Nikipita bila kusema nitakuwa sijampa Mungu wangu utukufu anaostahili! Kiukweli nilikuwa nazisikia habari za nguvu za Giza na nilikuwa muombaji wa kawaida tu hadi hapo siku moja ndan ya mwaka huu nilisikia upepo mkali umenivamia mapigo ya moyo yanaenda mbio na mwili wote unatetemeka mithili ya mtu mwenye kifafa! Nilishuhudia mengi baada ya hapo! Hospital walisema nimepata hypertension na moyo unashida nikapewa referral ya muhimbili kitengo cha moyo.
Pale muhimbili nilipima vipimo vyote vya moyo na nilionekana sina shida yeyote.Kuna rafiki yangu mmoja aliniambia upepo ndo ukaanza kuwa hivi hauumwiii twende kwenye maombi, nilishuhudia sura yangu inageukageuka, nilishuhudia nina vidole zaidi ya 10 mkono wa kulia it’s like vingne vinatoka vingine vinabaki! Nilitapika stepo pins nikashuhudia kwa macho yangu! Ninachoweza kusema Nguvu za giza zipo na Mungu yupo na unapomuita anaitika! Nimebadili mfumo mzima wa maisha yangu na hakika Mungu amenikumbatia!
Ilinichukua miezi miwili kupambana na ile hali.Kuna muda upepo ulikuwa unakuja nasikia kabisa kicheko chenye mwangwi, mwanzo nilikuwa siwez kufanya kitu zaidi ya kupiga ukunga baadae nikawa naweza kuita damu ya Yesu na kuifunika nafsi yangu kwa damu ya Yesu.. hili ni funzo kubwa sana kwangu mwaka huu wa 2019! Yani upepo ulikuwa unakuja ni naomba namuita Yesu inaweza chukua dakika 10 hiyo hali lakini mwili unavyotweta jasho....Jamani tumkimbilie tu Yesu! Atupe jicho la rohoni tuone yaliyojificha
Pale muhimbili nilipima vipimo vyote vya moyo na nilionekana sina shida yeyote.Kuna rafiki yangu mmoja aliniambia upepo ndo ukaanza kuwa hivi hauumwiii twende kwenye maombi, nilishuhudia sura yangu inageukageuka, nilishuhudia nina vidole zaidi ya 10 mkono wa kulia it’s like vingne vinatoka vingine vinabaki! Nilitapika stepo pins nikashuhudia kwa macho yangu! Ninachoweza kusema Nguvu za giza zipo na Mungu yupo na unapomuita anaitika! Nimebadili mfumo mzima wa maisha yangu na hakika Mungu amenikumbatia!
Ilinichukua miezi miwili kupambana na ile hali.Kuna muda upepo ulikuwa unakuja nasikia kabisa kicheko chenye mwangwi, mwanzo nilikuwa siwez kufanya kitu zaidi ya kupiga ukunga baadae nikawa naweza kuita damu ya Yesu na kuifunika nafsi yangu kwa damu ya Yesu.. hili ni funzo kubwa sana kwangu mwaka huu wa 2019! Yani upepo ulikuwa unakuja ni naomba namuita Yesu inaweza chukua dakika 10 hiyo hali lakini mwili unavyotweta jasho....Jamani tumkimbilie tu Yesu! Atupe jicho la rohoni tuone yaliyojificha