Mlundilwa Jr
JF-Expert Member
- Dec 11, 2019
- 3,187
- 4,857
Shukuru hayajakukutaKila kitu hapa ni uongo tena uongo wa hali ya juu.
Tunasafari ndefu sana na hivi visa vyenu vya kufikirika
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha ligi dogoWewe unaeamini vitu vya kufikirika ndio mwenyekiti wetu wa matahira
Sent using Jamii Forums mobile app
hiyo hela ulitoa wapi ili urogwe? nenda bagamoyo katoe hilo dau halafu ulete majibu.Yatanikuta vipi mambo ambayo hayapo??
Nilishatoa hadi pesa nilogwe lakini hakuna alieweza
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo ni lugha za kuzimu. .....
Yani najua mambo ya kichawi utadhani nami ni mchawi. . Hawa mahousegel muwe mnawapeleka Makanisani/ nyumba za mungu mara tu wanapofika kwako jamani! ? kisa kilianzia kwa housegal
Thanks God
Cc Smart911
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwisho Wa kusajili ni lini jamani maana hata mimi mbado!!Mkuu line yangu sija sajili kwa alama za vidole shusha story yako before sijatoka hewani [emoji120][emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Mimi natamani kujua hilo,pia napenda kujua alivyorudi alikuwa na mawasiliano na kuwatambua ndugu zake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekumbuka hiki kisa,
Mbeya mjini nilikutana na kisanga cha kubebeshwa mkojo na wazee wanacheza drafti, bao na kunywa kahawa,
Unakuta wanacheza wewe unaenda shangaa pale (mimi nilikua nasubiri coaster za usiku za dar) nimeshangaa wee baada ya dk 20 hivi nkabanwa mkojo nkarudi kwa mwenyeji nkamuomba anielekeze pa kujisaidia, nimerudi kujisaidia naenda kushangaa na kuskiliza stori zao, yaani ndani ya lisaa nilienda chooni mara 3, nkawa najisemea mapema yote hii hata maji sijanywa mkojo mwingi hivi?
Kwa sababu nilikua na safari niliogopa kunywa maji japo nilikua na kiu sana kwa hofu ya kusumbua gari njiani kuchimba dawa,
Gari ilivyokuja nkaanza pakia carolight zangu nkamaliza nilipotaka kurudi pale kuendelea kushangaa mwenyeji wangu akaniambia twende huku (hapo tunasubiri gari ijae abiria) tukakaa mahali tunapiga stori za hapa na pale ndio akaniambia nimekuona unabebeshwa mikojo tu hata huelewi, nkabaki namshangaa...
Ndio akaniambia ukienda shangaa pale kama hauko vizuri wale wazee wakiskia mkojo wanakubebesha wewe unaenda kuukojoa badala yao, yaani wanaweza kukaa asubuhi hadi jioni hata chooni wasiende ila wee kila mda unapiga ruti tu..
Hiyo ilikua mwaka 2010 pale uyole.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu habari yako.... ninaweza kukusaidia kwa maombi (kama upo mkoa wang) au kukuelekeza jinsi ya kusali ni rahisi sana sema tu Ur Mam inabidi awe tayari kusali na kuwa na imani.....Bibi yangu ni mchawi, anamtesa sana Mama yangu, anataka kumuua. Ni muda sasa mama anateseka na maradhi yasiyo pona. Tumezunguka sana... ila basi tu
Hiyo story ya mtoto aliyerudi n mikono mirefu mpaka magotini tafadhali nyosha mkanda je alikuwa anakula anaongea na alisema alikuwa wapi ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu habari yako.... ninaweza kukusaidia kwa maombi (kama upo mkoa wang) au kukuelekeza jinsi ya kusali ni rahisi sana sema tu Ur Mam inabidi awe tayari kusali na kuwa na imani.....
Sent using Jamii Forums mobile app