewe?

Yule mwanamke akawaambia simamisheni gari! Majamaa wakasimamisha. Wakasikia mlango wa siti ya nyuma unafunguliwa. Kugeuka yule mwanamke hawamuoni tena! Brother yake akasema, unatusumbua wakati uwezo wa kufika unao. Wakaendelea na safari.

Nikamuuliza sa mbona huyo jini katumia style ya zamani sana? Jamaa akanijibu, majini ni wapumbavu wapumbavu tu.
Aiseee[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom