Johnny Sins
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 2,537
- 3,873
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana mkuuMwaka 2013 nahitimu chuo nikiwa mzima wa afya na michakato yangu ya kuingia jeshini ikawa imepamba moto
Ghafla nikakumbwa na upofu, nikawa sioni, Amana hospital wakasema nenda muhimbili, nakumbuka muhimbili nikakutana na dokta mmoja kuleee clinic ya macho, akanchana live kuwa mie nshakua kipofu mishipa ya macho imesinyaa bora nirudi home tuu
Nikashauriwa na wadau mbalimbali niende CCBRT nako kuchekiwa yale yalee, ila sababu haijulikani
Nakumbuka mfanyakaz mmoja wa hiyo hospital alimstua sister angu jiongezeniii
Basi bhana baada ya kujiongeza kuhangaika huku na hukoo leo naona tena
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mlikoma aiseeeKipindi nasoma lutheran junior seminary morogoro tulikuwa tunatoka kila weekend kwenda vigodoro siku iyo tulienda chakaribu ila watu walikuwa wengi sasa kwenye vigodoro kuna watu wale wanauza vimishikaki na bublish na vimahindi vya kuchoma mmoja wao akamwambia rafiki yangu niliekuwa nae anunue chochote kiukweli hatukuwa na pesa ila yule jama akaforce sana ila ukweli hatuna kitu yule muuzaji sijui alifanya nini ila mkono wa kulia wa rafiki yangu ulipotea hiv hiv nikiwa naona kwa takribani dakika nne tunamuomba jamaa aurudishe ni ukweli hatuna kitu mpaka ukarudi baada ya hapo akatupa muhindi wa kuchoma aiseee sintokaa nisahau
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee noma mzee.. Uchawi haufaiiMwaka 2013 nahitimu chuo nikiwa mzima wa afya na michakato yangu ya kuingia jeshini ikawa imepamba moto
Ghafla nikakumbwa na upofu, nikawa sioni, Amana hospital wakasema nenda muhimbili, nakumbuka muhimbili nikakutana na dokta mmoja kuleee clinic ya macho, akanchana live kuwa mie nshakua kipofu mishipa ya macho imesinyaa bora nirudi home tuu
Nikashauriwa na wadau mbalimbali niende CCBRT nako kuchekiwa yale yalee, ila sababu haijulikani
Nakumbuka mfanyakaz mmoja wa hiyo hospital alimstua sister angu jiongezeniii
Basi bhana baada ya kujiongeza kuhangaika huku na hukoo leo naona tena
Uongo kama huu, ndiyo hupelekea wengine kutoamini uchawi.anabeba ndoo moja ya Unga pamoja na madumu mawili ya baiskerli anapeleka ktk nyumba moja hivi
Sent using Jamii Forums mobile app
Haaaaa a HaaaUongo kama huu, ndiyo hupelekea wengine kutoamini uchawi.
"Madumu mawili ya baiskeli" ndo Yak0je hayo mkuu?
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu malizia ile story
Ka-search youtube ziko video nyingi zinaonyesha uchawi ulionaswa kwenye cctv.Penye cctv matukio ya uchawi hayatokeagi.
Nyingi ni editing.Ka-search youtube ziko video nyingi zinaonyesha uchawi ulionaswa kwenye cctv.
You tube wako kwa ajili ya kupata views. Ukiwa unaangalia video angalia channel ya muhusika ina husu nini kama ni entertainment au education purpose.Ka-search youtube ziko video nyingi zinaonyesha uchawi ulionaswa kwenye cctv.
Ukisoma kwa kutafuta makosa ya kiuandishi utapoteza maana na lengo la jambo unalolitaka.Uongo kama huu, ndiyo hupelekea wengine kutoamini uchawi.
"Madumu mawili ya baiskeli" ndo Yak0je hayo mkuu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukisoma kwa kutafuta makosa ya kiuandishi utapoteza maana na lengo la jambo unalolitaka.Uongo kama huu, ndiyo hupelekea wengine kutoamini uchawi.
"Madumu mawili ya baiskeli" ndo Yak0je hayo mkuu?
Sent using Jamii Forums mobile app