Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Duh hatari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo zee jinga kweli eti bora angekufa mdogo[emoji1][emoji1][emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu tunafanana sana:
Mimi mwaka 2010 wakati npo chuo cha cbe dar mzee wangu alikua anaumwa amelazwa muimbili hospital.

Ilikua Mara kwa Mara haipiti wiki lazima nimuote mzee wangu amefariki,basi nlikua nalia sana tena sana ukumbuke nipo ndotoni nikistuka najikuta ninamachozi mengi sana.
Basi nikiamka tu lazima niende hospital kuakikisha je amekufa kwel au laa lkn nlikua namkuta mzima.

siku namaliza tu mitihan ya mwisho ndo siku hiyo hiyo amefariki hakika nililia sana tena sana.

KUHUSU MAONO NDOTONI
Mimi Nina staili mbili za kuota nikiwa nimelala.
Huwa naota kwa kuona tukio kamili lkn pia huwa naota kwa kusikia sauti ya mtu masikioni mwangu akiniambia kitu.
Kuna siku niliota sauti ya mtu ikiwa IPO siriazi inaniambia kwa umakini kabisa kua utaenda kua manager katika kampuni hii theni nikaanza kuoneshwa laivu mazingira ya hiyo kampuni.
Nilivostuka niliomba mungu iyo ndoto na iwe kwel maana nilikua kweli sina kazi ya kuajiriwa naendesha bodaboda yangu.
Ikapita kama miezi mitatu mbaka nishaanza kusahau hiyo ndoto siku moja natoka kwenye interview ya kampuni flani dar wakat nipo chalinze baba yangu mdogo akanipigia simu akaniambia upo tayar kuajiriwa nikamwambia ndio mzee akaniambia nitumie CV yako kuna MTU nimtumie

Nlivotuma baada ya wiki nikaitwa kusailiwa nikaambiwa wiki ijayo niende kuanza kazi tanga.
Huwezi amini nilivofika mazingira ya pale kwenye ile kampuni ndo yaleyale ambayo niliyoyaota nankuoneshwa kwenye ndoto ambayo ilitokea zaidi ya miezi mitatu nyuma

Nilishangaa sana kwa kwel.na mengine mengi tu sitaki kuwachosha na wengine wachangie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…