The 13
JF-Expert Member
- Oct 14, 2018
- 2,835
- 3,266
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulikuwa jasiri sana kijanaNakumbuka kipindi hicho nikiwa na umri wa miaka 6. Usiku wa saa saba, mkojo ukanibana sawa sawa, ikabidi nimwamshe Mamdogo anitoe nje ili nitoe hiyo haja ndogo
Kwasababu Mamdogo alikuwa na usingizi kwa kutosha, ikabidi anipige biti la hatari na kufoka sana. Tukatoka, yeye akasimama mlangoni mie nikasogea kama mita nne hivi ili nijisaidie. Zile kelele za mother kufoka usiku akiwa mlangoni, tulisikia sauti ya kike kutoka nyuma ya jiko ikisema "MUACHE AKOJOE NAWEWE". Hahahahah!!! Sikutambua Mamdogo kaingia ndani sangapi maana kugeuka nyuma sioni mtu mlangoni. Kwakuwa nilikuwa mdogo niliendelea na haja yangu then nikarudi ndani......
Mkuu na baada ya kuwaona kitaendelea ni siku zinazifuata?
Je wale wachawi hawatogundua kuwa umewaona?Na endapo watagundua kuwa umewaona nini kitatokea baadae?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo tulifanikisha baada ya wachungaji kuja kuombea tena na kumwaga chumvi iliyoombewa kuzunguka nyumba na eneo lote
Umejitahidi kujibu kwa mantiki ila jibu lako bado halitoshelezi.Mkuu hapa anauliza swali au jibu? Yani ni sawa na kuuliza hivi " je ikitokea ninaishi na mgonjwa wa homa ya dengue, halafu akaja mbu wa dengue akamuuma yule mgonjwa, halafu akabeba vimelea akaja akaniuma na mimi, je nini kitatokea?"
Wewe ni muongo.
Umesema mwaka 92 ulikuwa umeshaanza kazi ya kufundisha halafu unasema tena mwaka 2009 ulikuwa unasomea ualimu, aisee hii chai yako imezidi tangawizi.
Kweli mkuu
Huyo ni mwehu Mteme hajitambuiHuna ulijualo kuhusu elimu,unakimbilia kupinga badala ya kuuliza,nano a like a lb a ukiwa mwalimu huruhusiwi kusoma tena? Au unajua ualimu na walimu upon kwa viwango vingapi vya elimu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii kitu Zanzibar ipo! Hata kwenye baadhi za hotel Zanzibar mauza uza yapo.Miaka kadhaa imepita, nilikuwa naaishinmbezi beach iyo siku nilikuwa nnaumwa nimekunywa dawa, ila ilibidi nikakutane na washkaji zangu samaki samaki, sikugusa pombe kabisa mida kama ya saa 7- 8, nikaondoka nimefika maeneo ya makongo nikamuona binti mwanafunzi, amevaa uniform anatembea kwa kuchechemea sana, huku mguu mmoja hauna kiatu wala soksi, nikafikiria kumsaidia nafdi ikaniambia acha, yani nilivyompita tuu nnachungilia simuoni kwenye vioo
Next time makongo hapo hapo saa kumi usiku ninarudi home tukakutana na mbibi na kijana wamevaa manguo meupe na kujipaka vitu vyeupe ila walikuwa wanatembea kwenye lane tofauti na tuliyokuwa na katika gari tulikuwa wanne na watatu wote tuliwaona, nikamwambia jamaa alikuwa anaemdesha wakiingia lane yetu usiwakwepe fumua
Wazee walikuwa kwenye kikao chao cha kahawa aisee hatari sanaMiaka ya nyuma tunatoka mererani usiku wa manane tuko na pikipiki almaarufu baja tullikutakana na moto mkubwa ukiwa umetanda barabarani kama vile unavuka ,tulikuwa sita tukajishauri sana lakini kwasababu tulikuwa wengi tulipata ujasiri wa kupita ila cha kushangaza tulivuka na hatukuungua wala kuhisi chochote kuangalia nyuma baada ya kuvuka moto uko vile vile
chai hii bila sukariMzee Njemba Njemba namfahamu aliwahi kuleta maiti pale lake tanganyika mechi ya Yanga , kipindi hicho kigoma KUna Mbanga FC ilikuwa inacheza ligi kuu.....
Nimeshuhudia mambo na kusikia mambo Yake mengi ... Ujiji ni hatari usijifanye mjuaji kule.
Sent using Jamii Forums mobile app