Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Kijiji kimoja mkoa X, mzee mmoja alipowaona kuku wa jirani wanashambulia mahindi shambani mwake akaamua kuwatimua kwa kuwapiga na mawe.
Alipoamka asubuhi akajikuta mguu mmoja umetoka uko pembeni hakuna damu wala nini, akiwa katika taharuki nini afanye akalala tena kuamka kesho yake mguu wa pili pia umetoka uko pembeni.
Mpaka leo huyo jamaa yuko na ameshakuwa mzee haelewi nini kilimkuta anatumia wheel chair, uchawi upo.
Alipataje confidence ya kulala jamani.
 
Kisa changu ilikuwa mwaka 2007 ilikuwa sumbawanga maeneo ya kizwite tulikuwa tunatengeneza matrass ya chuma sasa ikifika jioni tunatoka kwenda kula monde town sasa kulikuwa na pub moja maarufu lakin haina hamsha kbsa kuliko zingine ambazo ni lock sasa tukaona acha tukajiachie ile tunaingia tunashangaa mmliki wa ile anatukaribisha lkn anacheka sana tukaingia kula monde kula monde tukienda chooni yule mwenye pub anacheka mbaya ikafka mda wa kuondoka tukasepa kesho yake tukaanza kuwapa habari Wana kuwa kuna kiwanja kizuri lkn hkna watu c ndio tukaambiwa kuwa pale ukiingina unakuwa uchi mipango yoote inakuwa wazi maamaae tangia cku ckukanyaga kbsa sumbwanga noma sana
 
Nakumbuka kipindi hicho nikiwa na umri wa miaka 6. Usiku wa saa saba, mkojo ukanibana sawa sawa, ikabidi nimwamshe Mamdogo anitoe nje ili nitoe hiyo haja ndogo

Kwasababu Mamdogo alikuwa na usingizi kwa kutosha, ikabidi anipige biti la hatari na kufoka sana. Tukatoka, yeye akasimama mlangoni mie nikasogea kama mita nne hivi ili nijisaidie. Zile kelele za mother kufoka usiku akiwa mlangoni, tulisikia sauti ya kike kutoka nyuma ya jiko ikisema "MUACHE AKOJOE NAWEWE". Hahahahah!!! Sikutambua Mamdogo kaingia ndani sangapi maana kugeuka nyuma sioni mtu mlangoni. Kwakuwa nilikuwa mdogo niliendelea na haja yangu then nikarudi ndani......
Haaaahaa aiseee nimecheka sana, kama namuona mamdogo alivyochanja mbuga.
 
Kisa changu ilikuwa mwaka 2007 ilikuwa sumbawanga maeneo ya kizwite tulikuwa tunatengeneza matrass ya chuma sasa ikifika jioni tunatoka kwenda kula monde town sasa kulikuwa na pub moja maarufu lakin haina hamsha kbsa kuliko zingine ambazo ni lock sasa tukaona acha tukajiachie ile tunaingia tunashangaa mmliki wa ile anatukaribisha lkn anacheka sana tukaingia kula monde kula monde tukienda chooni yule mwenye pub anacheka mbaya ikafka mda wa kuondoka tukasepa kesho yake tukaanza kuwapa habari Wana kuwa kuna kiwanja kizuri lkn hkna watu c ndio tukaambiwa kuwa pale ukiingina unakuwa uchi mipango yoote inakuwa wazi maamaae tangia cku ckukanyaga kbsa sumbwanga noma sana
Habari kama hii haithibitishi uchawi.

Inatuambia habari za kuwapo kwa uchawi, kwa speculations.

Speculations mtu yeyote anaweza kusema chochote.

Inawezekana anayesema hapo kun uchawi ana maslahi yake kusema hivyo, labda ni mshindani wa kibiashara, au ana uhusiano na washindani wa kibiashara.

Huyo mtu anayecheka anaweza kuwa na sababu nyingi sana za kucheka.

Umeamini uchawi, umeamini bila hata kuuliza wala kuchunguza.
 
Ulishawahi kufanya tafiti ya kuprove uchawi ?ikiwa upo au ni jambo la kusadikika?

Sent using Jamii Forums mobile app
Uchawi ni nini kwanza?

Na unajuaje huu ni uchawi, na si physics, chemistry, biology au psychology usiyoijua tu?

Mababu zetu waliwaona wazungu wachawi, kwa sababu walikuwa na redio, waliweza kutabiri kupatwa kwa jua.

Leo tunajua huu si uchawi, ni vitu vinavyoelezeka kisayansi.

Muandishi maarufu wa Science Fiction, Arthur C. Clarke, alisema, "Any sufficiently advanced technology is indistinguishable from magic".

Sasa wewe utajuaje this is magic from some technology/ trick you don't know?

Wewe utajuaje vitu unavyoita uchawi leo, ni uchawi kweli, au ni vitu vinavyoelezeka kisayansi tu, ila wewe hujajua vinaendaje?

Unajuaje kwamba haupo katika position ile ile waliyokuwa mababu zetu ya kuwaona wazungu wachawi, kwa sababu wanatumia redio na kutabiri kupatwa kwa jua?
 
Jikite katika nadharia ya vitendo ili upate majibu ya maswali yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hujajibu swali.

Muandishi maarufu wa Science Fiction, Arthur C. Clarke, alisema, "Any sufficiently advanced technology is indistinguishable from magic".

Sasa wewe utajuaje this is magic, and this is some technology/ trick you just don't know?

Uchawi ni nini?

Hujajibu swali.
 
Hii story kuna mtu kanisimulia juzi tu hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwepo live pale.

Kichekesho ni kwamba baada ya tukio hilo, hawa jamaa walitambiana hapo hapo kila mmoja akimuhakikishia mwenzake kumkomesha kwa kumloga. Nkonkeye baada ya siku chache aliugua kikohozi alichokuwa anakohoa kwa kuunganisha hata saa nzima, Mwisho alikufa na alizikwa kwa kusukumizwa na kuanguka kwenye kaburi. Hakuna alieingia ndani ya kaburi kumzika licha ya watoto, wakamwana na wajukuu kuhusika kwenye mazishi. Ilijulikana kwamba alishasema yeyote atakayeingia kwenye kaburi siku ya kuzikwa kwake hatatoka, akimaanisha atazikwa nae. Ndonkeye alipata masaibu hayo makubwa
 
Back
Top Bottom